Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wake wa meya walio jela washinda uchaguzi

Wake 2 wa meya wawili wa upinzani waotumikia kifungo cha jela nchini Venezuela wameshinda uchaguzi na kuwarithi waume zao.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Aliyekuwa Meya jela kwa mauaji Rwanda

Mahakama nchini Ujerumani imemhukumu jela miaka 14 aliyekuwa meya nchini Rwanda Onesphore Rwabukombe, kwa kuhusika na mauaji ya kimbari mwaka 1994.

 

9 years ago

BBCSwahili

Upinzani washinda uchaguzi Argentina

Mgombea wa chama cha upinzani cha Conservative Mauricio Macri amethibitishwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais Argentina.

 

9 years ago

BBCSwahili

Upinzani washinda uchaguzi Canada

Chama cha upinzani nchini Canada kimeshinda uchaguzi mkuu na kufikisha kikomo uongozi wa karibu mwongo mmoja wa chama cha Conservative.

 

9 years ago

BBCSwahili

Upinzani washinda uchaguzi Venezuela

Tume ya uchaguzi nchini Venezuela imeuthibitisha muungano wa upinzani kushinda viti vingi vya ubunge nchini humo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mbwana Samatta: Je mashabiki wake walio nyumbani kwao huko Mbagala wanasemaje?

Baada ya kujiunga na klabu ya Aston Villa ya Uingereza kutoka klabu ya Genk, nahodha wa taifa Stars amepata umaarufu mkubwa sio tu nchini Tanzania bali hata Afrika mashariki.

 

10 years ago

GPL

MWENYEKITI WA PROIN, JOHNSON LUKAZA NA MDOGO WAKE WASHINDA KESI YA EPA

Mwenyekiti wa Makampuni ya Proin, Johnson Lukaza. HATIMAYE Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, imewachia huru Mwenyekiti wa Makampuni ya Proin, Johnson Lukaza na mdogo wake Mwesiga Lukaza waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya wizi wa shilingi bilioni sita katika Akaunti ya Madeni ya Nje ya Benki Kuu (EPA), baada ya kuwaona hawana hatia. Hukumu hiyo Imetolewa na Jaji wa Mahakama Kuu, Edson Mkasimongwa aliyekuwa akisaidiana...

 

9 years ago

Habarileo

Chadema wavutana uchaguzi wa Meya

MVUTANO umezuka ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupinga uongozi wa juu wa chama hicho kuahirisha uchaguzi wa Meya na Naibu Meya wa Jiji la Arusha uliotakiwa kufanyika Ijumaa iliyopita.

 

9 years ago

Mwananchi

Mvutano watawala uchaguzi wa meya Iringa

Mchuano wa kumpata meya wa Manispaa ya Iringa kupitia Chadema umechukua sura mpya baada ya kuahirishwa kwa uchaguzi wa kura za maoni uliokuwa umepangwa kufanyika juzi, kutokana na kuwapo mvutano mkali wa wagombea ndani ya chama hicho.

 

9 years ago

Mwananchi

Ngumi zatawala uchaguzi wa meya Tanga

Kikao cha Baraza la Madiwani wa Jiji la Tanga cha kumchagua meya na naibu wake, jana kiliishia kwa wajumbe kutwangana ngumi mara mbili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani