Aliyehukumiwa kifo kwa kuzini Maldives aokolewa
Mahakama ya juu Maldives imeokoa maisha ya mama aliyehukumiwa kufa kwa kupigwa mawe baada ya kupata mimba nje ya ndoa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili27 May
Mwanamke aliyehukumiwa kifo Sudan ajifungua
Mwanamke aliyeasi dini nchini Sudan na kupata adhabu ya kifo amejifungua mtoto mvulana akiwa jela mjini Khartoum kwa mujibu wa wakili wake.
11 years ago
BBCSwahili23 Jun
Mwanamke aliyehukumiwa kifo Sudan aponea
Mwanamke aliyehukumiwa kifo nchini Sudan kwa kuasi dini ameachiliwa huru.
11 years ago
GPL
MWANAMKE ALIYEHUKUMIWA KIFO AKAMATWA TENA
Meriam akiwa na mwanaye Maya, kushoto ni mumewe Daniel Wani aliyempakata mtoto wao wa kiume Martin na wadau waliopigania mama huyo kuachiwa huru kabla ya kukamatwa tena leo. Meriam Ibrahim na mumewe Daniel Wani siku ya ndoa yao mwaka 2011. MWANAMKE Meriam Ibrahim aliyeachiwa huru jana baada ya kuhukumiwa kifo kwa kosa la kuolewa na mwanamume mkristo na kukana dini ya kiisilamu amekamatwa tena akiwa na mumewe pamoja na watoto...
9 years ago
Raia Mwema16 Dec
Pauline, mwanamama wa Rwanda aliyehukumiwa kwa ubakaji, mauaji
MAHAKAMA ya Kimataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (ICTR) imerejea hukumu ya awali na kuamua wa
Mwandishi Wetu
11 years ago
BBCSwahili11 Feb
Mhuburi aomba radhi baada ya kuzini
Mhubiri mmoja mkristo nchini Kenya ameomba msamaha kanisani baada ya kupatikana akishiriki ngono na mke wa mwanamume mwingine.
10 years ago
GPL
NEPAL: KIJANA AOKOLEWA AKIWA HAI BAADA YA KUFUNIKWA NA KIFUSI KWA SIKU TANO
Kijana aliyeokolewa baada ya kufunikwa na kifusi kwa siku tano wakati wa tetemeko la ardhi mjini Kathmandu. Kufuatia tetemeko kubwa la aridhi kuukumba Mji wa Kathmandu nchini Nepal siku tano zilizopita, waokoaji wamefanikiwa kumuokoa kijana mmoja mwenye umri wa miaka 15 aliyepatikana hai baada ya kufunikwa na vifusi vya jengo alilokuwemo wakati wa tetemeko hilo. Licha ya kuwa chini ya maporomoko ya vifusi hivyo kwa siku tano,...
10 years ago
BBCSwahili28 Sep
Rais wa Maldives anusurika mlipuko
Rais wa Maldives Yameen Abdul Gayoom, amenusurika baada ya mlipuko kutokea kwenye boti yake alipokuwa akitoka kuhiji Saudi Arabia.
10 years ago
BBCSwahili24 Oct
Makamu wa rais wa Maldives akamatwa
Makamu wa rais wa Maldives amekamatwa kuhusiana na jaribio la kumuua rais wa taifa hilo, waziri wa masuala ya ndani nchini humo amesema.
9 years ago
BBCSwahili06 Nov
Makamu wa rais wa Maldives afutwa kazi
Bunge nchini Maldives limepiga kura kumfuta kazi Makamu wa Rais Ahmed Adeeb ambaye alikamatwa majuzi kwa tuhuma za uhaini.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania