JK aelekea marekani leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-PDWXbrBVHY0/VFu5AL90b_I/AAAAAAAGv1o/1DHiXeYgZdc/s72-c/us%2B(1).jpg)
Rais Profesa Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe said Meck Sadik na Meneja wa Huduma za Shirika la ndege la Emirates katika Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa Julius Nyerere Bw. Aboubakar Juma leo Novemba 6, 2014 wakati akielekea kupanda ndege kuelekea Marekani kwa ajili ya uchunguzi wa afya yake
Rais Profesa Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na askari polisi pamoja na wafanyakazi katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kabla ya kupanda ndege ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-PDWXbrBVHY0/VFu5AL90b_I/AAAAAAAGv1o/1DHiXeYgZdc/s72-c/us%2B(1).jpg)
RAIS KIKWETE AELEKEA NCHINI MAREKANI LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-PDWXbrBVHY0/VFu5AL90b_I/AAAAAAAGv1o/1DHiXeYgZdc/s640/us%2B(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4MPcBy5ONx8/VFu5Cd0GbHI/AAAAAAAGv1w/IeEPc4RQbMM/s640/us%2B(2).jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/PICT-1-001.jpg?width=650)
MAYUNGA NALIMI AELEKEA MAREKANI KUREKODI VIDEO NA AKON
10 years ago
Dewji Blog30 Mar
Rais Kikwete aelekea nchini Marekani kwa mwaliko wa Umoja wa Mataifa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameondoka nchini usiku wa jana, Jumamosi, Machi 28, 2015 kwenda Marekani kwa mwaliko wa Umoja wa Mataifa.
Miongoni mwa mambo mengine, Rais Kikwete amealikwa kuhutubia Baraza la Umoja wa Mataifa la Uchumi na Jamii (ECOSOC – UN).
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR ES SALAAM.
29 Machi, 2015
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-buI1twtImKA/VW3dbxMHMlI/AAAAAAAHbfE/xCR9Z-8iyTE/s72-c/unnameds1.jpg)
Dk.Shein aelekea nchini Ujerumani leo kwa ziara ya kikazi
![](http://4.bp.blogspot.com/-buI1twtImKA/VW3dbxMHMlI/AAAAAAAHbfE/xCR9Z-8iyTE/s640/unnameds1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-cqX99Y5T3WM/VW3db8gLbmI/AAAAAAAHbfA/GEVUt5pa9Ic/s640/unnameds2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3HSoWMoSp5I/VaTsoV1F1qI/AAAAAAAHpl4/GaXncv9sVg4/s72-c/g4.jpg)
RAIS KIKWETE AELEKEA GENEVA LEO KWA ZIARA YA KIKAZI
![](http://1.bp.blogspot.com/-3HSoWMoSp5I/VaTsoV1F1qI/AAAAAAAHpl4/GaXncv9sVg4/s640/g4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-IgeFBGs5tXA/VaTsqdiBRsI/AAAAAAAHpmA/X-dCLStTI10/s640/g5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CDGsi3PHE2Q/VaTsiQO3ZKI/AAAAAAAHplg/CZiTD3qnio0/s640/g1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Gy3oXb_O9t8/VaTskhikB4I/AAAAAAAHplo/fma7akO7GgY/s640/g2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1J2ZDHrUwHk/VaTslo68egI/AAAAAAAHplw/tM1_VDgz0Xo/s640/g3.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-4JBKPSxseh8/U24QHwY7YsI/AAAAAAAFgqk/3ERW_pMzjnc/s72-c/unnamed+(3).jpg)
JK AKUTANA NA RAIS JOSEPH KABILA LEO IKULU YA KINSHASA, AELEKEA ANGOLA
Akiwa Kinshasa, leo tarehe 10 Mei, Rais Kikwete amefanya mazungumzo na Rais Joseph Kabila ambapo wanatarajia kuzungumzia uhusiano baina ya nchi mbili hizi na hali ya kisiasa kwa ujumla katika ukanda wa Jumuiya ya ushirikiano wa Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC).
Mara...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-W9HW5Djp1oM/U4oL7-vvagI/AAAAAAACikk/15CxAvn6q70/s72-c/10.jpg)
KINANA AMALIZA ZIARA YAKE WILAYANI KITETO,LEO AELEKEA WILAYANI SIMANJIRO MKOANI MANYARA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-W9HW5Djp1oM/U4oL7-vvagI/AAAAAAACikk/15CxAvn6q70/s1600/10.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5Z3UFj1G8J0/U4oMa_-6G7I/AAAAAAACiks/zcprQEoNIDI/s1600/11.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yyQ4r6KRmmc/U4qdBWmmpOI/AAAAAAACinQ/tSXrUkruOCU/s1600/7.jpg)
10 years ago
BBCSwahili25 May
Duda aelekea kushinda Uchaguzi Polland
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tZHhhMhD8MCLIXtVmZ472ZT2Y8mVbxuLWvzqmrp3peWnJ8kpYgJz7-jBHt85JrQBKJXqIKR-KiTZsybCNPztOj0Gf*1NT4uy/DavidCameronappearsonTheAndrewMarrShow.jpg?width=650)
DAVID CAMERON AELEKEA KUSHINDA UCHAGUZI MKUU UINGEREZA