Marekani yashambuliwa Afghanistan
Mshambuliaji wa kujitolea muhanga huko nchini Afghanistan amewaua askari sita wa vikosi vya jeshi la Marekani .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili30 Sep
Afghanistan yakubaliana na Marekani
Rais mpya wa Afghanistan ameweka sahihi mkataba utakaoruhusu wanajeshi takriban 12,000 wa Marekani kusalia nchini humo.
11 years ago
BBCSwahili12 Jul
Marekani yatafuta mwafaka Afghanistan
Waziri wa maswala ya kigeni nchini Marekani John Kerry anaanza awamu ya pili ya mazungumzo nchini Afghanistan.
9 years ago
BBCSwahili16 Oct
Majeshi ya Marekani kubaki Afghanistan
Marekani imesema imeongeza muda kwa majeshi yake kubaki Afghanistan
10 years ago
BBCSwahili20 Jul
Marekani yawaua wanajeshi wa Afghanistan
Askari 8 wa Afghanistan wamekufa katika shambulizi la anga la Marekani kwenye kituo cha kijeshi cha ukaguzi katika jimbo la Logar
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/ccvv.jpg)
NDEGE YA JESHI LA MAREKANI YAANGUKA AFGHANISTAN NA KUUA 12
Ndege ya kijeshi ya Marekani aina ya C-130 Hercules iliyoanguka. Ramani inayoonesha eneo ambapo ndege hiyo ilipata ajali. Ndege ya kijeshi ya Marekani aina ya C-130 Hercules imeanguka usiku wa leo katika Uwanja wa Ndege wa Jalalabad nchini Afghanistan na kuua watu 12. Kanali wa jeshi la Marekani Brian Tribus ameiambia AFP kwamba watao kati ya waliokufa walikuwa wanajeshi wa Marekani, watano walikuwa raia wa… ...
9 years ago
BBCSwahili06 Oct
Marekani yalaumu Afghanistan kwa shambulio Kunduz
Marekani amesema wanajeshi wa Afghanistan ndio walioomba majeshi ya taifa hilo yashambulie kliniki iliyokuwa ikitumiwa na shirika la MSF mjini Kunduz.
5 years ago
BBCSwahili01 Mar
Vita vya Afghanistan: Je Taliban watafanya nini baada ya kutia saini makubaliano na Marekani?
Matumaini yenye tahadhari yamekuwa yakiongezeka lakini hatma ya kisiasa ya Afghanistan bado haijulikani
10 years ago
BBCSwahili27 Oct
Kobane yashambuliwa zaidi
Wapiganaji wanaouhami mji wa Kobane wameendeleza mashambulizi ya anga zaidi dhidi ya vikosi vya wanamgambo wa is.
10 years ago
BBCSwahili31 Aug
Ofisi ya usalama yashambuliwa Mogadishu
Makao makuu ya usalama ya Somalia yashambuliwa Mogadishu na watu kadha kuuwawa
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania