RAIS KIKWETE AHUTUBIA UMOJA W MATAIFA KATIKA MKUTANO WA KUPATA MAENDELEO ENDELEVU KWA KUKUZA AJIRA NA KAZI ZA UTU
![](http://2.bp.blogspot.com/-2Wubk_hhxYk/VRun4oR6uMI/AAAAAAADeEI/h-4Z52m1zTc/s72-c/un2.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wakati wa ufunguzi wa Mkutano unaozungumzia jinsi ya kupata Maendeleo endelevu kwa kukuza ajira na kazi zenye utu (Achieving sustainable development through employment creation and decent work) tarehe 30 Aprili, 2015 katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa (UN) jijini New York, Marekani.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wakati wa ufunguzi wa Mkutano unaozungumzia jinsi ya kupata Maendeleo endelevu kwa kukuza ajira na kazi zenye utu (Achieving...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--qX5jO2V1KU/VRu_qkHJ3zI/AAAAAAAHOuM/3eV162Ggxoc/s72-c/un2.jpg)
RAIS KIKWETE AHUTUBIA UMOJA WA MATAIFA KATIKA MKUTANO WA KUPATA MAENDELEO ENDELEVU KWA KUKUZA AJIRA NA KAZI ZA UTU
![](http://2.bp.blogspot.com/--qX5jO2V1KU/VRu_qkHJ3zI/AAAAAAAHOuM/3eV162Ggxoc/s1600/un2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1K684XoqEuk/VRu_q973ZaI/AAAAAAAHOuU/k18sgfeiAtE/s1600/un3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0Jif4iDpRqQ/VRu_q9uYJJI/AAAAAAAHOuQ/awjnrzRbm6c/s1600/un4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-asAKYVqP5f8/VRu_rq9ldFI/AAAAAAAHOug/RgDcVsFPxNg/s1600/un6.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CJGNaD1-rNg/Uxaqn9L6ZDI/AAAAAAAFRJU/X3yevlEsxZ8/s72-c/unnamed+(10).jpg)
TAKWIMU RASMI NA ENDELEVU NGUZO MUHIMU KATIKA UTEKELEZAJI WA SERA ZA MAENDELEO -UMOJA WA MATAIFA
9 years ago
Dewji Blog26 Sep
Rais Jakaya Kikwete katika mkutano wa 70 wa Umoja wa Mataifa Jijini New York, MAREKANI
Rais Kikwete akiwa na Rais Filipe Jacinto Nyusi wa Mzumbiji na mawaziri wao wa nchi za nje katika mkutano huo mjini New York.
Rais Kikwete akiwa na Waziri Mkuu wa Denmark Mhe. Lars Loekke Rasmussen
Rais Kikwete akiwa na Rais mstaafu wa Finland Mama Tarja Halonen
Rais Kikwete na ujumbe wa Tanzania Waziri wa Mambo ya Nje na ushurikiano wa Kimataifa Mhe Bernard Membe, Waziri wa Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto Mhe Sophia Simba, Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe Yussuf Mzee, Katibu...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-2LCUga2MkIM/VCNnAVKUUtI/AAAAAAAAHbE/3Luw-asfVCQ/s72-c/Kikwete%2BUN.jpg)
Hotuba ya Rais Kikwete kwenye mkutano wa tabianchi, Umoja wa Mataifa
![](http://2.bp.blogspot.com/-2LCUga2MkIM/VCNnAVKUUtI/AAAAAAAAHbE/3Luw-asfVCQ/s1600/Kikwete%2BUN.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2LCUga2MkIM/VCNnAVKUUtI/AAAAAAAAHbE/3Luw-asfVCQ/s72-c/Kikwete%2BUN.jpg)
Hotuba ya Rais Kikwete kwenye mkutano wa tabianchi, Umoja wa Mataifa, New York
![](http://2.bp.blogspot.com/-2LCUga2MkIM/VCNnAVKUUtI/AAAAAAAAHbE/3Luw-asfVCQ/s1600/Kikwete%2BUN.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-lI9ZjQKjg-E/VCrKouiJ51I/AAAAAAADGYQ/OqbqG1Kk2Fs/s72-c/jk1.jpg)
RAIS KIKWETE AREJEA NCHINI KUTOKA MAREKANI KWENYE MKUTANO WA 69 WA UMOJA WA MATAIFA
![](http://1.bp.blogspot.com/-lI9ZjQKjg-E/VCrKouiJ51I/AAAAAAADGYQ/OqbqG1Kk2Fs/s1600/jk1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-QhSnef46DbM/VCrKowF3mqI/AAAAAAADGYY/IlIgYNndf4A/s1600/jk2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog25 Sep
AUDIO: Hotuba ya Rais Kikwete kwenye mkutano wa Tabianchi, Umoja wa Mataifa New York
Rais Jakaya Kikwete akihutubia Umoja wa Mataifa. (picha: UN Photo/Ryan Brown)
Septemba 23, 2014, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Kikwete, ambaye pia ni kiongozi wa kamati ya viongozi wa nchi na serikali za Afrika kuhusu mabadiliko ya tabianchi, alihutubia kikao kilichoandaliwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon kujadili changamoto za mabadiliko ya tabianchi duniani.
Hii ni hotuba yake (kwa hisani ya Umoja wa Mataifa).
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m9h2OjxKkWeTAEf8NCJfSwYfMdf5H1k1cb3bkCJRvdK2xyz0sidyWokEqqCeidjGd6LMiyLUwI7s4dORHH-vUnTCbZkqcaDx/jk3.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AREJEA NCHINI KUTOKA MAREKANI KWENYE MKUTANO WA 69 WA UMOJA WA MATAIFA
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-ztMSV6ukg9I/VfkA0CQnGiI/AAAAAAAD7pQ/axg1YahH8iQ/s72-c/tanzani-president-kikwete-jakaya.jpg)
JK KUELEZEA UMOJA WA MATAIFA MAENDELEO YA KAZI YA JOPO ANALOLIONGOZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ztMSV6ukg9I/VfkA0CQnGiI/AAAAAAAD7pQ/axg1YahH8iQ/s640/tanzani-president-kikwete-jakaya.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye ni Mwenyekiti wa Jopo la Ngazi ya Juu kuhusu Mwitikio wa Kimataifa wa Majanga ya Kiafya, anatarajiwa Ijumaa wiki hii, kueleza mbele ya wajumbe wa nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa kuhusu maendeleo ya kazi ya jopo hilo tangu kuundwa kwake.
Jopo la Ngazi ya juu kuhusu mwitiko wa Kimataifa wa majanga ya kiafya liliundwa mwezi wa nne mwaka huu na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, ambapo Rais Kikwete...