AJALI YAUA 33 MISRI
![](http://api.ning.com:80/files/t8oueEU5ZFIYzFlDNo4McJkgS9DmgxKAz8O7cTfJbj4IqkVEb*YIjKrmt0cvkuh4Mt41aTirz6rL0cLpLgRd3LBQAf*Rl9bZ/ajali.jpg)
 Eneo maarufu kwa mapumziko nchini Misri, Sharm El-Sheikh. WATU 33 wamefariki dunia huku 41 wakijeruhiwa baada ya mabasi mawili kugongana katika Peninsula ya Sinai, Misri asubuhi hii. Mabasi hayo yalikuwa yamebeba watu waliokuwa wakielekea katika mapumziko eneo la Sharm El-Sheikh lililopo kwenye Peninsula ya Sinai. Basi moja lilipinduka baada ya ajali hiyo ikiwa ni kilomita 50 kutoka eneo hilo la mapumziko. Mabasi hayo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili02 Jul
Majeshi ya Misri yaua wapiganaji wa IS
11 years ago
Tanzania Daima31 Mar
Ajali yaua 21
WATU 21 wamefariki dunia na wengine tisa kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori katika eneo la Mkupuka, Kibiti, wilayani Rufiji, Mkoa wa Pwani. Watu...
11 years ago
Mtanzania31 Jul
Ajali yaua 19
![Ajali ya basi la Morobest iliyotokea mkoani Dodoma](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/ajali-dodoma.jpg)
Ajali ya basi la Morobest iliyotokea mkoani Dodoma
Debora Sanja, Dodoma na Fadhili Athumani, Mwanga
WATU 19 wamepoteza maisha na wengine 64 wamejeruhiwa katika ajali mbili zilizotokea katika mikoa ya Dodoma na Kilimanjaro.
Habari kutoka mkoani Dodoma zinasema watu 17 wamefariki dunia baada ya basi walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori.
Ajali hiyo ilitokea jana saa 2 asubuhi, katika eneo la Pandambili, lililoko Barabara ya Dodoma-Morogoro.
Akizungumza na waandishi wa habari...
10 years ago
Habarileo16 Jun
Ajali yaua 23
WATU 23 wamekufa katika ajali iliyohusisha basi na lori mjini Mafinga, Iringa huku wengine 34 hali zao zikiwa mbaya.
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Ajali yaua watano
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Pw1dkMtiMTujgKzvQy4c70ucNjs3cRmuf87Ue53tFLwX*kXmeid2pR6I*k8wv0SKDgsEFRejoRgpq0UZSddz23e6FR7*urmK/AJALI.jpg?width=650)
AJALI YAUA 3 NJOMBE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2PUbn4bbEK3UEtiVoU20YH59NJd5PwKXaX153O4cFEBY4HEzWM4NCW-QDUrHotQeaalvrivA7NuuQR66b9U7c-U/BREAKINGNEWS.gif)
AJALI YAUA 30 MWANZA
10 years ago
Mwananchi07 Nov
Ajali yaua 12 Morogoro
11 years ago
Tanzania Daima30 Mar
Ajali yaua wanawake 12
WANAWAKE 12 wamefariki dunia papo hapo na wengine saba kujeruhiwa wilayani Same, mkoani Kilimanjaro, baada ya gari walilokuwa wakisafiria kutoka msibani kugongana na magari mengine mawili. Kamanda wa Polisi wa...