Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pauline, mwanamama wa Rwanda aliyehukumiwa kwa ubakaji, mauaji

MAHAKAMA ya Kimataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (ICTR) imerejea hukumu ya awali na kuamua wa

Mwandishi Wetu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Wanaume wanne walioshtakiwa kwa ubakaji na mauaji wanyongwa nchini India

Wanaume wanne raia wa India wameuawa kwa kunyogwa nchini humo baada ya kushtakiwa kwa ubakaji na mauaji ya kinyama kwenye basi huko Delhi mwaka wa 2012

 

11 years ago

BBCSwahili

Aliyekuwa Meya jela kwa mauaji Rwanda

Mahakama nchini Ujerumani imemhukumu jela miaka 14 aliyekuwa meya nchini Rwanda Onesphore Rwabukombe, kwa kuhusika na mauaji ya kimbari mwaka 1994.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mauaji ya Rwanda: Jinsi Felicien Kabuga alivyojificha kwa miaka 26

Kabuga mwenye miaka 84 amekuwa mafichoni kwa muda mrefu hali ya kwamba jopo la kimataifa lililobuniwa kuchunguza mauaji hayo ya 1994 liliacha kufanya kazi yake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

UNYAMA, UBAKAJI NA MAUAJI: Operesheni Tokomeza Ujangili

OPERESHENI Tokomeza Ujangili imedhihirisha kwamba Tanzania imegeuka Guantanamo na imeacha kuwa ‘kisiwa cha amani’. Hakuna anayefurahia vitendo vya ujangili na uharibifu unaofanywa na majangili dhidi ya mazingira ya asili na...

 

10 years ago

Michuzi

Mahakama ya Umoja wa Mataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (UN-ICTR) yatoa gari kwa jeshi la magereza arusha

 Mahakama ya Umoja wa Mataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (UN-ICTR) imetoa msaada wa gari lililoimarishwa kiusalama - amored vehicle - linaloonekana nyuma kwa Idara ya Magereza nchini kwenye sherehe fupi iliyofanyika mjini Arusha. Akikabidhi gari hilo Mkugenzi wa Idara ya Utawala wa ICTR Dr. Saraha Kilemi alisema kuwa msaada huo ni shukrani za mahakama hiyo kwa Idara hiyo kwa ushirikiano iliyoutoa kwa mahakama hiyo kwa kipindi cha miaka zaidi ya 20 ya kazi za mahakama hiyo...

 

9 years ago

BBCSwahili

Aliyehukumiwa kifo kwa kuzini Maldives aokolewa

Mahakama ya juu Maldives imeokoa maisha ya mama aliyehukumiwa kufa kwa kupigwa mawe baada ya kupata mimba nje ya ndoa

 

11 years ago

Tanzania Daima

SAMIA HASSAN: Mwanamama aliyedhamiria kufanya kazi kwa umakini Bunge la Katiba

LEO namzungumzia Samia Suluhu Hassan, Waziri wa  Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia Muungano. Samia pia amechaguliwa kuwa Makamu wa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba. Tanzania tunapiga hatua...

 

11 years ago

BBCSwahili

Rwanda yakumbuka mauaji ya Kimbari

Watu nchini Rwanda wanaadhimisha miaka 20 tangu kutokea mauaji ya kimbari mwaka 1994 kwa kuwakumbuka maelfu waliouawa

 

9 years ago

BBCSwahili

Mtuhumiwa wa mauaji ya Rwanda akamatwa

Marekani inasema kuwa mtu mmoja anayetuhumiwa kuhusika pakubwa katika mauaji ya kimbari nchini Rwanda mwaka 1994, amekamatwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani