Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ofisi ya usalama yashambuliwa Mogadishu

Makao makuu ya usalama ya Somalia yashambuliwa Mogadishu na watu kadha kuuwawa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Airtel Yatoa Msaada wa Samani kwa Ofisi ya Usalama Barabarani Kinindoni

Ofisa Uhusiano na Matukio wa Airtel Tanzania, Dangio Kaniki (kulia)akiteta na Afisa Mnadhimu wa Polisi Kinondoni, Bibie Juma Athumani (wa kwanza kushoto)baada ya Airtel kukabidhi viti na meza kwa ajili ya polisi wa kituo cha oysterbay hivi karibuni.Wanaoshuhudia ni baadhi ya maofisa wa Polisi wa kituo hicho. Ofisa Uhusiano na Matukio wa Airtel Tanzania, Dangio Kaniki (kulia) akisalimiana na Afisa Mnadhimu wa Polisi Kinondoni, Bibie Juma Athumani baada ya Airtel kukabidhi viti na meza...

 

11 years ago

GPL

KAMPUNI YA AIRTEL YATOA MSAADA WA SAMANI KWA OFISI YA USALAMA BARABARANI‏

Ofisa Uhusiano na Matukio wa Airtel Tanzania, Dangio Kaniki (kulia) akiteta na Afisa Mnadhimu wa Polisi  Kinondoni,  Bibie Juma Athumani (wa kwanza kushoto) baada ya Airtel kukabidhi viti na meza kwa ajili ya polisi wa kituo cha Oysterbay hivi karibuni. Wanaoshuhudia ni baadhi ya maofisa wa Polisi wa kituo hicho.
Ofisa Uhusiano na Matukio wa Airtel Tanzania, Dangio Kaniki (kulia) akisalimiana na Afisa Mnadhimu wa...

 

5 years ago

Michuzi

COVID-19: Mkao mpya kikao cha kamati ya ulinzi na usalama chafanyika nje ya ofisi

Na Amiri kilagalila, Njombe
Kamati ya ulinzi na usalama wilaya ya Njombe ikiongozwa na mwenyekiti
wa kamati hiyo ambaye ni mkuu wa wilaya ya Njombe Ruth Msafiri
imelazimika kufanya kikao chake cha kawaida nje ya ofisi wakiwa
wamesimama kwa kupeana nafasi takribani masaa mawili ili kutekeleza
agizo la kuto kukaa kwa karibu kwa lengo la kuzuia maambukizi ya
virusi vya CORONA (COVID-19).

Mkuu wa wilaya ya Njombe Ruth Msafiri amewatoa hofu wajumbe wa kikao
hicho kutokana na mkao huo kwa kuwa ni...

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani yashambuliwa Afghanistan

Mshambuliaji wa kujitolea muhanga huko nchini Afghanistan amewaua askari sita wa vikosi vya jeshi la Marekani .

 

10 years ago

BBCSwahili

Kobane yashambuliwa zaidi

Wapiganaji wanaouhami mji wa Kobane wameendeleza mashambulizi ya anga zaidi dhidi ya vikosi vya wanamgambo wa is.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ngome ya waasi yashambuliwa Yemen

Ndege za kivita mapema leo zilishambulia ngome ya waasi wa Houthi karibu na Ikulu ya Rais wa Yemen mjini Sanaa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hoteli yashambuliwa nchini Somalia

Hoteli moja karibu na makazi ya Rais katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu imeshambuliwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Taasisi ya afya yashambuliwa Nigeria

Mlipuko umeripotiwa kutokea katika taasisi moja ya afya katika mji wa Kano ambao ni wa pili kwa ukubwa nchini Nigeria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani