Upinzani wasusia uchaguzi Thailand
Waziri mkuu Yingluck Shinawatra, amesema uchaguzi uliofanyika ni ishara tosha kuwa watu wa Thailand wana imani na Demokrasia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili01 Feb
Upinzani watatiza uchaguzi Thailand
Waandamanaji nchini Thailand wanazuia usambazaji wa karatasi za kupigia kura siku moja tu kabla ya uchaguzi mkuu
11 years ago
BBCSwahili02 Feb
Vurugu uchaguzi wa Thailand ukianza
Uchaguzi huu unafanyika baada ya miezi kadhaa ya maandamano ya wapinzani kujaribu kutatiza hali ili usifanyike.
9 years ago
BBCSwahili09 Dec
Upinzani washinda uchaguzi Venezuela
Tume ya uchaguzi nchini Venezuela imeuthibitisha muungano wa upinzani kushinda viti vingi vya ubunge nchini humo.
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Upinzani washinda uchaguzi Argentina
Mgombea wa chama cha upinzani cha Conservative Mauricio Macri amethibitishwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais Argentina.
9 years ago
BBCSwahili20 Oct
Upinzani washinda uchaguzi Canada
Chama cha upinzani nchini Canada kimeshinda uchaguzi mkuu na kufikisha kikomo uongozi wa karibu mwongo mmoja wa chama cha Conservative.
9 years ago
BBCSwahili07 Dec
Upinzani waongoza uchaguzi wa kanda Ufaransa
Kura zilizohesabiwa katika awamu ya kwanza ya uchaguzi wa kikanda nchini Ufaransa, zinaonyesha chama cha National Front party kinaongoza.
9 years ago
BBCSwahili15 Oct
Upinzani wapinga matokeo ya uchaguzi Guinea
Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Guinea amejiondoa katika uchaguzi uliofanyika nchini humo akisema kuwa kulikuwa na udanganyifu mkubwa
9 years ago
BBCSwahili09 Nov
Upinzani waelekea kushinda uchaguzi Croatia
Chama cha upinzani nchini Croatia kinaelekea kupata ushindi mwembamba kwenye uchaguzi wa ubunge uliofanyika Jumapili.
10 years ago
BBCSwahili26 Jun
Burundi upinzani kususia uchaguzi mkuu
Vyama vya upinzani nchini Burundi vimetangaza kususia uchaguzi mkuu unaotarajiwa kuanza wiki ijayo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania