RAIS KIKWETE ZIARANI MAREKANI KWA MWALIKO WA UMOJA WA MATAIFA
![](http://2.bp.blogspot.com/-4qZK2M3L6ls/VRjc93bA0EI/AAAAAAAHOM4/J-mSWFnoiJg/s72-c/u1.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete Jumapili, Machi 29, 2015 amewasili jijini New York, Marekani kwa mwaliko wa Umoja wa Mataifa.Miongoni mwa mambo mengine, Rais Kikwete amefunguia rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa, na Jumatatu Machi 30, 2015 amealikwa kuhutubia Baraza la Umoja wa Mataifa la Uchumi na Jamii (ECOSOC - UN). Rais Kikwete akilakiwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4qZK2M3L6ls/VRjc93bA0EI/AAAAAAAHOM4/J-mSWFnoiJg/s72-c/u1.jpg)
RAIS KIKWETE AWASILI MAREKANI KWA MWALIKO WA UMOJA WA MATAIFA
Miongoni mwa mambo mengine, Rais Kikwete amefunguia rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa, na Jumatatu Machi 30, 2015 amealikwa kuhutubia Baraza la Umoja wa Mataifa la Uchumi na Jamii (ECOSOC - UN).
![](http://2.bp.blogspot.com/-4qZK2M3L6ls/VRjc93bA0EI/AAAAAAAHOM4/J-mSWFnoiJg/s1600/u1.jpg)
10 years ago
Dewji Blog30 Mar
Rais Kikwete aelekea nchini Marekani kwa mwaliko wa Umoja wa Mataifa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameondoka nchini usiku wa jana, Jumamosi, Machi 28, 2015 kwenda Marekani kwa mwaliko wa Umoja wa Mataifa.
Miongoni mwa mambo mengine, Rais Kikwete amealikwa kuhutubia Baraza la Umoja wa Mataifa la Uchumi na Jamii (ECOSOC – UN).
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR ES SALAAM.
29 Machi, 2015
9 years ago
Dewji Blog26 Sep
Rais Jakaya Kikwete katika mkutano wa 70 wa Umoja wa Mataifa Jijini New York, MAREKANI
Rais Kikwete akiwa na Rais Filipe Jacinto Nyusi wa Mzumbiji na mawaziri wao wa nchi za nje katika mkutano huo mjini New York.
Rais Kikwete akiwa na Waziri Mkuu wa Denmark Mhe. Lars Loekke Rasmussen
Rais Kikwete akiwa na Rais mstaafu wa Finland Mama Tarja Halonen
Rais Kikwete na ujumbe wa Tanzania Waziri wa Mambo ya Nje na ushurikiano wa Kimataifa Mhe Bernard Membe, Waziri wa Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto Mhe Sophia Simba, Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe Yussuf Mzee, Katibu...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-lI9ZjQKjg-E/VCrKouiJ51I/AAAAAAADGYQ/OqbqG1Kk2Fs/s72-c/jk1.jpg)
RAIS KIKWETE AREJEA NCHINI KUTOKA MAREKANI KWENYE MKUTANO WA 69 WA UMOJA WA MATAIFA
![](http://1.bp.blogspot.com/-lI9ZjQKjg-E/VCrKouiJ51I/AAAAAAADGYQ/OqbqG1Kk2Fs/s1600/jk1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-QhSnef46DbM/VCrKowF3mqI/AAAAAAADGYY/IlIgYNndf4A/s1600/jk2.jpg)
10 years ago
VijimamboWabunge waliopo ziarani Marekani watembelea Ubalozi wa Tanzania Umoja wa Mataifa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m9h2OjxKkWeTAEf8NCJfSwYfMdf5H1k1cb3bkCJRvdK2xyz0sidyWokEqqCeidjGd6LMiyLUwI7s4dORHH-vUnTCbZkqcaDx/jk3.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AREJEA NCHINI KUTOKA MAREKANI KWENYE MKUTANO WA 69 WA UMOJA WA MATAIFA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--qX5jO2V1KU/VRu_qkHJ3zI/AAAAAAAHOuM/3eV162Ggxoc/s72-c/un2.jpg)
RAIS KIKWETE AHUTUBIA UMOJA WA MATAIFA KATIKA MKUTANO WA KUPATA MAENDELEO ENDELEVU KWA KUKUZA AJIRA NA KAZI ZA UTU
![](http://2.bp.blogspot.com/--qX5jO2V1KU/VRu_qkHJ3zI/AAAAAAAHOuM/3eV162Ggxoc/s1600/un2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1K684XoqEuk/VRu_q973ZaI/AAAAAAAHOuU/k18sgfeiAtE/s1600/un3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0Jif4iDpRqQ/VRu_q9uYJJI/AAAAAAAHOuQ/awjnrzRbm6c/s1600/un4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-asAKYVqP5f8/VRu_rq9ldFI/AAAAAAAHOug/RgDcVsFPxNg/s1600/un6.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-2Wubk_hhxYk/VRun4oR6uMI/AAAAAAADeEI/h-4Z52m1zTc/s72-c/un2.jpg)
RAIS KIKWETE AHUTUBIA UMOJA W MATAIFA KATIKA MKUTANO WA KUPATA MAENDELEO ENDELEVU KWA KUKUZA AJIRA NA KAZI ZA UTU
![](http://2.bp.blogspot.com/-2Wubk_hhxYk/VRun4oR6uMI/AAAAAAADeEI/h-4Z52m1zTc/s1600/un2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vpm5AngUtJA/VRun5NtM-TI/AAAAAAADeEQ/C1x-Aime8ws/s1600/un3.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/kEfXE4PeXkM/default.jpg)
RAIS KIKWETE AAGA UMOJA WA MATAIFA (UN)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete jana jumanne amelihutubia kwa mara ya mwisho Baraza Kuu la 70 la Umoja wa Mtaifa akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hotuba ya Mhe. Rais na ambayo iligusia mambo mengi ya kisiasa, kiuchumi, na maendeleo akitumia pia fursa hiyo kuwaanga viongozi wenzie na kuwashukuru kwa ushirikiano waliompatia katika kipindi cha miaka kumi ya uongozi wake, iliwasisimua wajumbe wa mkutano huo kiasi cha kukatishwa mara...