Duda aelekea kushinda Uchaguzi Polland
Rais wa Poland Bronislaw Komorowski amekubali kushindwa katika uchaguzi uliofanyika wiki iliyopita.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tZHhhMhD8MCLIXtVmZ472ZT2Y8mVbxuLWvzqmrp3peWnJ8kpYgJz7-jBHt85JrQBKJXqIKR-KiTZsybCNPztOj0Gf*1NT4uy/DavidCameronappearsonTheAndrewMarrShow.jpg?width=650)
DAVID CAMERON AELEKEA KUSHINDA UCHAGUZI MKUU UINGEREZA
5 years ago
BBCSwahili18 Jun
Uchaguzi Marekani 2020: Trump adaiwa kuomba usaidizi wa rais Xi Jinping kushinda uchaguzi ujao
11 years ago
Habarileo27 Jun
Lipumba: Tumejipanga kushinda Uchaguzi Mkuu
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, ambaye juzi usiku aliibuka mshindi na kuendelea kutetea nafasi yake hiyo ndani ya chama, amesema chama kimeweka nguvu mpya ili kuhakikisha kinashinda uchaguzi mkuu nchini ujao.
9 years ago
BBCSwahili09 Nov
Upinzani waelekea kushinda uchaguzi Croatia
10 years ago
Dewji Blog12 Dec
10 years ago
Vijimambo12 Dec
9 years ago
StarTV26 Nov
Baada ya kushinda uchaguzi  Nyumba za  wana CCM zadaiwa kuchomwa moto Ulanga
Wakazi sita wa kijiji cha Liputi kata ya Mbuga wilaya ya Ulanga Mkoani morogoro wamechomewa nyumba zao baada uchaguzi mdogo wa ubunge uliofanyika Novemba 22 mwaka huu wilayani humo
Waathirika wa matukio hayo ambao ni makada wa chama cha mapinduzi CCM wamesema walianza kupokea vitisho mara baada ya kutangazwa kwa matokeo ya ubunge huku nyumba zote zikichomwa kwa wakati mmoja wa saa nane usiku
Mara baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi mdogo katika jimbo la ulanga na chama cha mapinduzi...
9 years ago
Dewji Blog26 Oct
Mgombea urais ACT atambia Sera za chama chake kushinda uchaguzi mkuu
Mgombea urais wa ACT-Wazalendo, Anna Mughwira, akizungumza na waandishi wa habari jana muda mfupi baada ya kupiga kura ya kuchagua Rais, Mbunge na Diwani kwenye kituo cha kupigia kura cha shule ya msingi Kibaoni mjini Singida.Mughwira amesema kwa ujumla zoezi la uchaguzi katika halmashauri ya manispaa ya Singida,limeenda vizuri kwa amani na utulivu mkubwa.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
MGOMBEA urais kupitia tiketi ya ACT-Wazalendo, Anna Mughwira,amesema endapo wapiga...
10 years ago
Dewji Blog18 Jan
KINANA aahidi CCM kushinda kwa kishindo uchaguzi mkuu Zanzibar 2015
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki kufyeka majani mbele ya Chuo cha Sayansi ya Bahari (IMS), alipotembelea chuo hicho kilicho chini ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam eneo la Buyu, Unguja Zanzibar jana wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua miradi inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM pamoja na kusikiliza kero za wananchi ili zipatiwe ufumbuzi. (PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).
Kinana akikagua jengo jipya la Chuo cha...