Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Upinzani waelekea kushinda uchaguzi Croatia

Chama cha upinzani nchini Croatia kinaelekea kupata ushindi mwembamba kwenye uchaguzi wa ubunge uliofanyika Jumapili.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

CCM waelekea kushinda kata nyingi

UCHAGUZI mdogo katika kata 27 umefanyika nchini jana, ambapo mchuano mkubwa katika uchaguzi huo karibu katika kata zote, ulikuwa kati ya CCM walioonekana kupata ushindi katika kata nyingi na kufuatiwa na Chadema iliyokuwa ikitoa ushindani mkali.

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi Marekani 2020: Trump adaiwa kuomba usaidizi wa rais Xi Jinping kushinda uchaguzi ujao

Msaidizi wa zamani wa Trump John Bolton aandika kitabu kinachomtuhumu Trump katika masuala mbalimbali ya kisera na utendaji.

 

10 years ago

BBCSwahili

Duda aelekea kushinda Uchaguzi Polland

Rais wa Poland Bronislaw Komorowski amekubali kushindwa katika uchaguzi uliofanyika wiki iliyopita.

 

11 years ago

Habarileo

Lipumba: Tumejipanga kushinda Uchaguzi Mkuu

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, ambaye juzi usiku aliibuka mshindi na kuendelea kutetea nafasi yake hiyo ndani ya chama, amesema chama kimeweka nguvu mpya ili kuhakikisha kinashinda uchaguzi mkuu nchini ujao.

 

10 years ago

GPL

DAVID CAMERON AELEKEA KUSHINDA UCHAGUZI MKUU UINGEREZA

Waziri Mkuu wa Uingereza, David Cameron anayewania kiti hicho. WAZIRI Mkuu wa Uingereza, David Cameron, anaelekea kupata ushindi mkubwa katika uchaguzi mkuu uliofanyika jana nchini humo. Wafuasi wa David Cameron wakimlaki. Matokeo ya awali mpaka sasa yanaonesha chama chake cha Conservative kimejiongezea hadi sasa jumla ya viti 20 na kupata ushindi katika majimbo 279 ambapo chama kikuu cha upinzani cha Labour kimepata jumla ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Upinzani washinda uchaguzi Venezuela

Tume ya uchaguzi nchini Venezuela imeuthibitisha muungano wa upinzani kushinda viti vingi vya ubunge nchini humo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Upinzani washinda uchaguzi Argentina

Mgombea wa chama cha upinzani cha Conservative Mauricio Macri amethibitishwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais Argentina.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani