Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majeshi ya Misri yaua wapiganaji wa IS

Majeshi ya usalama ya Misri yamepambana vikali na wapiganaji wa Islamic State na kuua wapiganaji wengi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji 27 wauawa Misri

Wanamgambo 27 wa kiislamu wameuawa kwenye oparesheni kubwa ilioendeshwa na jeshi la Misri katika eneo la Sinai Kaskazini.

 

10 years ago

StarTV

Misri yashambulia wapiganaji wa ISIS Libya

Taarifa kutoka Misri zasema kuwa, ndege za kijeshi zimewashambulia wapiganaji wa jihadi nchini Libya kwa mabomu, baada ya kutolewa kwa mkanda wa video ulioonyesha wakristo wa Misri wa madhehebu ya Coptic wakikatwa shingo.

Jeshi la Misri linasema kuwa limelenga kambi za Islamic State, kituo cha mafunzo na maghala ya silaha, katika shambulizi hilo la mapema leo alfajiri.

Walioshuhudia wanasema kuwa, mji wa Derna ulioko mashariki mwa Libya na ambao umetekwa na wapiganaji wa jihadi ndio...

 

9 years ago

BBCSwahili

Cameroon 'yaua' wapiganaji 100 wa Boko Haram

Wizara ya ulinzi nchini Cameroon imesema majeshi ya serikali yameua takriban wafuasi 100 wa kundi la wanamgambo wa kiislamu la Nigeria Boko Haram.

 

11 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya AU yaua mtu mmoja CAR

Majeshi ya Umoja wa Afrika yamewafyatulia risasi waandamanaji katika Jamhuri ya Afrika ya Kati na kumuua mtu mmoja

 

11 years ago

GPL

AJALI YAUA 33 MISRI

 Eneo maarufu kwa mapumziko nchini Misri, Sharm El-Sheikh. WATU 33 wamefariki dunia huku 41 wakijeruhiwa baada ya mabasi mawili kugongana katika Peninsula ya Sinai, Misri asubuhi hii. Mabasi hayo yalikuwa yamebeba watu waliokuwa wakielekea katika mapumziko eneo la Sharm El-Sheikh lililopo kwenye Peninsula ya Sinai. Basi moja lilipinduka baada ya ajali hiyo ikiwa ni kilomita 50 kutoka eneo hilo la mapumziko. Mabasi hayo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji wa Kishia kuwaondoa IS?

Wanamgambo wanaoiunga mkono serikali ya Iraq wa kishia wametangaza kuanzisha mapambano ya kuwaondoa wanamgambo wa IS.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji wa IS waelekea Baghdad

Wapiganaji wa kundi la Islamic State wanaimarisha maeneo waliyoyateka nchini Syria na Iraq.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji wa Kikurdi washambuliwa

Uturuki imeanzisha tena msururu wa mashambulizi dhidi ya wapiganaji wa Kikurdi yanayolenga maeneo 17 kusini mashariki, kwa mujibu wa jeshi

 

11 years ago

BBCSwahili

EU kuzuia wapiganaji wa kigeni

Mawaziri wa mambo ya ndani wa EU wanajadili njia za kusitisha raia wa Ulaya waliopigana Syria kurejea nyumbani

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani