Cuba kuondolewa vikwazo na Marekani?
Rais wa Cuba, Raul Castro, amemhimiza rais Obama wa Marekani kutumia mamlaka yake ya urais kuondoa vikwazo vya kiuchumi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili19 Sep
Marekani yailegezea Cuba vikwazo
10 years ago
BBCSwahili19 Feb
Libya yaomba kuondolewa vikwazo
9 years ago
BBCSwahili24 Aug
Vikwazo dhidi ya Iran kuondolewa
9 years ago
Habarileo18 Nov
Vikwazo vya habari Iringa kuondolewa
SERIKALI mkoani humu imeahidi kuendelea kuondoa vikwazo vinavyowafanya wanahabari wasipate taarifa wanazohitaji kwa wakati, kwa ajili ya kuuhabarisha umma. Aidha, imesema ili kukuza demokrasia, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa katika mkoa huu itaendelea kutoa ushirikiano kwa wanahabari na kuwapa wananchi elimu juu ya haki yao ya kikatiba ya kuomba na kupewa habari.
11 years ago
Uhuru Newspaper01 Jul
Vikwazo vya kibiashara dhidi ya Czech kuondolewa
NA SUBIRA SAID, TSJ
SERIKALI imeandaa mpango wa kuondoa vikwazo vinavyokwamisha ukuaji wa biashara na Jamhuri ya Czech.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji), Dk. Mary Nagu, alisema hayo jana alipokuwa akifungua kongamano la kibiashara kati ya Tanzania na Jamhuri ya Czech.
Alisema mpango huo utawawezesha wawekezaji na wafanyabiashara kutumia fursa zilizopo ili kukuza uchumi na maendeleo ya nchi hizo.
Dk. Mary alisema tayari serikali imetayarisha mpango huo na inatarajia...
10 years ago
VijimamboNCHI 188 ZAUNGA MKONO CUBA IONDEOLEWE VIKWAZO
Na Mwandishi Maalum , New York
Kwa mwaka wa 23 sasa hapo jana ( Jumanne ) Nchi wanachama wa Umoja...
5 years ago
MichuziSADC WAPENDEKEZA KUONDOLEWA KWA VIKWAZO VYA KIBIASHARA MIPAKANI
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Kanali Wilbert Ibuge amewataka watanzania kuendelea kudumisha umoja na Ushirikiano wa Kibiashara katika ukanda wa Jumuiya ya maendeleo Kusini mwa Afrika SADC.
Akizungumza na waandishi wa Habari mara baada ya kufungua Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa SADC kwa ngazi ya Makatibu Wakuu uliofanyika kwa njia ya Mtandao (video conference) leo jijini Dar es Salaam, amesema Mkutano huo ni mahususi kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ty9SEa3zl3E/VFCvbXQgqcI/AAAAAAAGuAo/sWDCrMZ4JKE/s72-c/unnamed%2B(57).jpg)
NCHI 188 ZAPIGA KURA YA NDIYO YA KUTAKA CUBA IONDOLEWE VIKWAZO
![](http://1.bp.blogspot.com/-ty9SEa3zl3E/VFCvbXQgqcI/AAAAAAAGuAo/sWDCrMZ4JKE/s1600/unnamed%2B(57).jpg)
Na Mwandishi Maalum , New York
Kwa mwaka wa 23 sasa hapo jana ( Jumanne ) Nchi wanachama wa Umoja wa...