Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Obama Kuondoa majeshi yake Afghanistan

Obama ameagiza Pentagon kuandaa mipango ya kuwaondoa wanajeshi wake wote kutoka Afghanistan ifikapo mwisho wa mwaka huu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya UK yaaga Afghanistan

Wanajeshi wa Uingereza Kusini mwa nchi hiyo wameshaondolewa na hatamu zote kukabidhiwa Waafghani wenyewe, isipokuwa Kambi mbili tu za kijeshi zilizobaki nchini Afghanistan.

 

10 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya Marekani kubaki Afghanistan

Marekani imesema imeongeza muda kwa majeshi yake kubaki Afghanistan

 

9 years ago

BBCSwahili

Uturuki yaanza kuondoa majeshi Iraq

Uturuki imeanza kuondoa baadhi ya wanajeshi wake waliokuwa wameingia Iraq, kwa mujibu wa shirika la habari la serikali.

 

11 years ago

BBCSwahili

Obama awazuru wanajeshi Afghanistan

Rais Obama aenda wasifu wanajeshi wa Marekani kabla ya wanajeshi hao kuondoka Afghanistan

 

11 years ago

BBCSwahili

Obama asema 10,000 kubakia Afghanistan

Rais Barack Obama ametangaza kuwa Marekani itaendelea kuwa na wanajeshi 10,000 nchini Afghanistan baada ya mwisho wa mwaka 2014.

 

11 years ago

BBCSwahili

Rais Obama asifu majeshi ya Iraq na kurd

Rais wa Marekani Barack Obama ameahidi kuendelea kuyaunga mkono majeshi ya Iraq na kikurd

 

11 years ago

Mwananchi

Obama ameshindwa kuondoa ubaguzi wa rangi Marekani

Waingereza wanao msemo na tafsiri yake isiyo rasmi ni kuwa: ‚Watu wanaoishi katika nyumba za vioo inawabidi wasirushe mawe.‘ Ina maana kwamba watu wachukue tahadhari, si kupurukuka tu kulaumu vitendo vya watu wengine ambavyo wao wenyewe wanavifanya. Kufanya hivyo ni unafiki.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sudan K: Uganda inaondoa majeshi yake

Sudan Kusini inasema kuwa majeshi ya Uganda yaliyoko Jonglei yameanza kuondoka nchini humo

 

11 years ago

BBCSwahili

Huenda UN ikatuma majeshi yake CAR

Umoja wa mataifa unasema wanajeshi zaidi wanahitajika kusaidia katika juhudi za kulinda amani katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani