Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Huenda UN ikatuma majeshi yake CAR

Umoja wa mataifa unasema wanajeshi zaidi wanahitajika kusaidia katika juhudi za kulinda amani katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya AU yaua mtu mmoja CAR

Majeshi ya Umoja wa Afrika yamewafyatulia risasi waandamanaji katika Jamhuri ya Afrika ya Kati na kumuua mtu mmoja

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi: haijapeleka majeshi yake Ukraine

Rais Vladimir Putin wa Urusi, amesema bado hakuna haja kwa nchi yake kupeleka majeshi nchini Ukraine.

 

11 years ago

BBCSwahili

Obama Kuondoa majeshi yake Afghanistan

Obama ameagiza Pentagon kuandaa mipango ya kuwaondoa wanajeshi wake wote kutoka Afghanistan ifikapo mwisho wa mwaka huu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Sudan K: Uganda inaondoa majeshi yake

Sudan Kusini inasema kuwa majeshi ya Uganda yaliyoko Jonglei yameanza kuondoka nchini humo

 

10 years ago

Vijimambo

MANNY PACQUIAO HUENDA AKACHUKULIWA HATUA BAADA YA KUTOORODHESHA MAUMIVU YAKE

Manny Pacquiao akiwa amefunga bega lake la kuliaPacquiao's pre-fight questionnaire which shows he did not disclose his shoulder injury

 

10 years ago

Vijimambo

MAN LEAVES HIS CAR AT CAR WASH,CAME BACK TO THIS

What will you do??????...You dropped your SUV at a car wash for it be washed and left. And by the time you came back, the car had been practically destroyed (Picture above) and the car wash is not insured or have license. An inexperienced driver with no driver license lost control of the SUV and smashed it into a fence. 



 

9 years ago

Vijimambo

AUDIO : LEMBELI AELEZA HATMA YAKE BAADA YA KUUKOSA UBUNGE, AJIBU TETESI JUU YAKE IKIWEMO YA KUUZA REDIO YAKE


Aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la Kahama Mjini, James Lembeli ameelezea kinachoendelea katika maisha yake ya kisiasa hasa baada ya kushindwa katika uchaguzi wa mwaka huu akiwa ndani ya chama chake kipya cha Chadema.
Akiongea katika taarifa rasmi kwa wananchi wa jimbo hilo, Lembeli amesema kuwa hivi sasa atajikita zaidi katika shughuli za chama chake pamoja na shughuli alizokuwa akizifanya kabla ya kuwa mbunge wa jimbo hilo.
Alisema kuwa ataendelea kufanya kazi zake na mashirika ya kimataifa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi yasema huenda ikashambulia IS

Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema taifa hilo linaweza likashambulia wapiganaji wa Islamic State iwapo hilo litaidhinishwa na Umoja wa Mataifa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kobe huenda wakaangamia Madagascar

Aina moja ya Kobe wanaowindwa na wawindaji haramu nchini Madagascar wako katika hatari kubwa ya kuangamia

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani