Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali ya Burundi kususia mazungumzo Arusha

Serikali ya Burundi imesema haitashiriki mazungumzo ya amani ambayo yamepangiwa kuanza hapo kesho mjini Arusha.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Vyama 17 kususia uchaguzi Burundi

Kundi moja la vyama 17 nchini Burundi limekubaliana kususia uchaguzi mkuu wa mwezi ujao likisema kuwa hautakuwa huru na haki.

 

10 years ago

BBCSwahili

Burundi upinzani kususia uchaguzi mkuu

Vyama vya upinzani nchini Burundi vimetangaza kususia uchaguzi mkuu unaotarajiwa kuanza wiki ijayo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo ya kutafuta amani Burundi

Marais Jumuiya ya Afrika Mashariki wanakutana leo jijini Dar Es Salaam kujadili mgogoro wa kisiasa unaoendelea nchini Burundi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kizingiti mazungumzo ya amani Burundi

Mazungumzo kuhusu mzozo wa kisiasa Burundi yamefanyika nchini Uganda, ingawa washiriki wamekosa kuelewana kuhusu siku ya kuanza kwa mazungumzo kamili.

 

10 years ago

BBCSwahili

Burundi:Mazungumzo ya amani yakwama

Mazungumzo ya mwisho ya kuzima msukosuko wa kisiasa wa Burundi, yamesimamishwa, siku mbili kabla ya uchaguzi wa rais.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo ya amani Burundi kuanza tena

Mazungumzo ya kutafuta amani nchini Burundi yanatarajiwa kuanza tena leo baada ya kusitishwa, kwa siku kadhaa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Burundi:Mazungumzo ya amani kuanza Kampala

Mazungumzo ya kusuluhisha mzozo wa Burundi yataanza tena kesho mjini Kampala, chini ya usimamizi wa Rais Yoweri Museveni wa Uganda.

 

10 years ago

Michuzi

BAN KI MOON ATIWA MOYO NA MAZUNGUMZO YA KISIASA BURUNDI


Na Mwandishi Maalum, New York

Wakati hali  ya kisiasa na kiusalama ikiendelea kuwa ya sintofahamu Nchini Burundi, Katibu  Mkuu wa Umoja wa  Mataifa, Ban  Ki Moon (pichani), ameelezea kutiwa moyo na juhudi mbambali zinazolenga kurejesha hali ya amani na usalama nchi humo .

Taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Katibu Mkuu,  siku ya Ijumaa hapa Umoja wa Mataifa,  imesema,  katibu Mkuu anatiwa  moyo na juhudi zinazofanywa na makundi mbalimbali  ya kikanda, ya kidini,  ya kijamii,  vyama vya siasa ...

 

9 years ago

StarTV

Hali Ya Kisiasa Burundi  Serikali ya Burundi yakubali usuluhishi

 

Rais John Magufuli amefanya mazungumzo na Spika wa Seneti na Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Burundi Reverien Ndikuriyo Ikulu jijini Dar es Salaam kuhusu hali ya kisiasa na usalama nchini Burundi na jitihada zinazochukuliwa na Tanzania ikiwa ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Akiwasilisha ujumbe wa Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi kuhusu hali ya Burundi, Spika Ndikuriyo amesema Serikali ya Burundi ipo tayari kufanya mazungumzo na wadau wote wa siasa kuhusu hali ya nchi hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani