AJALI YAUA 8 NJOMBE
![](http://api.ning.com:80/files/zR-FkEEcSb*GdxFqZ-K4wsed1tFtmTEF*iaFEI4rzrDQm5avoDEan599ZTaZO-murvvGplcebVnUzjE5zLqvKcal*DDeoj1Y/breakingnews.gif)
WATU nane wamefariki dunia huku wengine wakijeruhiwa baada ya lori lililobeba shehena ya mpunga lililokuwa likitokea Chimala mkoani Mbeya kuelekea Makambako mkoani Njombe kupata ajali na kutumbukia katika Mto Halali leo asubuhi wilayani Wanging'ombe, Njombe. Lori hilo lilitumbukia mtoni baada ya kugonga ukingo wa daraja la mto Halali. Mkuu wa Wilaya ya Wanging'ombe, Esterina Kilasi amethibitisha kutokea tukio… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Pw1dkMtiMTujgKzvQy4c70ucNjs3cRmuf87Ue53tFLwX*kXmeid2pR6I*k8wv0SKDgsEFRejoRgpq0UZSddz23e6FR7*urmK/AJALI.jpg?width=650)
AJALI YAUA 3 NJOMBE
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fABZXYRUZKg/Xk1f0cBxKzI/AAAAAAALeY4/1Y_cLsD8Rk8APECiQU0emHZL8o6Cq3KAACLcBGAsYHQ/s72-c/Thunderstorm.jpg)
Radi yaua mwanafunzi mkoani Njombe
![](https://1.bp.blogspot.com/-fABZXYRUZKg/Xk1f0cBxKzI/AAAAAAALeY4/1Y_cLsD8Rk8APECiQU0emHZL8o6Cq3KAACLcBGAsYHQ/s400/Thunderstorm.jpg)
Wanafunzi 16 na mwalimu mmoja wa shule ya sekondari Chief Kidulile iliyopo wilayani Ludewa mkoani Njombe wamepigwa radi februari 19 majira ya saa tisa alasiri na kusababisha kifo cha mwanafunzi mmoja na kuacha majeruhi 16.
Akifafanua kuhusu tukio hilo kwa njia ya simu, Kamanda wa Polisi mkoa wa Njombe Hamis Issa akiwa mkoani Morogoro kikazi amesema amepokea taarifa za tukio hilo kutoka kwa vijana wake aliowatuma ambapo amesema katika tukio hilo mwanafunzi mmoja wa...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BCQrR-zNUiM/ViP62ij_H_I/AAAAAAAIAxo/7vl328i9oTw/s72-c/unnamed%2B%252868%2529.jpg)
Msafara wa Spika wapata ajali Njombe
![](http://4.bp.blogspot.com/-BCQrR-zNUiM/ViP62ij_H_I/AAAAAAAIAxo/7vl328i9oTw/s640/unnamed%2B%252868%2529.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima31 Mar
Ajali yaua 21
WATU 21 wamefariki dunia na wengine tisa kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori katika eneo la Mkupuka, Kibiti, wilayani Rufiji, Mkoa wa Pwani. Watu...
11 years ago
Mtanzania31 Jul
Ajali yaua 19
![Ajali ya basi la Morobest iliyotokea mkoani Dodoma](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/ajali-dodoma.jpg)
Ajali ya basi la Morobest iliyotokea mkoani Dodoma
Debora Sanja, Dodoma na Fadhili Athumani, Mwanga
WATU 19 wamepoteza maisha na wengine 64 wamejeruhiwa katika ajali mbili zilizotokea katika mikoa ya Dodoma na Kilimanjaro.
Habari kutoka mkoani Dodoma zinasema watu 17 wamefariki dunia baada ya basi walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori.
Ajali hiyo ilitokea jana saa 2 asubuhi, katika eneo la Pandambili, lililoko Barabara ya Dodoma-Morogoro.
Akizungumza na waandishi wa habari...
10 years ago
Habarileo16 Jun
Ajali yaua 23
WATU 23 wamekufa katika ajali iliyohusisha basi na lori mjini Mafinga, Iringa huku wengine 34 hali zao zikiwa mbaya.
11 years ago
Habarileo26 Jul
Ajali yaua 3, kujeruhi 46
WATU watatu wamekufa na wengine 46 kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Uchunga wilayani Kishapu mkoani Shinyanga.
11 years ago
Tanzania Daima21 Jan
Ajali nyingine yaua 13
WATU 13 wamefariki dunia papo hapo na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kutoka Itigi kwenda mkoani Singida kupata ajali katika Kijiji cha Isuna, Wilaya ya Ikungi, mkoani...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/17StHKe5zK782kufwrWPoc929XkxSjsvwRNnSOgkO2nGBRan*GhX7O*BpzkRzjO6JtEXNyTbQp7h2GKRVY4aqq1EPipdJ2Iv/BREAKINGNEWS.gif)
AJALI YAUA 11 TANGA