Rais Kikwete aelekea nchini Zambia kwa ziara ya kikazi ya siku mbili
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameondoka leo tarehe 25 Februari, 2015 kuelekea Lusaka Zambia kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku mbili kufuatia mwaliko kutoka kwa Rais Edgar Chagwa Lungu wa Zambia.
Viongozi hao wanatarajia kufanya mazungumzo kuhusu ushirikiano wa nchi mbili hizi ikiwemo suala la reli ya Tanzania-Zambia Railway Authority (TAZARA), inayounganisha Tanzania na Zambia.
Hivi karibuni Reli ya TAZARA imekuwa ikikabiliwa na changamoto...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3HSoWMoSp5I/VaTsoV1F1qI/AAAAAAAHpl4/GaXncv9sVg4/s72-c/g4.jpg)
RAIS KIKWETE AELEKEA GENEVA LEO KWA ZIARA YA KIKAZI
![](http://1.bp.blogspot.com/-3HSoWMoSp5I/VaTsoV1F1qI/AAAAAAAHpl4/GaXncv9sVg4/s640/g4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-IgeFBGs5tXA/VaTsqdiBRsI/AAAAAAAHpmA/X-dCLStTI10/s640/g5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CDGsi3PHE2Q/VaTsiQO3ZKI/AAAAAAAHplg/CZiTD3qnio0/s640/g1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Gy3oXb_O9t8/VaTskhikB4I/AAAAAAAHplo/fma7akO7GgY/s640/g2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1J2ZDHrUwHk/VaTslo68egI/AAAAAAAHplw/tM1_VDgz0Xo/s640/g3.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zwIU6rRd6q4/U8e45_6V1HI/AAAAAAAF3BM/ZI5LxYNohb0/s72-c/unnamed+(20).jpg)
RAIS KIKWETE AELEKEA RUVUMA KWA ZIARA YA KIKAZI YA WIKI MOJA
![](http://3.bp.blogspot.com/-zwIU6rRd6q4/U8e45_6V1HI/AAAAAAAF3BM/ZI5LxYNohb0/s1600/unnamed+(20).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QGXVpuQeMaI/VhwNkGGm_hI/AAAAAAAH_h8/rz9Q38RZZCI/s72-c/n2.jpg)
RAIS WA NAMIBIA AMALIZA ZIARA YAKE YA KIKAZI YA SIKU MBILI NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-QGXVpuQeMaI/VhwNkGGm_hI/AAAAAAAH_h8/rz9Q38RZZCI/s640/n2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2d3OqdPED_E/VhwN0xUTs4I/AAAAAAAH_is/Hc35k5Ch6lY/s640/n8.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-buI1twtImKA/VW3dbxMHMlI/AAAAAAAHbfE/xCR9Z-8iyTE/s72-c/unnameds1.jpg)
Dk.Shein aelekea nchini Ujerumani leo kwa ziara ya kikazi
![](http://4.bp.blogspot.com/-buI1twtImKA/VW3dbxMHMlI/AAAAAAAHbfE/xCR9Z-8iyTE/s640/unnameds1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-cqX99Y5T3WM/VW3db8gLbmI/AAAAAAAHbfA/GEVUt5pa9Ic/s640/unnameds2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-PEFjvluYP0k/VE_V95iIM-I/AAAAAAAGt8E/dBqdBWZaT1o/s72-c/unnamedj1.jpg)
RAIS KIKWETE AONDOKA NCHINI VIETNAM BAADA YA KUHITIMISHA ZIARA RASMI YA SIKU MBILI NCHINI HUMO
![](http://3.bp.blogspot.com/-PEFjvluYP0k/VE_V95iIM-I/AAAAAAAGt8E/dBqdBWZaT1o/s1600/unnamedj1.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5YjhIBLT6B-R4l1UFGhdMNs1oJGHt*GeEnINePsWEgtIgbpiX7Wa0N8eOC8ESOWTDQTq*eNYedZe77N*3frIDLS4/kikwe1.jpg?width=650)
JK AWASILI KINSHASA KWA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU MBILI DRC
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipokea maua muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Ndjili jijini Kinshasa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC)Â usiku wa kuamkia leo kwa ziara ya kikazi ya siku mbili.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo(DRC) Augustin Matata Ponyo Mapon akimkaribisha na kuzungumza na Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete muda mfupi baada ya kuwasili katika mji mkuu...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-41aEfn-kODY/U23Qg6hQaEI/AAAAAAAFgoA/kCpwze6UEcs/s72-c/unnamed+(45).jpg)
JK AWASILI KINSHASA KWA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU MBILI DRC
![](http://1.bp.blogspot.com/-41aEfn-kODY/U23Qg6hQaEI/AAAAAAAFgoA/kCpwze6UEcs/s1600/unnamed+(45).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-v6ZETo-IuLo/U23QhIFaHmI/AAAAAAAFgn4/UUvGPi7fo1o/s1600/unnamed+(46).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-AFI3f3jMmDw/VE5Y4IkgvKI/AAAAAAAGtnc/M-RmI66grAY/s72-c/v5.jpg)
RAIS KIKWETE AWASILI VIETNAM KWA ZIARA RASMI YA SIKU MBILI
![](http://1.bp.blogspot.com/-AFI3f3jMmDw/VE5Y4IkgvKI/AAAAAAAGtnc/M-RmI66grAY/s1600/v5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VTWe6EFaus4/VE5Y4dJe4hI/AAAAAAAGtns/1SzCE5rkT2w/s1600/v6.jpg)
5 years ago
MichuziMASENETA SITA KUTOKA NCHINI UFARANSA WAPO NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU NANE
Na Karama Kenyunko-Michuzi Blog.
MASENETA sita kutoka nchini Ufaransa wako nchini Tanzania kwa ziara za kikazi ambapo wanatarajia kutembelea mikoa mbalimbali pamoja na visiwani Zanzibar kujionea shughuli za maendeleo zinazofanywa na wadau wanaonufaika na misaada ya Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AFD).
Ziara hiyo itafanyika kwenye Mikoa ya Dar es Salaam, Morogoro, Dodoma na Arusha na kwamba ni matokeo ya ziara iliyofanywa Septemba mwaka jana na marafiki wa Ufaransa na Tanzania na kuazimia...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania