Wake wa meya walio jela washinda uchaguzi
Wake 2 wa meya wawili wa upinzani waotumikia kifungo cha jela nchini Venezuela wameshinda uchaguzi na kuwarithi waume zao.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili19 Feb
Aliyekuwa Meya jela kwa mauaji Rwanda
Mahakama nchini Ujerumani imemhukumu jela miaka 14 aliyekuwa meya nchini Rwanda Onesphore Rwabukombe, kwa kuhusika na mauaji ya kimbari mwaka 1994.
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Upinzani washinda uchaguzi Argentina
Mgombea wa chama cha upinzani cha Conservative Mauricio Macri amethibitishwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais Argentina.
9 years ago
BBCSwahili20 Oct
Upinzani washinda uchaguzi Canada
Chama cha upinzani nchini Canada kimeshinda uchaguzi mkuu na kufikisha kikomo uongozi wa karibu mwongo mmoja wa chama cha Conservative.
9 years ago
BBCSwahili09 Dec
Upinzani washinda uchaguzi Venezuela
Tume ya uchaguzi nchini Venezuela imeuthibitisha muungano wa upinzani kushinda viti vingi vya ubunge nchini humo.
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Mbwana Samatta: Je mashabiki wake walio nyumbani kwao huko Mbagala wanasemaje?
Baada ya kujiunga na klabu ya Aston Villa ya Uingereza kutoka klabu ya Genk, nahodha wa taifa Stars amepata umaarufu mkubwa sio tu nchini Tanzania bali hata Afrika mashariki.
10 years ago
GPLMWENYEKITI WA PROIN, JOHNSON LUKAZA NA MDOGO WAKE WASHINDA KESI YA EPA
Mwenyekiti wa Makampuni ya Proin, Johnson Lukaza. HATIMAYE Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, imewachia huru Mwenyekiti wa Makampuni ya Proin, Johnson Lukaza na mdogo wake Mwesiga Lukaza waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya wizi wa shilingi bilioni sita katika Akaunti ya Madeni ya Nje ya Benki Kuu (EPA), baada ya kuwaona hawana hatia. Hukumu hiyo Imetolewa na Jaji wa Mahakama Kuu, Edson Mkasimongwa aliyekuwa akisaidiana...
9 years ago
Habarileo07 Dec
Chadema wavutana uchaguzi wa Meya
MVUTANO umezuka ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupinga uongozi wa juu wa chama hicho kuahirisha uchaguzi wa Meya na Naibu Meya wa Jiji la Arusha uliotakiwa kufanyika Ijumaa iliyopita.
9 years ago
Mwananchi26 Nov
Mvutano watawala uchaguzi wa meya Iringa
Mchuano wa kumpata meya wa Manispaa ya Iringa kupitia Chadema umechukua sura mpya baada ya kuahirishwa kwa uchaguzi wa kura za maoni uliokuwa umepangwa kufanyika juzi, kutokana na kuwapo mvutano mkali wa wagombea ndani ya chama hicho.
9 years ago
Mwananchi20 Dec
Ngumi zatawala uchaguzi wa meya Tanga
Kikao cha Baraza la Madiwani wa Jiji la Tanga cha kumchagua meya na naibu wake, jana kiliishia kwa wajumbe kutwangana ngumi mara mbili.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania