Majeshi ya Marekani kubaki Afghanistan
Marekani imesema imeongeza muda kwa majeshi yake kubaki Afghanistan
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili19 Mar
Majeshi ya UK yaaga Afghanistan
Wanajeshi wa Uingereza Kusini mwa nchi hiyo wameshaondolewa na hatamu zote kukabidhiwa Waafghani wenyewe, isipokuwa Kambi mbili tu za kijeshi zilizobaki nchini Afghanistan.
11 years ago
BBCSwahili26 Feb
Obama Kuondoa majeshi yake Afghanistan
Obama ameagiza Pentagon kuandaa mipango ya kuwaondoa wanajeshi wake wote kutoka Afghanistan ifikapo mwisho wa mwaka huu.
10 years ago
BBCSwahili30 Sep
Afghanistan yakubaliana na Marekani
Rais mpya wa Afghanistan ameweka sahihi mkataba utakaoruhusu wanajeshi takriban 12,000 wa Marekani kusalia nchini humo.
9 years ago
BBCSwahili22 Dec
Marekani yashambuliwa Afghanistan
Mshambuliaji wa kujitolea muhanga huko nchini Afghanistan amewaua askari sita wa vikosi vya jeshi la Marekani .
10 years ago
BBCSwahili20 Jul
Marekani yawaua wanajeshi wa Afghanistan
Askari 8 wa Afghanistan wamekufa katika shambulizi la anga la Marekani kwenye kituo cha kijeshi cha ukaguzi katika jimbo la Logar
11 years ago
BBCSwahili12 Jul
Marekani yatafuta mwafaka Afghanistan
Waziri wa maswala ya kigeni nchini Marekani John Kerry anaanza awamu ya pili ya mazungumzo nchini Afghanistan.
9 years ago
BBCSwahili06 Oct
Marekani yalaumu Afghanistan kwa shambulio Kunduz
Marekani amesema wanajeshi wa Afghanistan ndio walioomba majeshi ya taifa hilo yashambulie kliniki iliyokuwa ikitumiwa na shirika la MSF mjini Kunduz.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/ccvv.jpg)
NDEGE YA JESHI LA MAREKANI YAANGUKA AFGHANISTAN NA KUUA 12
Ndege ya kijeshi ya Marekani aina ya C-130 Hercules iliyoanguka. Ramani inayoonesha eneo ambapo ndege hiyo ilipata ajali. Ndege ya kijeshi ya Marekani aina ya C-130 Hercules imeanguka usiku wa leo katika Uwanja wa Ndege wa Jalalabad nchini Afghanistan na kuua watu 12. Kanali wa jeshi la Marekani Brian Tribus ameiambia AFP kwamba watao kati ya waliokufa walikuwa wanajeshi wa Marekani, watano walikuwa raia wa… ...
11 years ago
BBCSwahili03 Jun
Marekani kuongeza majeshi Ulaya
Rais wa Marekani Barack Obama ametangaza mpango wa dola bilioni moja kufadhili nyongeza ya wanajeshi wake barani Ulaya huku mzozo wa Ukraine ukiendelea kutokota.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania