RAIS KIKWETE AELEKEA NCHINI MAREKANI LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-PDWXbrBVHY0/VFu5AL90b_I/AAAAAAAGv1o/1DHiXeYgZdc/s72-c/us%2B(1).jpg)
Rais Profesa Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe said Meck Sadik na Meneja wa Huduma za Shirika la ndege la Emirates katika Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa Julius Nyerere Bw. Aboubakar Juma leo Novemba 6, 2014 wakati akielekea kupanda ndege kuelekea Marekani kwa ajili ya uchunguzi wa afya yake
Rais Profesa Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na askari polisi pamoja na wafanyakazi katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kabla ya kupanda ndege ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog30 Mar
Rais Kikwete aelekea nchini Marekani kwa mwaliko wa Umoja wa Mataifa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameondoka nchini usiku wa jana, Jumamosi, Machi 28, 2015 kwenda Marekani kwa mwaliko wa Umoja wa Mataifa.
Miongoni mwa mambo mengine, Rais Kikwete amealikwa kuhutubia Baraza la Umoja wa Mataifa la Uchumi na Jamii (ECOSOC – UN).
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR ES SALAAM.
29 Machi, 2015
10 years ago
Dewji Blog25 Feb
Rais Kikwete aelekea nchini Zambia kwa ziara ya kikazi ya siku mbili
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameondoka leo tarehe 25 Februari, 2015 kuelekea Lusaka Zambia kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku mbili kufuatia mwaliko kutoka kwa Rais Edgar Chagwa Lungu wa Zambia.
Viongozi hao wanatarajia kufanya mazungumzo kuhusu ushirikiano wa nchi mbili hizi ikiwemo suala la reli ya Tanzania-Zambia Railway Authority (TAZARA), inayounganisha Tanzania na Zambia.
Hivi karibuni Reli ya TAZARA imekuwa ikikabiliwa na changamoto...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3HSoWMoSp5I/VaTsoV1F1qI/AAAAAAAHpl4/GaXncv9sVg4/s72-c/g4.jpg)
RAIS KIKWETE AELEKEA GENEVA LEO KWA ZIARA YA KIKAZI
![](http://1.bp.blogspot.com/-3HSoWMoSp5I/VaTsoV1F1qI/AAAAAAAHpl4/GaXncv9sVg4/s640/g4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-IgeFBGs5tXA/VaTsqdiBRsI/AAAAAAAHpmA/X-dCLStTI10/s640/g5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CDGsi3PHE2Q/VaTsiQO3ZKI/AAAAAAAHplg/CZiTD3qnio0/s640/g1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Gy3oXb_O9t8/VaTskhikB4I/AAAAAAAHplo/fma7akO7GgY/s640/g2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1J2ZDHrUwHk/VaTslo68egI/AAAAAAAHplw/tM1_VDgz0Xo/s640/g3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-PDWXbrBVHY0/VFu5AL90b_I/AAAAAAAGv1o/1DHiXeYgZdc/s72-c/us%2B(1).jpg)
JK aelekea marekani leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-PDWXbrBVHY0/VFu5AL90b_I/AAAAAAAGv1o/1DHiXeYgZdc/s1600/us%2B(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4MPcBy5ONx8/VFu5Cd0GbHI/AAAAAAAGv1w/IeEPc4RQbMM/s1600/us%2B(2).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ttpNXv5qk7w/VBid68O8SFI/AAAAAAAGkAY/vbpxJB3ZSBk/s72-c/New%2BPicture%2B(2).bmp)
RAIS KIKWETE ZIARANI NCHINI MAREKANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ttpNXv5qk7w/VBid68O8SFI/AAAAAAAGkAY/vbpxJB3ZSBk/s1600/New%2BPicture%2B(2).bmp)
Mbali na kuhutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York, Rais Kikwete pia atahudhuria mikutano muhimu katika mji mkuu wa Marekani, Washington, D.C.
Mjini New York, Rais Kikwete atashiriki katika mikutano...
10 years ago
Dewji Blog03 Sep
Rais Kikwete akutana na Bibi yake Rais Obama wa Marekani, jijini Nairobi leo
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Bibi yake Rais wa Marekani,Mh. Barack Obama,Mama Sarah Obama walipokutana Leo kwenye hoteli ya Villa Rosa Kempiski jijini Nairobi, Kenya, wakati Rais Kikwete akijiandaa kurejea nchini.Mama Sarah Obama anatarajia kuzindua taasisi ya kusaidia elimu kijijini Kogelo nchini Kenya,alikozaliwa Baba yake na Rais Obama wa Marekani itakayofahamika kama (Sarah Obama foundation) ambapo atajenga shule kuanzia za awali mpaka sekondari. Rais kikwete sasa hivi yuko...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fIDaZ43XkK0/VAd2lkYMifI/AAAAAAACp90/77TZZGS0Rno/s72-c/unnamed.jpg)
RAIS Kikwete akutana na Bibi yake Rais Obama wa Marekani,jijini Nairobi leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-fIDaZ43XkK0/VAd2lkYMifI/AAAAAAACp90/77TZZGS0Rno/s1600/unnamed.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Bibi yake Rais wa Marekani,Mh. Barack Obama,Mama Sarah Obama walipokutana Leo kwenye hoteli ya Villa Rosa Kempiski jijini Nairobi, Kenya, wakati Rais Kikwete akijiandaa kurejea nchini.Mama Sarah Obama anatarajia kuzindua taasisi ya kusaidia elimu kijijini Kogelo nchini Kenya,alikozaliwa Baba yake na Rais Obama wa Marekani itakayofahamika kama (Sarah Obama foundation) ambapo atajenga shule kuanzia za awali mpaka sekondari. Rais kikwete sasa hivi ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NpAlVAvTs3NpjmwA*I6Uj1fHhr*khwyEESg0ZbAx0hEQqRHPG21T330M6TeXT3x6TCzdUXqQG7ABssrkzLlR17a8WiP74ZsK/c1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS MSTAAFU WA MAREKANI BILL CLINTON JIJINI DAR ES SALAAM LEO
11 years ago
Michuzi03 Aug