AUDIO: Hotuba ya Rais Kikwete kwenye mkutano wa Tabianchi, Umoja wa Mataifa New York
Rais Jakaya Kikwete akihutubia Umoja wa Mataifa. (picha: UN Photo/Ryan Brown)
Septemba 23, 2014, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Kikwete, ambaye pia ni kiongozi wa kamati ya viongozi wa nchi na serikali za Afrika kuhusu mabadiliko ya tabianchi, alihutubia kikao kilichoandaliwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon kujadili changamoto za mabadiliko ya tabianchi duniani.
Hii ni hotuba yake (kwa hisani ya Umoja wa Mataifa).
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2LCUga2MkIM/VCNnAVKUUtI/AAAAAAAAHbE/3Luw-asfVCQ/s72-c/Kikwete%2BUN.jpg)
Hotuba ya Rais Kikwete kwenye mkutano wa tabianchi, Umoja wa Mataifa, New York
![](http://2.bp.blogspot.com/-2LCUga2MkIM/VCNnAVKUUtI/AAAAAAAAHbE/3Luw-asfVCQ/s1600/Kikwete%2BUN.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-2LCUga2MkIM/VCNnAVKUUtI/AAAAAAAAHbE/3Luw-asfVCQ/s72-c/Kikwete%2BUN.jpg)
Hotuba ya Rais Kikwete kwenye mkutano wa tabianchi, Umoja wa Mataifa
![](http://2.bp.blogspot.com/-2LCUga2MkIM/VCNnAVKUUtI/AAAAAAAAHbE/3Luw-asfVCQ/s1600/Kikwete%2BUN.jpg)
9 years ago
Dewji Blog26 Sep
Rais Jakaya Kikwete katika mkutano wa 70 wa Umoja wa Mataifa Jijini New York, MAREKANI
Rais Kikwete akiwa na Rais Filipe Jacinto Nyusi wa Mzumbiji na mawaziri wao wa nchi za nje katika mkutano huo mjini New York.
Rais Kikwete akiwa na Waziri Mkuu wa Denmark Mhe. Lars Loekke Rasmussen
Rais Kikwete akiwa na Rais mstaafu wa Finland Mama Tarja Halonen
Rais Kikwete na ujumbe wa Tanzania Waziri wa Mambo ya Nje na ushurikiano wa Kimataifa Mhe Bernard Membe, Waziri wa Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto Mhe Sophia Simba, Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe Yussuf Mzee, Katibu...
10 years ago
Dewji Blog19 Sep
Tamko la asasi za kiraia kuhusu Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya tabianchi utakaofanyika New York
Asasi Nne zisizo za kiserikali zinazojishughulisha na kupambana na mabadiliko ya tabianchi nchini ForumCC, CAN, YouthCAN na Oxfam Tanzania zimetoa tamko la pamoja kuhusiana na Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi utakaofanyika huko New York-Marekani tarehe 23/09/2014.
Katika tamko hilo ambalo pia limewasilishwa kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais-Mazingira, Dr. Eng. Binilith Mahenge, mambo matano yamependekezwa kuzingatiwa wakati wa mkutano huo ambao Rais wa...
10 years ago
MichuziTamko la asasi za kiraia kuhusu Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi utakaofanyika huko New York-Marekani Septemba 23
Katika tamko hilo ambalo pia limewasilishwa kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais-Mazingira, Dr. Eng. Binilith Mahenge, mambo matano yamependekezwa kuzingatiwa wakati wa mkutano huo ambao Rais wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-lI9ZjQKjg-E/VCrKouiJ51I/AAAAAAADGYQ/OqbqG1Kk2Fs/s72-c/jk1.jpg)
RAIS KIKWETE AREJEA NCHINI KUTOKA MAREKANI KWENYE MKUTANO WA 69 WA UMOJA WA MATAIFA
![](http://1.bp.blogspot.com/-lI9ZjQKjg-E/VCrKouiJ51I/AAAAAAADGYQ/OqbqG1Kk2Fs/s1600/jk1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-QhSnef46DbM/VCrKowF3mqI/AAAAAAADGYY/IlIgYNndf4A/s1600/jk2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m9h2OjxKkWeTAEf8NCJfSwYfMdf5H1k1cb3bkCJRvdK2xyz0sidyWokEqqCeidjGd6LMiyLUwI7s4dORHH-vUnTCbZkqcaDx/jk3.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AREJEA NCHINI KUTOKA MAREKANI KWENYE MKUTANO WA 69 WA UMOJA WA MATAIFA
10 years ago
Dewji Blog14 Apr
11 years ago
Michuzi22 Mar