Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ajali yaua 21

WATU 21 wamefariki dunia na wengine tisa kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori katika eneo la Mkupuka, Kibiti, wilayani Rufiji, Mkoa wa Pwani. Watu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Ajali yaua 23

Mkuu wa wilaya ya Mufindi, Mboni Mhita akiwatembelea majeruhi hospitali ya Wilaya mjini Mafinga (Picha na Frank Leonard).WATU 23 wamekufa katika ajali iliyohusisha basi na lori mjini Mafinga, Iringa huku wengine 34 hali zao zikiwa mbaya.

 

11 years ago

Mtanzania

Ajali yaua 19

Ajali ya basi la Morobest iliyotokea mkoani Dodoma

Ajali ya basi la Morobest iliyotokea mkoani Dodoma

Debora Sanja, Dodoma na Fadhili Athumani, Mwanga

WATU 19 wamepoteza maisha na wengine 64 wamejeruhiwa katika ajali mbili zilizotokea katika mikoa ya Dodoma na Kilimanjaro.

Habari kutoka mkoani Dodoma zinasema watu 17 wamefariki dunia baada ya basi walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori.

Ajali hiyo ilitokea jana saa 2 asubuhi, katika eneo la Pandambili, lililoko Barabara ya Dodoma-Morogoro.

Akizungumza na waandishi wa habari...

 

10 years ago

Mwananchi

Ajali yaua 12 Morogoro

Morogoro. Watu 12 wamefariki dunia papohapo na wengine ambao idadi yao haijafahamika wamejeruhiwa baada ya basi walilokuwa wakisafiria  kugonga treni ya abiria eneo la Kiberege, Ifakara Wilaya ya Kilombero.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ajali yaua 35 Musoma

WATU zaidi ya 37 wameripotiwa kufariki dunia papo hapo na wengine zadi ya 70 kujeruhiwa vibaya, baada ya mabasi mawili kugongana yakihusisha pia gari dogo moja katika ajali iliyotokea eneo...

 

10 years ago

Habarileo

Ajali yaua 2 yajeruhi 45

David Misime.WATU wawili wamekufa papo hapo huku wengine 45 wakijeruhiwa baada ya basi la abiria lililokuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Mwanza kugongana uso kwa uso na roli katika kijiji cha Vikonje wilayani Chamwino mkoani hapa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ajali nyingine yaua 13

WATU 13 wamefariki dunia papo hapo  na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kutoka Itigi kwenda mkoani Singida kupata ajali katika Kijiji cha Isuna, Wilaya ya Ikungi, mkoani...

 

11 years ago

GPL

AJALI YAUA 8 NJOMBE

WATU nane wamefariki dunia huku wengine wakijeruhiwa baada ya lori lililobeba shehena ya mpunga lililokuwa likitokea Chimala mkoani Mbeya kuelekea Makambako mkoani Njombe kupata ajali na kutumbukia katika Mto Halali leo asubuhi wilayani Wanging'ombe, Njombe. Lori hilo lilitumbukia mtoni baada ya kugonga ukingo wa daraja la mto Halali. Mkuu wa Wilaya ya Wanging'ombe, Esterina Kilasi amethibitisha kutokea tukio… ...

 

10 years ago

GPL

AJALI YAUA 35 MUSOMA

WATU zaidi ya 35 wamefariki dunia katika ajali mbaya iliyoyahusisha magari matatu, mawili mabasi ya abiria na moja gari dogo aina ya Nissan Terano leo asubuhi eneo la SabaSaba, mjini Musoma.
Ajali hiyo imetokea baada ya basi la Kampuni ya J4 Express lenye namba za usajili T 677 CYC lililokuwa likitoka Musoma kuelekea Silari mkoani Mara kuligonga ubavuni gari dogo aina ya Nissan Terano lenye namba za usajili T 332 AKK na kulitupa mtoni kisha kugongana uso kwa uso na basi lingine la Kampuni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ajali yaua wanawake 12

WANAWAKE 12 wamefariki dunia papo hapo na wengine saba kujeruhiwa wilayani Same, mkoani Kilimanjaro, baada ya gari walilokuwa wakisafiria kutoka msibani kugongana na magari mengine mawili. Kamanda wa Polisi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani