Upinzani washinda uchaguzi Argentina
Mgombea wa chama cha upinzani cha Conservative Mauricio Macri amethibitishwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais Argentina.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili20 Oct
Upinzani washinda uchaguzi Canada
Chama cha upinzani nchini Canada kimeshinda uchaguzi mkuu na kufikisha kikomo uongozi wa karibu mwongo mmoja wa chama cha Conservative.
9 years ago
BBCSwahili09 Dec
Upinzani washinda uchaguzi Venezuela
Tume ya uchaguzi nchini Venezuela imeuthibitisha muungano wa upinzani kushinda viti vingi vya ubunge nchini humo.
11 years ago
BBCSwahili27 May
Wake wa meya walio jela washinda uchaguzi
Wake 2 wa meya wawili wa upinzani waotumikia kifungo cha jela nchini Venezuela wameshinda uchaguzi na kuwarithi waume zao.
9 years ago
BBCSwahili26 Oct
Uchaguzi wa urais kurudiwa Argentina
Mgombea kiti cha urais Argentina,Daniel Scioli,ameshinda raundi ya kwanza ya uchaguzi ila atapambana na Mauricio Macri katika raundi ya pili tarehe 22 mwezi ujao
11 years ago
Bongo510 Jul
Argentina yailaza Uholanzi 4-2, fainali Argentina na Ujerumani july 13
Timu ya soka ya Argentina imejikatia tiketi ya kufuzu kwa fainali yake ya kwanza tangu mwaka 1990 baada ya kuilaza timu ya Uholanzi kwa goli 4-2, ambapo fainali itachuana na Ujerumani july 13 siku ya jumapili. Katika mchezo huo wa nusu fainali wa jana, Argentina na Uholanzi zilitoka sare tasa baada ya muda wa kawaida […]
11 years ago
BBCSwahili01 Feb
Upinzani watatiza uchaguzi Thailand
Waandamanaji nchini Thailand wanazuia usambazaji wa karatasi za kupigia kura siku moja tu kabla ya uchaguzi mkuu
11 years ago
BBCSwahili03 Feb
Upinzani wasusia uchaguzi Thailand
Waziri mkuu Yingluck Shinawatra, amesema uchaguzi uliofanyika ni ishara tosha kuwa watu wa Thailand wana imani na Demokrasia.
9 years ago
BBCSwahili09 Nov
Upinzani waamini utashinda uchaguzi Myanmar
Chama cha upinzani nchini Myanmar cha NLD kimesema kina Imani kitashinda uchaguzi wa kwanza huru kufanyika nchini humo katika kipindi cha miaka 25.
9 years ago
BBCSwahili09 Nov
Upinzani waelekea kushinda uchaguzi Croatia
Chama cha upinzani nchini Croatia kinaelekea kupata ushindi mwembamba kwenye uchaguzi wa ubunge uliofanyika Jumapili.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania