Aliyekuwa Meya jela kwa mauaji Rwanda
Mahakama nchini Ujerumani imemhukumu jela miaka 14 aliyekuwa meya nchini Rwanda Onesphore Rwabukombe, kwa kuhusika na mauaji ya kimbari mwaka 1994.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili17 Dec
Aliyekuwa Meya Rwanda 'kudumu' gerezani
Meya wa zamani aliyepatikana na hatia ya kuhusika na mauaji ya kimbari nchini Rwanda ameongezewa kifungo chake kutoka miaka 15 hadi 25
10 years ago
BBCSwahili23 Jan
Polisi jela kwa kumuua mwanaharakati Rwanda
Polisi wawili nchini Rwanda, wamefungwa miaka 20 jela kwa kumuua mwanaharakati wa kupinga ufisadi, aliyekuwa anachunguza kashfa ya ulanguzi wa madini mpakani .
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LDRZ*VdxUTF4mKAVOROcEMvaS1OCek7lMQOzKvGWksZ8w5P-VHX6J8xSJDL3IoEx9mOFKuPxtO7sCbc7Rvk5KahbIREJCIwp/SalmanKhanHDwallpaper3.jpg?width=650)
SALMAN KHAN WA BOLLYWOOD AHUKUMIWA JELA MIAKA 5 KWA MAUAJI
Mwigizaji maarufu wa filamu za Bollywood nchini India Salman Khan. Mwigizaji maarufu wa filamu za Bollywood nchini India Salman Khan amekuhumiwa kifungo cha miaka mitano jela baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mtu mmoja asiye na makazi alipokuwa akiendesha gari huku akiwa amelewa mjini Mumbai. Khan alikuwa ameshtakiwa kwa kuua bila kukusudia baada ya kuelekeza gari lake kwenye kundi la watu waliokuwa wamelala kwenye njia...
9 years ago
Raia Mwema16 Dec
Pauline, mwanamama wa Rwanda aliyehukumiwa kwa ubakaji, mauaji
MAHAKAMA ya Kimataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (ICTR) imerejea hukumu ya awali na kuamua wa
Mwandishi Wetu
5 years ago
BBCSwahili24 May
Mauaji ya Rwanda: Jinsi Felicien Kabuga alivyojificha kwa miaka 26
Kabuga mwenye miaka 84 amekuwa mafichoni kwa muda mrefu hali ya kwamba jopo la kimataifa lililobuniwa kuchunguza mauaji hayo ya 1994 liliacha kufanya kazi yake.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-is_AtRAdld0/VPQhQSQ5BHI/AAAAAAAACD8/oUfBcib_Koc/s72-c/00291460-4e9694611e29a3e22a35b3924757b48d-arc614x376-w614-us1.jpg)
Muimbaji Maarufu Rwanda Afungwa Miaka 10 Jela kwa Kupanga Njama Kumuua Rais Kagame.
![](http://1.bp.blogspot.com/-is_AtRAdld0/VPQhQSQ5BHI/AAAAAAAACD8/oUfBcib_Koc/s640/00291460-4e9694611e29a3e22a35b3924757b48d-arc614x376-w614-us1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CwPhPjmqGpQ/VPQhIv6w8uI/AAAAAAAACDo/o9MyJVrPz6w/s640/kizito2.jpg)
10 years ago
Bongo502 Mar
Mwanamuziki maarufu wa Rwanda afungwa miaka 10 jela kwa kupanga njama dhidi ya Rais Kagame
Mahakama ya Rwanda Ijumaa iliyopita ilimhukumu mwanamuziki maarufu wa nchini humo, Kizito Mihigo kifungo cha miaka 10 jela kwa kosa la kupanga njama dhidi ya serikali ya Rais Paul Kagame. Kizito Mihigo Mihigo alipatikana na hatia ya kuanzisha kundi la kihalifu na njama ya kutekeleza mauaji japo jaji alitupilia mbali makosa ya kuhusika kwenye vitendo […]
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3GnsQAvS8Fc/VVyJ0rvk1SI/AAAAAAAHYiA/u3Eo6_MrYQI/s72-c/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
Mahakama ya Umoja wa Mataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (UN-ICTR) yatoa gari kwa jeshi la magereza arusha
![](http://2.bp.blogspot.com/-3GnsQAvS8Fc/VVyJ0rvk1SI/AAAAAAAHYiA/u3Eo6_MrYQI/s640/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
11 years ago
BBCSwahili27 May
Wake wa meya walio jela washinda uchaguzi
Wake 2 wa meya wawili wa upinzani waotumikia kifungo cha jela nchini Venezuela wameshinda uchaguzi na kuwarithi waume zao.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania