Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Burundi upinzani kususia uchaguzi mkuu

Vyama vya upinzani nchini Burundi vimetangaza kususia uchaguzi mkuu unaotarajiwa kuanza wiki ijayo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Vyama 17 kususia uchaguzi Burundi

Kundi moja la vyama 17 nchini Burundi limekubaliana kususia uchaguzi mkuu wa mwezi ujao likisema kuwa hautakuwa huru na haki.

 

10 years ago

GPL

UCHAGUZI WA WABUNGE WAFANYIKA BURUNDI LICHA YA UPINZANI KUSUSA

Zoezi la upigaji kura nchini Burundi. UCHAGUZI wa wabunge unaendelea nchini Burundi licha ya maandamano na ghasia dhidi ya uamuzi wa Rais Pierre Nkurunziza wa kutaka kuwania muhula wa tatu. Habari zaidi, ingia hapa:===>>>http://wp.me/p6irf2-2f9

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Burundi 2020: Je, upinzani utafurukuta ama kumsindikiza mgombea wa chama tawala?

Benki ya Dunia inakadiria kuwa watu saba kati ya kumi nchini Burundi ni masikini kupindukia.

 

10 years ago

Mwananchi

Kumekucha Uchaguzi Mkuu 2015, Lowassa atikisa CCM, upinzani

Kumekucha. Pengine hilo ndilo neno linalofaa kutumika kuelezea matokeo ya utafiti kuhusu kinyang’anyiro cha urais katika Uchaguzi Mkuu 2015 ambayo yanaonyesha kuwa iwapo ungefanyika leo, Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa angeibuka mshindi.

 

11 years ago

Mwananchi

Upinzani watoa masharti magumu kushiriki Uchaguzi Mkuu 2015

Serikali imetakiwa kuandaa taratibu za mpito za kushughulikia Uchaguzi Mkuu ujao ili kunusuru nchi kuingia katika mtanziko unaoweza kuwa chanzo cha machafuko ya kisiasa, endapo utafanyika bila kupatikana kwa Katiba Mpya la sivyo Kambi Rasmi ya haitashiriki.

 

9 years ago

BBCSwahili

Serikali ya Burundi kususia mazungumzo Arusha

Serikali ya Burundi imesema haitashiriki mazungumzo ya amani ambayo yamepangiwa kuanza hapo kesho mjini Arusha.

 

5 years ago

CCM Blog

MITANDAO YA KIJAMII YAZIMWA UCHAGUZI MKUU BURUNDI

Wagombea saba hii leo wanawania kumrithi Pierre NkurunzizaImage captionWagombea saba hii leo wanawania kumrithi Pierre NkurunzizaMitandao ya kijamii imezimwa huku wananchi wakiendelea kupiga kura nchini Burundi katika uchaguzi mkuu hii leo.BBC imethibitisha kuwa mitandao ya Twitter, Whatsapp na Facebook kuwa haipatikani nchini humo.Serikali ya Burundi hata hivyo haijalizungumzia suala hilo.Vituo vya kupigia kura vimefunguliwa toka saa 12 asubuhi na vitafungwa saa 10 alasiri.Wagombea saba wanawania hii leo kumrithi Pierre Nkurunziza, hata hivyo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Burundi tayari kwa Uchaguzi mkuu, Waziri

Serikali ya Burundi imeihakikishia jamii ya kimataifa kuwa hali ya usalama imeimarika baada ya maandamano ya upinzani kuzimwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Burundi 2020: Vurugu na mauaji yakumba kampeini za uchaguzi Burundi

Polisi nchini Burundi wamesema kuwa wamewakamata watu wapatao 64 kutoka chama kikuu cha siasa cha CNL, kumekuwa na ghasia pamoja na mauaji dhidi ya wanachama wa chama kikuu katika kampeni za kuelekea uchaguzi mkuu wa rais tarehe 20 Mei.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani