Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UCHAGUZI WA WABUNGE WAFANYIKA BURUNDI LICHA YA UPINZANI KUSUSA

Zoezi la upigaji kura nchini Burundi. UCHAGUZI wa wabunge unaendelea nchini Burundi licha ya maandamano na ghasia dhidi ya uamuzi wa Rais Pierre Nkurunziza wa kutaka kuwania muhula wa tatu. Habari zaidi, ingia hapa:===>>>http://wp.me/p6irf2-2f9

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa ubunge wafanyika Burundi

Uchaguzi wa ubunge unaendelea nchini Burundi licha ya wiki ya maandamano ya ghasia dhidi ya uamuzi wa rais Pierre Nkurunziza wa kutaka kuwania muhula wa tatu.

 

10 years ago

Michuzi

Uchaguzi Mkuu wa Rais nchini Burundi wafanyika kwa amani

 Wananchi wa Burundi leo wamepiga kura kumchagua Rais wa nchi hiyo kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. Uchaguzi huo umefanyika katika mazingira ya amani ingawaje kwa upande wa jiji la Bujumbura wananchi walianza kujitokeza zaidi mchana Wananchi wakipiga kura Bujumbura  kituo cha Uchaguzi cha Ruhunja A  eneo la Rusagara katika jimbo la Gitega. Mawanamama akipiga kura yake  kituo cha Uchaguzi cha Ruhunja A  eneo la Rusagara katika jimbo la Gitega.Bango la wagombea nafasi ya Urais wa Burundi

 

10 years ago

BBCSwahili

Burundi upinzani kususia uchaguzi mkuu

Vyama vya upinzani nchini Burundi vimetangaza kususia uchaguzi mkuu unaotarajiwa kuanza wiki ijayo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Burundi 2020: Je, upinzani utafurukuta ama kumsindikiza mgombea wa chama tawala?

Benki ya Dunia inakadiria kuwa watu saba kati ya kumi nchini Burundi ni masikini kupindukia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Burundi yaahirisha uchaguzi wa wabunge

Serikali ya Burundi yaahirisha uchaguzi wa wabunge uliotarajiwa kufanyika Ijumaa wiki hii

 

10 years ago

GPL

UCHAGUZI WA RAIS NA WABUNGE BURUNDI WAAHIRISHWA

Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza. SERIKALI ya Burundi imetangaza kuwa uchaguzi wa Rais na Wabunge uliotarajiwa kufanyika mwezi huu umeahirishwa mpaka tarehe nyingine zitakazotangazwa. Vurugu Burundi. Msemaji wa Rais Nkurunziza, Wily Nyamitwe amesema kuwa tarehe hizo zitapangwa na wasimamizi wa uchaguzi wa nchi hiyo hivi karibuni. Mabadiliko hayo yamekuja kutokana na taifa hilo kuingia kwenye machafuko tangu Rais Piere...

 

10 years ago

GPL

RAIS PIERRE NKURUNZIZA ASOGEZA MBELE UCHAGUZI WA WABUNGE BURUNDI

Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza. RAIS wa Burundi, Pierre Nkurunziza amesogeza mbele uchaguzi wa wabunge kwa siku 10 hadi Juni 5 mwaka huu kufuatia jaribio la mapinduzi. Mmoja wa waandamanaji akiwa kapiga magoti mbele ya askari polisi. Msemaji wa Rais, Willy Nyamitwe ameliambia Shirika la Habari la AFP kuwa kufuatia jaribio la mapinduzi la wiki iliyopita na vurugu zilizofuatia ni bora kusogeza mbele uchaguzi huo kwa muda....

 

9 years ago

BBCSwahili

Sheria mpya yaanza kutumika TZ licha ya upinzani

Leo ni mwanzo wa kutumika kwa sheria ya makosa ya mtandaoni iliyoleta mzozo Tanzania na sawa waweza kutupwa jela jihadhari

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Burundi 2020: Vurugu na mauaji yakumba kampeini za uchaguzi Burundi

Polisi nchini Burundi wamesema kuwa wamewakamata watu wapatao 64 kutoka chama kikuu cha siasa cha CNL, kumekuwa na ghasia pamoja na mauaji dhidi ya wanachama wa chama kikuu katika kampeni za kuelekea uchaguzi mkuu wa rais tarehe 20 Mei.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani