Obama Kuondoa majeshi yake Afghanistan
Obama ameagiza Pentagon kuandaa mipango ya kuwaondoa wanajeshi wake wote kutoka Afghanistan ifikapo mwisho wa mwaka huu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili19 Mar
Majeshi ya UK yaaga Afghanistan
Wanajeshi wa Uingereza Kusini mwa nchi hiyo wameshaondolewa na hatamu zote kukabidhiwa Waafghani wenyewe, isipokuwa Kambi mbili tu za kijeshi zilizobaki nchini Afghanistan.
10 years ago
BBCSwahili16 Oct
Majeshi ya Marekani kubaki Afghanistan
Marekani imesema imeongeza muda kwa majeshi yake kubaki Afghanistan
9 years ago
BBCSwahili14 Dec
Uturuki yaanza kuondoa majeshi Iraq
Uturuki imeanza kuondoa baadhi ya wanajeshi wake waliokuwa wameingia Iraq, kwa mujibu wa shirika la habari la serikali.
11 years ago
BBCSwahili25 May
Obama awazuru wanajeshi Afghanistan
Rais Obama aenda wasifu wanajeshi wa Marekani kabla ya wanajeshi hao kuondoka Afghanistan
11 years ago
BBCSwahili28 May
Obama asema 10,000 kubakia Afghanistan
Rais Barack Obama ametangaza kuwa Marekani itaendelea kuwa na wanajeshi 10,000 nchini Afghanistan baada ya mwisho wa mwaka 2014.
11 years ago
BBCSwahili19 Aug
Rais Obama asifu majeshi ya Iraq na kurd
Rais wa Marekani Barack Obama ameahidi kuendelea kuyaunga mkono majeshi ya Iraq na kikurd
11 years ago
Mwananchi27 Aug
Obama ameshindwa kuondoa ubaguzi wa rangi Marekani
Waingereza wanao msemo na tafsiri yake isiyo rasmi ni kuwa: ‚Watu wanaoishi katika nyumba za vioo inawabidi wasirushe mawe.‘ Ina maana kwamba watu wachukue tahadhari, si kupurukuka tu kulaumu vitendo vya watu wengine ambavyo wao wenyewe wanavifanya. Kufanya hivyo ni unafiki.
10 years ago
BBCSwahili20 Oct
Sudan K: Uganda inaondoa majeshi yake
Sudan Kusini inasema kuwa majeshi ya Uganda yaliyoko Jonglei yameanza kuondoka nchini humo
11 years ago
BBCSwahili21 Feb
Huenda UN ikatuma majeshi yake CAR
Umoja wa mataifa unasema wanajeshi zaidi wanahitajika kusaidia katika juhudi za kulinda amani katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania