Ajali nyingine yaua 13
WATU 13 wamefariki dunia papo hapo na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kutoka Itigi kwenda mkoani Singida kupata ajali katika Kijiji cha Isuna, Wilaya ya Ikungi, mkoani...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili24 Jul
Ajali nyingine ya Ndege yaua zaidi ya 40
10 years ago
Mwananchi27 Feb
Ajali yaua watatu, nyingine yajeruhi 21
10 years ago
Mwananchi16 Jun
Ajali nyingine yaua watu 23 Mufindi
10 years ago
Mwananchi23 Apr
Ajali nyingine ya basi yaua 10 Shinyanga
10 years ago
Mtanzania16 Apr
Ajali nyingine yaua mmoja, yajeruhi 28
Na Thomas Murugwa, Tabora
BASI la Kampuni ya Air Jordan lenye namba za usajili T 650 AQZ lililokuwa likitokea Mwanza kuelekea Arusha, limepata ajali katika Kijiji cha Ngonho, Kata ya Kitangili, Wilaya ya Nzega mkoani Tabora na kusababisha kifo cha mtu mmoja na majeruhi 28.
Taarifa iliyotolewa na Mkuu wa Wilaya ya Nzega, Jackline Liana, imemtaja aliyefariki dunia kwa jina moja la Emmanuel ambaye alikuwa ni fundi wa gari hilo.
Alisema sababu ya ajali hiyo ni mwendo kasi wa dereva ambaye jina...
11 years ago
Tanzania Daima22 Apr
Ajali nyingine yaua kumi Busega
ZAIDI ya watu 10 wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa katika ajali ya basi iliyotokea jana katika Kijiji cha Yitwimila ‘A’, Kitongoji cha Ichila, Kata ya Kaloleni, Tarafa ya Busega, mkoani...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dMNnaPiQ3VgLqmflGGkDLEVJHmLHyyiQbrRNRnQwY6LdVwbY90Uf*KgajUqi6AdFSqnalOv*Zr*7RbwbaxSL-RD3pNzp8DTc/breakingnews.gif)
AJALI NYINGINE TENA MIKUMI
10 years ago
Habarileo16 Jun
Ajali yaua 23
WATU 23 wamekufa katika ajali iliyohusisha basi na lori mjini Mafinga, Iringa huku wengine 34 hali zao zikiwa mbaya.
11 years ago
Tanzania Daima31 Mar
Ajali yaua 21
WATU 21 wamefariki dunia na wengine tisa kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori katika eneo la Mkupuka, Kibiti, wilayani Rufiji, Mkoa wa Pwani. Watu...