Burundi upinzani kususia uchaguzi mkuu
Vyama vya upinzani nchini Burundi vimetangaza kususia uchaguzi mkuu unaotarajiwa kuanza wiki ijayo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili12 Jun
Vyama 17 kususia uchaguzi Burundi
Kundi moja la vyama 17 nchini Burundi limekubaliana kususia uchaguzi mkuu wa mwezi ujao likisema kuwa hautakuwa huru na haki.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vZjCFErHAhx-63bU4CR*mV7yJ*8ilZZrXveouCui79hD5hP0UAe2PYNEJJaevj3vKn7yY05o0OPWeg5BpCFu5-WzfXmp5VXG/burundielection.jpg)
UCHAGUZI WA WABUNGE WAFANYIKA BURUNDI LICHA YA UPINZANI KUSUSA
Zoezi la upigaji kura nchini Burundi. UCHAGUZI wa wabunge unaendelea nchini Burundi licha ya maandamano na ghasia dhidi ya uamuzi wa Rais Pierre Nkurunziza wa kutaka kuwania muhula wa tatu. Habari zaidi, ingia hapa:===>>>http://wp.me/p6irf2-2f9
5 years ago
BBCSwahili18 May
Uchaguzi wa Burundi 2020: Je, upinzani utafurukuta ama kumsindikiza mgombea wa chama tawala?
Benki ya Dunia inakadiria kuwa watu saba kati ya kumi nchini Burundi ni masikini kupindukia.
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Kumekucha Uchaguzi Mkuu 2015, Lowassa atikisa CCM, upinzani
Kumekucha. Pengine hilo ndilo neno linalofaa kutumika kuelezea matokeo ya utafiti kuhusu kinyang’anyiro cha urais katika Uchaguzi Mkuu 2015 ambayo yanaonyesha kuwa iwapo ungefanyika leo, Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa angeibuka mshindi.
11 years ago
Mwananchi08 May
Upinzani watoa masharti magumu kushiriki Uchaguzi Mkuu 2015
Serikali imetakiwa kuandaa taratibu za mpito za kushughulikia Uchaguzi Mkuu ujao ili kunusuru nchi kuingia katika mtanziko unaoweza kuwa chanzo cha machafuko ya kisiasa, endapo utafanyika bila kupatikana kwa Katiba Mpya la sivyo Kambi Rasmi ya haitashiriki.
9 years ago
BBCSwahili05 Jan
Serikali ya Burundi kususia mazungumzo Arusha
Serikali ya Burundi imesema haitashiriki mazungumzo ya amani ambayo yamepangiwa kuanza hapo kesho mjini Arusha.
5 years ago
CCM Blog20 May
MITANDAO YA KIJAMII YAZIMWA UCHAGUZI MKUU BURUNDI
![Wagombea saba hii leo wanawania kumrithi Pierre Nkurunziza](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/1B91/production/_112375070_32568388-37b5-4bee-bf9d-682c6d28a8eb.jpg)
10 years ago
BBCSwahili16 Jun
Burundi tayari kwa Uchaguzi mkuu, Waziri
Serikali ya Burundi imeihakikishia jamii ya kimataifa kuwa hali ya usalama imeimarika baada ya maandamano ya upinzani kuzimwa.
5 years ago
BBCSwahili06 May
Uchaguzi wa Burundi 2020: Vurugu na mauaji yakumba kampeini za uchaguzi Burundi
Polisi nchini Burundi wamesema kuwa wamewakamata watu wapatao 64 kutoka chama kikuu cha siasa cha CNL, kumekuwa na ghasia pamoja na mauaji dhidi ya wanachama wa chama kikuu katika kampeni za kuelekea uchaguzi mkuu wa rais tarehe 20 Mei.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania