Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Upinzani washinda uchaguzi Argentina

Mgombea wa chama cha upinzani cha Conservative Mauricio Macri amethibitishwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais Argentina.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Upinzani washinda uchaguzi Canada

Chama cha upinzani nchini Canada kimeshinda uchaguzi mkuu na kufikisha kikomo uongozi wa karibu mwongo mmoja wa chama cha Conservative.

 

9 years ago

BBCSwahili

Upinzani washinda uchaguzi Venezuela

Tume ya uchaguzi nchini Venezuela imeuthibitisha muungano wa upinzani kushinda viti vingi vya ubunge nchini humo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wake wa meya walio jela washinda uchaguzi

Wake 2 wa meya wawili wa upinzani waotumikia kifungo cha jela nchini Venezuela wameshinda uchaguzi na kuwarithi waume zao.

 

9 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa urais kurudiwa Argentina

Mgombea kiti cha urais Argentina,Daniel Scioli,ameshinda raundi ya kwanza ya uchaguzi ila atapambana na Mauricio Macri katika raundi ya pili tarehe 22 mwezi ujao

 

11 years ago

Bongo5

Argentina yailaza Uholanzi 4-2, fainali Argentina na Ujerumani july 13

Timu ya soka ya Argentina imejikatia tiketi ya kufuzu kwa fainali yake ya kwanza tangu mwaka 1990 baada ya kuilaza timu ya Uholanzi kwa goli 4-2, ambapo fainali itachuana na Ujerumani july 13 siku ya jumapili. Katika mchezo huo wa nusu fainali wa jana, Argentina na Uholanzi zilitoka sare tasa baada ya muda wa kawaida […]

 

11 years ago

BBCSwahili

Upinzani watatiza uchaguzi Thailand

Waandamanaji nchini Thailand wanazuia usambazaji wa karatasi za kupigia kura siku moja tu kabla ya uchaguzi mkuu

 

11 years ago

BBCSwahili

Upinzani wasusia uchaguzi Thailand

Waziri mkuu Yingluck Shinawatra, amesema uchaguzi uliofanyika ni ishara tosha kuwa watu wa Thailand wana imani na Demokrasia.

 

9 years ago

BBCSwahili

Upinzani waamini utashinda uchaguzi Myanmar

Chama cha upinzani nchini Myanmar cha NLD kimesema kina Imani kitashinda uchaguzi wa kwanza huru kufanyika nchini humo katika kipindi cha miaka 25.

 

9 years ago

BBCSwahili

Upinzani waelekea kushinda uchaguzi Croatia

Chama cha upinzani nchini Croatia kinaelekea kupata ushindi mwembamba kwenye uchaguzi wa ubunge uliofanyika Jumapili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani