Ofisi ya usalama yashambuliwa Mogadishu
Makao makuu ya usalama ya Somalia yashambuliwa Mogadishu na watu kadha kuuwawa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-wgRrk1DB3oI/Uxl2bvAvyaI/AAAAAAAFRo0/1T0AUIAylXw/s72-c/Polisi+4.jpg)
Airtel Yatoa Msaada wa Samani kwa Ofisi ya Usalama Barabarani Kinindoni
![](http://1.bp.blogspot.com/-wgRrk1DB3oI/Uxl2bvAvyaI/AAAAAAAFRo0/1T0AUIAylXw/s1600/Polisi+4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-pPqZKj3mDpM/Uxl2VZIszUI/AAAAAAAFRok/G056axCvt7c/s1600/Polisi.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KfEqIWZTt62zo00mnZQTFyAAtvXMKpo2vOXqlPDT1a9DUPn-7q5Rp41MuG82wvZyVGcKyAIh4YMb9w5xdHi16dDLfpbpuXa4/2Polisi4.jpg?width=650)
KAMPUNI YA AIRTEL YATOA MSAADA WA SAMANI KWA OFISI YA USALAMA BARABARANI
Ofisa Uhusiano na Matukio wa Airtel Tanzania, Dangio Kaniki (kulia) akiteta na Afisa Mnadhimu wa Polisi Kinondoni, Bibie Juma Athumani (wa kwanza kushoto) baada ya Airtel kukabidhi viti na meza kwa ajili ya polisi wa kituo cha Oysterbay hivi karibuni. Wanaoshuhudia ni baadhi ya maofisa wa Polisi wa kituo hicho.
Ofisa Uhusiano na Matukio wa Airtel Tanzania, Dangio Kaniki (kulia) akisalimiana na Afisa Mnadhimu wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eHcn3tNtKhc/XoYDk-19rNI/AAAAAAAC840/7tS4ce-xsPArudA05n3n_oGijldGiUGSACLcBGAsYHQ/s72-c/1.png)
COVID-19: Mkao mpya kikao cha kamati ya ulinzi na usalama chafanyika nje ya ofisi
Na Amiri kilagalila, Njombe
Kamati ya ulinzi na usalama wilaya ya Njombe ikiongozwa na mwenyekiti
wa kamati hiyo ambaye ni mkuu wa wilaya ya Njombe Ruth Msafiri
imelazimika kufanya kikao chake cha kawaida nje ya ofisi wakiwa
wamesimama kwa kupeana nafasi takribani masaa mawili ili kutekeleza
agizo la kuto kukaa kwa karibu kwa lengo la kuzuia maambukizi ya
virusi vya CORONA (COVID-19).
Mkuu wa wilaya ya Njombe Ruth Msafiri amewatoa hofu wajumbe wa kikao
hicho kutokana na mkao huo kwa kuwa ni...
Kamati ya ulinzi na usalama wilaya ya Njombe ikiongozwa na mwenyekiti
wa kamati hiyo ambaye ni mkuu wa wilaya ya Njombe Ruth Msafiri
imelazimika kufanya kikao chake cha kawaida nje ya ofisi wakiwa
wamesimama kwa kupeana nafasi takribani masaa mawili ili kutekeleza
agizo la kuto kukaa kwa karibu kwa lengo la kuzuia maambukizi ya
virusi vya CORONA (COVID-19).
Mkuu wa wilaya ya Njombe Ruth Msafiri amewatoa hofu wajumbe wa kikao
hicho kutokana na mkao huo kwa kuwa ni...
9 years ago
BBCSwahili22 Dec
Marekani yashambuliwa Afghanistan
Mshambuliaji wa kujitolea muhanga huko nchini Afghanistan amewaua askari sita wa vikosi vya jeshi la Marekani .
10 years ago
BBCSwahili27 Oct
Kobane yashambuliwa zaidi
Wapiganaji wanaouhami mji wa Kobane wameendeleza mashambulizi ya anga zaidi dhidi ya vikosi vya wanamgambo wa is.
10 years ago
BBCSwahili27 Mar
Ngome ya waasi yashambuliwa Yemen
Ndege za kivita mapema leo zilishambulia ngome ya waasi wa Houthi karibu na Ikulu ya Rais wa Yemen mjini Sanaa.
10 years ago
BBCSwahili20 Feb
Hoteli yashambuliwa nchini Somalia
Hoteli moja karibu na makazi ya Rais katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu imeshambuliwa.
11 years ago
BBCSwahili23 Jun
Taasisi ya afya yashambuliwa Nigeria
Mlipuko umeripotiwa kutokea katika taasisi moja ya afya katika mji wa Kano ambao ni wa pili kwa ukubwa nchini Nigeria.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania