Majeshi ya AU yaua mtu mmoja CAR
Majeshi ya Umoja wa Afrika yamewafyatulia risasi waandamanaji katika Jamhuri ya Afrika ya Kati na kumuua mtu mmoja
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Dec
Radi yaua mtu mmoja Mbozi na kujeruhi 11
11 years ago
Michuzi23 Jun
NEWS ALERT:AJALI YAUA MTU MMOJA IRINGA
Taarifa za awali zinaonesha kwamba dereva wa gari hilo jina lake bado halijapatikana ...
9 years ago
Mtanzania15 Dec
Mapigano ya wakulima, wafugaji yaua mtu mmoja, ng’ombe 71 Morogoro
NA RAMADHAN LIBENANGA, MOROGORO
MTU mmoja amefariki dunia na wengine wanne wamejeruhiwa, akiwamo askari polisi mmoja baada ya kutokea mapigano kati ya wakulima na wafugaji katika Kijiji cha Dihinda, Kata ya Kanga, Wilaya ya Mvomero, Mkoa wa Morogoro.
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Dihinda, Hariri Kilama, alisema tukio hilo lilitokea Desemba 11, saa 11 jioni.
Kwa mujibu wa Kilama, tukio hilo lilisababishwa na mfugaji mmoja aliyejulikana kwa jina...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-r5zu7FzQ0A8/VG5A9a2Zk7I/AAAAAAAAc8A/kikHMlNSxIQ/s72-c/tt.jpg)
MAJAMBAZI YAUA BINTI MMOJA NA KUJERUHI MMOJA KATIKA TUKIO LA UPORAJI LILILOTOKEA LEO ASUBUHI YOMBO VITUKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-r5zu7FzQ0A8/VG5A9a2Zk7I/AAAAAAAAc8A/kikHMlNSxIQ/s1600/tt.jpg)
Majambazi wawili waliokuwa na pikipiki wamuua Binti mmoja aliyefahamika kwa jina...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vFrhOHBMvXE/Xtj2JPPH9dI/AAAAAAALsoY/9MX4lQk1ONIMjPoJ_uhDDF3vd_iLtZPtwCLcBGAsYHQ/s72-c/b52d1324-d326-4b35-bd3b-4a7d82bc1cc0.jpg)
UVUTAJI WA TUMBAKU UNA ATHARI KIUCHUMI WA MTU MMOJA MMOJA ANAYETUMIA
Na WAMJW-Dodoma
Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu amesema Tanzania kama nchi nyingine za Kiafrika wavutaji wa tumbaku wako hatarini kuyumba kiuchumi na kupata magonjwa yasiyoambukizwa kama tahadhari hazitachukuliwa mapema.
Waziri Ummy amesema hayo leo wakati wa uzinduzi wa ripoti ya utafiti wa matumizi ya tumbaku kwa watu wazima wa mwaka 2018 nchini uliofanyika mapema leo katika Ukumbi wa Takwimu jijini Dodoma.
Waziri Ummy amesema utafiti huo umeonesha...
10 years ago
BBCSwahili02 Jul
Majeshi ya Misri yaua wapiganaji wa IS
11 years ago
BBCSwahili21 Feb
Huenda UN ikatuma majeshi yake CAR
11 years ago
Dewji Blog26 Jul
Drogba arudisha majeshi klabu ya Chelsea kwa mkataba wa mwaka mmoja!
Mshambuliaji wa Ivory Coast Didier Drogba amesaini mkataba wa mwaka mmoja kujiunga tena na Chelsea.
Drogba, 36, alishinda makombe 10 akiwa na Chelsea kuanzia mwaka 2004 hadi 2012, baada ya kuifungia timu hiyo mabao 157 katika mechi 341 na alikuwa mchezaji huru baada ya kuondoka klabu ya Galatasaray ya Uturuki.
Meneja Jose Mourinho, mapema alisema Stamford Bridge ni kama “kwake” mchezaji huyo.
Drogba ameiambia tovuti ya Chelsea kuwa: “Ulikuwa uamuzi rahisi- sikuweza kukataa nafasi ya kufanya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
AJALI YAUA MMOJA TARIME