Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aliyehukumiwa kifo kwa kuzini Maldives aokolewa

Mahakama ya juu Maldives imeokoa maisha ya mama aliyehukumiwa kufa kwa kupigwa mawe baada ya kupata mimba nje ya ndoa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mwanamke aliyehukumiwa kifo Sudan ajifungua

Mwanamke aliyeasi dini nchini Sudan na kupata adhabu ya kifo amejifungua mtoto mvulana akiwa jela mjini Khartoum kwa mujibu wa wakili wake.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwanamke aliyehukumiwa kifo Sudan aponea

Mwanamke aliyehukumiwa kifo nchini Sudan kwa kuasi dini ameachiliwa huru.

 

11 years ago

GPL

MWANAMKE ALIYEHUKUMIWA KIFO AKAMATWA TENA

Meriam akiwa na mwanaye Maya, kushoto ni mumewe Daniel Wani aliyempakata mtoto wao wa kiume Martin na wadau waliopigania mama huyo kuachiwa huru kabla ya kukamatwa tena leo. Meriam Ibrahim na mumewe Daniel Wani siku ya ndoa yao mwaka 2011. MWANAMKE Meriam Ibrahim aliyeachiwa huru jana baada ya kuhukumiwa kifo kwa kosa la kuolewa na mwanamume mkristo na kukana dini ya kiisilamu amekamatwa tena akiwa na mumewe pamoja na watoto...

 

9 years ago

Raia Mwema

Pauline, mwanamama wa Rwanda aliyehukumiwa kwa ubakaji, mauaji

MAHAKAMA ya Kimataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (ICTR) imerejea hukumu ya awali na kuamua wa

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

BBCSwahili

Mhuburi aomba radhi baada ya kuzini

Mhubiri mmoja mkristo nchini Kenya ameomba msamaha kanisani baada ya kupatikana akishiriki ngono na mke wa mwanamume mwingine.

 

10 years ago

GPL

NEPAL: KIJANA AOKOLEWA AKIWA HAI BAADA YA KUFUNIKWA NA KIFUSI KWA SIKU TANO

Kijana aliyeokolewa baada ya kufunikwa na kifusi kwa siku tano wakati wa tetemeko la ardhi mjini Kathmandu. Kufuatia tetemeko kubwa la aridhi kuukumba Mji wa Kathmandu nchini Nepal siku tano zilizopita, waokoaji wamefanikiwa kumuokoa kijana mmoja mwenye umri wa miaka 15 aliyepatikana hai baada ya kufunikwa na vifusi vya jengo alilokuwemo wakati wa tetemeko hilo. Licha ya kuwa chini ya maporomoko ya vifusi hivyo kwa siku tano,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais wa Maldives anusurika mlipuko

Rais wa Maldives Yameen Abdul Gayoom, amenusurika baada ya mlipuko kutokea kwenye boti yake alipokuwa akitoka kuhiji Saudi Arabia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Makamu wa rais wa Maldives akamatwa

Makamu wa rais wa Maldives amekamatwa kuhusiana na jaribio la kumuua rais wa taifa hilo, waziri wa masuala ya ndani nchini humo amesema.

 

9 years ago

BBCSwahili

Makamu wa rais wa Maldives afutwa kazi

Bunge nchini Maldives limepiga kura kumfuta kazi Makamu wa Rais Ahmed Adeeb ambaye alikamatwa majuzi kwa tuhuma za uhaini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani