Serikali ya Burundi kususia mazungumzo Arusha
Serikali ya Burundi imesema haitashiriki mazungumzo ya amani ambayo yamepangiwa kuanza hapo kesho mjini Arusha.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili12 Jun
Vyama 17 kususia uchaguzi Burundi
10 years ago
BBCSwahili26 Jun
Burundi upinzani kususia uchaguzi mkuu
10 years ago
BBCSwahili13 May
Mazungumzo ya kutafuta amani Burundi
9 years ago
BBCSwahili28 Dec
Kizingiti mazungumzo ya amani Burundi
10 years ago
BBCSwahili19 Jul
Burundi:Mazungumzo ya amani yakwama
10 years ago
BBCSwahili23 Jun
Mazungumzo ya amani Burundi kuanza tena
9 years ago
BBCSwahili27 Dec
Burundi:Mazungumzo ya amani kuanza Kampala
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-IAV7-qJEfj4/VWAvIWvVE4I/AAAAAAAHZUE/dO7NY-qV2NU/s72-c/unnamed%2B%252831%2529.jpg)
BAN KI MOON ATIWA MOYO NA MAZUNGUMZO YA KISIASA BURUNDI
![](http://4.bp.blogspot.com/-IAV7-qJEfj4/VWAvIWvVE4I/AAAAAAAHZUE/dO7NY-qV2NU/s320/unnamed%2B%252831%2529.jpg)
Na Mwandishi Maalum, New YorkWakati hali ya kisiasa na kiusalama ikiendelea kuwa ya sintofahamu Nchini Burundi, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon (pichani), ameelezea kutiwa moyo na juhudi mbambali zinazolenga kurejesha hali ya amani na usalama nchi humo .Taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Katibu Mkuu, siku ya Ijumaa hapa Umoja wa Mataifa, imesema, katibu Mkuu anatiwa moyo na juhudi zinazofanywa na makundi mbalimbali ya kikanda, ya kidini, ya kijamii, vyama vya siasa ...
9 years ago
StarTV23 Dec
Hali Ya Kisiasa Burundi  Serikali ya Burundi yakubali usuluhishi
Rais John Magufuli amefanya mazungumzo na Spika wa Seneti na Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Burundi Reverien Ndikuriyo Ikulu jijini Dar es Salaam kuhusu hali ya kisiasa na usalama nchini Burundi na jitihada zinazochukuliwa na Tanzania ikiwa ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Akiwasilisha ujumbe wa Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi kuhusu hali ya Burundi, Spika Ndikuriyo amesema Serikali ya Burundi ipo tayari kufanya mazungumzo na wadau wote wa siasa kuhusu hali ya nchi hiyo...