Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mhuburi aomba radhi baada ya kuzini

Mhubiri mmoja mkristo nchini Kenya ameomba msamaha kanisani baada ya kupatikana akishiriki ngono na mke wa mwanamume mwingine.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

T.I. aomba radhi baada ya kusema mwanamke hawezi kuwa rais wa Marekani!

T.I. amejikuta kwenye kitimoto baada ya kutania kuwa mwanamke hawezi kuwa rais wa Marekani. Baada ya maji kumfika shingoni, rapper huyo ameamua kuomba radhi. Wakati wa interview na DJ Whoo Kid wiki iliyopita, Tip alisema hawezi kumpigia kura Hillary Clinton kwasababu ni mwanamke. “Not to be sexist, but I can’t vote for the leader of […]

 

9 years ago

Bongo5

Justin Bieber asusia kutumbuiza Norway, akatisha onesho na kushuka jukwaani baada ya kuimba wimbo mmoja, aomba radhi

Bieber norwayJustin Bieber ameibuka na kituko kingine Alhamisi ya wiki hii (Oct.30), baada ya kuwasusia mashabiki wa Olso, Norway alikoenda kutumbuiza. Bieber alipanda jukwaani na kutumbuiza wimbo wa kwanza, kabla ya kususa na kushuka jukwaani na kuondoka. Bieber alitakiwa kutumbuiza nyimbo 6 kwenye show hiyo iliyokuwa pia inarekodiwa kwaajili ya talk show ya Tv ‘Senkveld’. Kilichomkera […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkuu wa QPR aomba radhi

Mwenyekiti wa QPR ameomba msamaha kwa misuko suko inayoshuhudiwa katika klabu hiyo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mmiliki wa clippers aomba radhi

Mmiliki wa klabu ya mpira wa vikapu ya Los Angeles Clippers, Donald Sterling, ameomba radhi kwa matamshi yake ya kibaguzi.

 

9 years ago

GPL

ROSE MUHANDO AOMBA RADHI!

Brighton Masalu MWIMBAJI nyota wa nyimbo za Injili, Rose Muhando, amewaomba radhi watu wote aliowahi kuwakwaza, ikiwa ni pamoja na kuchukua fedha za kushiriki onesho, lakini akashindwa kufanya hivyo, akidai ni ubinadamu. ....Soma zaidi====>http://bit.ly/1PyG6EX

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigel Pearson aomba radhi

Meneja wa Leicester City Nigel Pearson ameomba radhi kwa mwandishi wa habari aliyemtukana

 

10 years ago

BBCSwahili

Wayne Rooney aomba radhi

Golikipa wa timu ya Preston Thorsten Stuckmann ameeleza kuwa mshambuliaji Wayne Rooney alimuomba msamaha baada ya kuanguka katika eneo la hatari na kupata mkwaju wa penati.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tsarnaev aomba radhi waathirika .

Dzhokhar Tsarnaev aliyefanya shambulio la bomu katika mbio za marathon mjini Boston ameomba radhi kwa waathirika wa tukio hilo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Linex aomba radhi mashabiki wake

MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Sunday Mangu amewataka radhi mashabiki wake kwa kushindwa kufanya uzinduzi wa video yake ya ‘Wema Kwa Ubaya’ ambayo alipanga kuizindua Agosti 31, katika ukumbi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani