Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani yashambuliwa Afghanistan

Mshambuliaji wa kujitolea muhanga huko nchini Afghanistan amewaua askari sita wa vikosi vya jeshi la Marekani .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Afghanistan yakubaliana na Marekani

Rais mpya wa Afghanistan ameweka sahihi mkataba utakaoruhusu wanajeshi takriban 12,000 wa Marekani kusalia nchini humo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yatafuta mwafaka Afghanistan

Waziri wa maswala ya kigeni nchini Marekani John Kerry anaanza awamu ya pili ya mazungumzo nchini Afghanistan.

 

9 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya Marekani kubaki Afghanistan

Marekani imesema imeongeza muda kwa majeshi yake kubaki Afghanistan

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yawaua wanajeshi wa Afghanistan

Askari 8 wa Afghanistan wamekufa katika shambulizi la anga la Marekani kwenye kituo cha kijeshi cha ukaguzi katika jimbo la Logar

 

9 years ago

GPL

NDEGE YA JESHI LA MAREKANI YAANGUKA AFGHANISTAN NA KUUA 12

Ndege ya kijeshi ya Marekani aina ya C-130 Hercules iliyoanguka. Ramani inayoonesha eneo ambapo ndege hiyo ilipata ajali. Ndege ya kijeshi ya Marekani aina ya C-130 Hercules imeanguka usiku wa leo katika Uwanja wa Ndege wa Jalalabad nchini Afghanistan na kuua watu 12. Kanali wa jeshi la Marekani Brian Tribus ameiambia AFP kwamba watao kati ya waliokufa walikuwa wanajeshi wa Marekani, watano walikuwa raia wa… ...

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani yalaumu Afghanistan kwa shambulio Kunduz

Marekani amesema wanajeshi wa Afghanistan ndio walioomba majeshi ya taifa hilo yashambulie kliniki iliyokuwa ikitumiwa na shirika la MSF mjini Kunduz.

 

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Afghanistan: Je Taliban watafanya nini baada ya kutia saini makubaliano na Marekani?

Matumaini yenye tahadhari yamekuwa yakiongezeka lakini hatma ya kisiasa ya Afghanistan bado haijulikani

 

10 years ago

BBCSwahili

Kobane yashambuliwa zaidi

Wapiganaji wanaouhami mji wa Kobane wameendeleza mashambulizi ya anga zaidi dhidi ya vikosi vya wanamgambo wa is.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ofisi ya usalama yashambuliwa Mogadishu

Makao makuu ya usalama ya Somalia yashambuliwa Mogadishu na watu kadha kuuwawa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani