RAIS KIKWETE ZIARANI NCHINI MAREKANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ttpNXv5qk7w/VBid68O8SFI/AAAAAAAGkAY/vbpxJB3ZSBk/s72-c/New%2BPicture%2B(2).bmp)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameondoka nchini usiku wa jana, Jumatatu, Septemba 15, 2014, kuanza ziara ya wiki mbili katika Marekani ambapo atahutubia Mkutano wa 69 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UN General Assembly) New York.
Mbali na kuhutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York, Rais Kikwete pia atahudhuria mikutano muhimu katika mji mkuu wa Marekani, Washington, D.C.
Mjini New York, Rais Kikwete atashiriki katika mikutano...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-4qZK2M3L6ls/VRjc93bA0EI/AAAAAAAHOM4/J-mSWFnoiJg/s72-c/u1.jpg)
RAIS KIKWETE ZIARANI MAREKANI KWA MWALIKO WA UMOJA WA MATAIFA
![](http://2.bp.blogspot.com/-4qZK2M3L6ls/VRjc93bA0EI/AAAAAAAHOM4/J-mSWFnoiJg/s1600/u1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-12hD6YWjy_c/VW3L9K98zJI/AAAAAAAHbb0/4UXYnYb5cdk/s72-c/f%2B%25289%2529.jpg)
RAIS KIKWETE ZIARANI NCHINI FINLAND
![](http://1.bp.blogspot.com/-12hD6YWjy_c/VW3L9K98zJI/AAAAAAAHbb0/4UXYnYb5cdk/s640/f%2B%25289%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-alAhAqn8P10/VW3LyA0ukcI/AAAAAAAHbaU/LV0clbkqV1I/s640/f%2B%252810%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-no_CO58JNIo/VW3LyVEox1I/AAAAAAAHbaY/m_XXb82AojU/s640/f%2B%252811%2529.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-PDWXbrBVHY0/VFu5AL90b_I/AAAAAAAGv1o/1DHiXeYgZdc/s72-c/us%2B(1).jpg)
RAIS KIKWETE AELEKEA NCHINI MAREKANI LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-PDWXbrBVHY0/VFu5AL90b_I/AAAAAAAGv1o/1DHiXeYgZdc/s640/us%2B(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4MPcBy5ONx8/VFu5Cd0GbHI/AAAAAAAGv1w/IeEPc4RQbMM/s640/us%2B(2).jpg)
11 years ago
Michuzi03 Aug
10 years ago
Dewji Blog30 Mar
Rais Kikwete aelekea nchini Marekani kwa mwaliko wa Umoja wa Mataifa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameondoka nchini usiku wa jana, Jumamosi, Machi 28, 2015 kwenda Marekani kwa mwaliko wa Umoja wa Mataifa.
Miongoni mwa mambo mengine, Rais Kikwete amealikwa kuhutubia Baraza la Umoja wa Mataifa la Uchumi na Jamii (ECOSOC – UN).
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR ES SALAAM.
29 Machi, 2015
9 years ago
BBCSwahili25 Sep
Rais wa Cuba ziarani Marekani
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-LZcHyspHyBg/VSuoNEPQrtI/AAAAAAAABLk/uemPb5z0dn8/s72-c/Dr.%2BSlaa%2BAlabama3.jpg)
KATIBU MKUU DK. WILLIBROD SLAA ZIARANI NCHINI MAREKANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-LZcHyspHyBg/VSuoNEPQrtI/AAAAAAAABLk/uemPb5z0dn8/s1600/Dr.%2BSlaa%2BAlabama3.jpg)
Ziara hii ya siku tisa ni mwaliko wa Gavana wa Jimbo la Indiana Mike Pence pamoja na taasisi mbalimbali za nchini humo ikiwemo vyuo vikuu kutokana na kutambua mchango wa kisiasa na...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-lI9ZjQKjg-E/VCrKouiJ51I/AAAAAAADGYQ/OqbqG1Kk2Fs/s72-c/jk1.jpg)
RAIS KIKWETE AREJEA NCHINI KUTOKA MAREKANI KWENYE MKUTANO WA 69 WA UMOJA WA MATAIFA
![](http://1.bp.blogspot.com/-lI9ZjQKjg-E/VCrKouiJ51I/AAAAAAADGYQ/OqbqG1Kk2Fs/s1600/jk1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-QhSnef46DbM/VCrKowF3mqI/AAAAAAADGYY/IlIgYNndf4A/s1600/jk2.jpg)
10 years ago
Vijimambo11 Aug
Rais Kikwete amteua Wilson Masilingi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Marekani
Rais Kikwete amemhamisha Wilson Masilingi kutoka kuwa Balozi wa Tanzania Uholanzi na sasa anakuwa Balozi wa Tanzania Marekani kuchukua nafasi ya Liberata Mulamula. Nafasi ya Masilingi itajazwa na Irene Kisyanju aliyeteuliwa kuwa balozi Uholanzi akitokea wizara ya mambo ya nje.Aidha Rais amemteua Mkuu wa chuo cha ulinzi cha taifa Luten Jenerali Charles Makakala kuwa Balozi wa TZ Zimbabwe kuchukua nafasi ya Adadi Rajab alieteuliwa kuwa mgombea ubunge CCM huko Tanga.