BAN KI MOON ATIWA MOYO NA MAZUNGUMZO YA KISIASA BURUNDI
![](http://4.bp.blogspot.com/-IAV7-qJEfj4/VWAvIWvVE4I/AAAAAAAHZUE/dO7NY-qV2NU/s72-c/unnamed%2B%252831%2529.jpg)
Na Mwandishi Maalum, New York
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pNBdVlin5Lw/VbHEumWFvGI/AAAAAAAHrYs/5dS9hlmWL6c/s72-c/unnamed.jpg)
BAADA YA UCHAGUZI WA AMANI, BURUNDI BAN KI MOON ATAKA KUTEJEA KWA MAZUNGUMZO
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, amezitaka pande zinazopingana nchini Burundi kubaki watulivu na kurejea mara moja katika meza ya majadiliano jumuishi ya kisiasa ili kumaliza tofauti zao na kujadili changamoto zinazolikabili taifa lao.
Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Katibu Mkuu, Julai 23, Ban Ki Moon ametambua hali ya Amani na utulivu iliyotawala wakati wa uchaguzi wa Rais wa nchi hiyo ( Burundi )uliofanyika Julai 21...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6HcNzlZLR5E/VVWixxSybPI/AAAAAAAHXaI/s5olGgYrMP0/s72-c/download.jpg)
Ban ki Moon gravely concerned by developments in Burundi
![](http://1.bp.blogspot.com/-6HcNzlZLR5E/VVWixxSybPI/AAAAAAAHXaI/s5olGgYrMP0/s640/download.jpg)
The UN Secretary-General Ban ki Moon is gravely concerned by developments in Burundi since the announcement of the electoral candidacy of President Nkurunziza and especially in the aftermath of the 13 May declaration of a coup d'état. The Secretary-General condemns attempts to oust elected governments by military force. He appeals for strict respect of Burundi's Constitution as well as the Arusha Agreement. The Secretary-General now urgently calls for calm and restraint. He urges all...
9 years ago
StarTV23 Dec
Hali Ya Kisiasa Burundi  Serikali ya Burundi yakubali usuluhishi
Rais John Magufuli amefanya mazungumzo na Spika wa Seneti na Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Burundi Reverien Ndikuriyo Ikulu jijini Dar es Salaam kuhusu hali ya kisiasa na usalama nchini Burundi na jitihada zinazochukuliwa na Tanzania ikiwa ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Akiwasilisha ujumbe wa Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi kuhusu hali ya Burundi, Spika Ndikuriyo amesema Serikali ya Burundi ipo tayari kufanya mazungumzo na wadau wote wa siasa kuhusu hali ya nchi hiyo...
9 years ago
BBCSwahili24 Aug
Ban Ki Moon ziarani Nigeria
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74170000/jpg/_74170569_021804091.jpg)
11 years ago
BBCSwahili11 Apr
Ban Ki-moon ataoa tahadhari CAR
10 years ago
BBCSwahili02 Jun
Ban Ki-Moon alaani yanayojiri S.kusini
10 years ago
BBCSwahili28 Oct
Ban Ki Moon ziarani Pembe ya Afrika
10 years ago
Dewji Blog29 Oct
Ban Ki Moon awafunda manesi na madaktari
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon.
Na Mwandishi wetu
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban ki Moon amezitaka nchi duniani kuacha tabia ya unyanyapaa kwa madaktari na manesi waliofanya kazi katika nchi zilizoathiriwa na ugonjwa wa Ebola na kuwalazimisha kwenda karantini pindi warejeapo nyumbani.
Akizungumza katika mji mkuu wa Ethiopia Adiss ababa, Ban amewaelezea wafanyakazi wa namna hiyo kuwa ni wa kipekee mno, marafiki wazuri na si vyema kuwatenga.
Kauli hiyo inakuja baada ya...