Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AJALI YAUA 3 NJOMBE

Taswira baada ya ajali hiyo. WATU watatu waliokuwa wakitembea kwa mguu wamepoteza maisha papo hapo baada ya kugongwa na gari dogo lililopoteza mwelekeo mkoani Njombe usiku wa kuamkia leo. Gari dogo baada ya kuligonga lori la mafuta. Gari hilo lilipoteza uelekeo baada ya kumulikwa na lori la mafuta lililokuwa mbele yake na kuwagonga watu hao kisha kulivaa hilo lori na kuharibika vibaya. Watu waliokuwa ndani ya lori hilo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

AJALI YAUA 8 NJOMBE

WATU nane wamefariki dunia huku wengine wakijeruhiwa baada ya lori lililobeba shehena ya mpunga lililokuwa likitokea Chimala mkoani Mbeya kuelekea Makambako mkoani Njombe kupata ajali na kutumbukia katika Mto Halali leo asubuhi wilayani Wanging'ombe, Njombe. Lori hilo lilitumbukia mtoni baada ya kugonga ukingo wa daraja la mto Halali. Mkuu wa Wilaya ya Wanging'ombe, Esterina Kilasi amethibitisha kutokea tukio… ...

 

5 years ago

Michuzi

Radi yaua mwanafunzi mkoani Njombe

Na Amiri Kilagalila, Njombe
Wanafunzi 16 na mwalimu mmoja wa shule ya sekondari Chief Kidulile iliyopo wilayani Ludewa mkoani Njombe wamepigwa radi februari 19 majira ya saa tisa alasiri na kusababisha kifo cha mwanafunzi mmoja na kuacha majeruhi 16.
Akifafanua kuhusu tukio hilo kwa njia ya simu, Kamanda wa Polisi mkoa wa Njombe Hamis Issa akiwa mkoani Morogoro kikazi amesema amepokea taarifa za tukio hilo kutoka kwa vijana wake aliowatuma ambapo  amesema katika tukio hilo mwanafunzi mmoja wa...

 

9 years ago

Michuzi

Msafara wa Spika wapata ajali Njombe

Gari ya ziada katika msafara wa Spika wa Bunge ikiwa imepinduka wakati wakiwa njiani kuelekea katika mazishi ya Marehemu Deo Filikunjombe huko Ludewa. Ajali hiyo imewahusisha Mlinzi wa Spila, Alphonse Mwakasege, Naibu Katibu wa Spika,Herman Berege na   Mbunge wa Mafia anaemaliza muda wake, Mhe Abdulkarim Shah. Abiria wote wamepata majeraha madogo madogo na waliokolewa katika eneo hilo na Mhe William Lukuvi, Mb na Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya makazi. Picha kwa hisani ya Ofisi ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ajali yaua 21

WATU 21 wamefariki dunia na wengine tisa kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori katika eneo la Mkupuka, Kibiti, wilayani Rufiji, Mkoa wa Pwani. Watu...

 

11 years ago

Mtanzania

Ajali yaua 19

Ajali ya basi la Morobest iliyotokea mkoani Dodoma

Ajali ya basi la Morobest iliyotokea mkoani Dodoma

Debora Sanja, Dodoma na Fadhili Athumani, Mwanga

WATU 19 wamepoteza maisha na wengine 64 wamejeruhiwa katika ajali mbili zilizotokea katika mikoa ya Dodoma na Kilimanjaro.

Habari kutoka mkoani Dodoma zinasema watu 17 wamefariki dunia baada ya basi walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori.

Ajali hiyo ilitokea jana saa 2 asubuhi, katika eneo la Pandambili, lililoko Barabara ya Dodoma-Morogoro.

Akizungumza na waandishi wa habari...

 

10 years ago

Habarileo

Ajali yaua 23

Mkuu wa wilaya ya Mufindi, Mboni Mhita akiwatembelea majeruhi hospitali ya Wilaya mjini Mafinga (Picha na Frank Leonard).WATU 23 wamekufa katika ajali iliyohusisha basi na lori mjini Mafinga, Iringa huku wengine 34 hali zao zikiwa mbaya.

 

11 years ago

Habarileo

Ajali yaua 3, kujeruhi 46

WATU watatu wamekufa na wengine 46 kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Uchunga wilayani Kishapu mkoani Shinyanga.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ajali nyingine yaua 13

WATU 13 wamefariki dunia papo hapo  na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kutoka Itigi kwenda mkoani Singida kupata ajali katika Kijiji cha Isuna, Wilaya ya Ikungi, mkoani...

 

10 years ago

GPL

AJALI YAUA 11 TANGA

WATU 11 wanadaiwa kufariki dunia huku wengine wakijeruhiwa katika ajali mbaya eneo la Mkanyageni mkoani Tanga baada ya gari aina ya Toyota Coaster yenye namba za usajili T 410 BJD kugongana na Scania namba T 605 ABJ asubuhi hii. Katika ajali hiyo, Coaster lilikuwa likitoka mkoani Tanga kwenda Lushoto na madereva wa magari yote mawili hawajulikani walipo baada ya ajali. Miili ya marehemu katika ajali hiyo imehifadhiwa katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani