Ajali yaua 12 Morogoro
Morogoro. Watu 12 wamefariki dunia papohapo na wengine ambao idadi yao haijafahamika wamejeruhiwa baada ya basi walilokuwa wakisafiria kugonga treni ya abiria eneo la Kiberege, Ifakara Wilaya ya Kilombero.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo16 Jun
Ajali yaua 23
WATU 23 wamekufa katika ajali iliyohusisha basi na lori mjini Mafinga, Iringa huku wengine 34 hali zao zikiwa mbaya.
11 years ago
Mtanzania31 Jul
Ajali yaua 19
![Ajali ya basi la Morobest iliyotokea mkoani Dodoma](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/ajali-dodoma.jpg)
Ajali ya basi la Morobest iliyotokea mkoani Dodoma
Debora Sanja, Dodoma na Fadhili Athumani, Mwanga
WATU 19 wamepoteza maisha na wengine 64 wamejeruhiwa katika ajali mbili zilizotokea katika mikoa ya Dodoma na Kilimanjaro.
Habari kutoka mkoani Dodoma zinasema watu 17 wamefariki dunia baada ya basi walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori.
Ajali hiyo ilitokea jana saa 2 asubuhi, katika eneo la Pandambili, lililoko Barabara ya Dodoma-Morogoro.
Akizungumza na waandishi wa habari...
11 years ago
Tanzania Daima31 Mar
Ajali yaua 21
WATU 21 wamefariki dunia na wengine tisa kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori katika eneo la Mkupuka, Kibiti, wilayani Rufiji, Mkoa wa Pwani. Watu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t8oueEU5ZFIYzFlDNo4McJkgS9DmgxKAz8O7cTfJbj4IqkVEb*YIjKrmt0cvkuh4Mt41aTirz6rL0cLpLgRd3LBQAf*Rl9bZ/ajali.jpg)
AJALI YAUA 33 MISRI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Pw1dkMtiMTujgKzvQy4c70ucNjs3cRmuf87Ue53tFLwX*kXmeid2pR6I*k8wv0SKDgsEFRejoRgpq0UZSddz23e6FR7*urmK/AJALI.jpg?width=650)
AJALI YAUA 3 NJOMBE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2PUbn4bbEK3UEtiVoU20YH59NJd5PwKXaX153O4cFEBY4HEzWM4NCW-QDUrHotQeaalvrivA7NuuQR66b9U7c-U/BREAKINGNEWS.gif)
AJALI YAUA 30 MWANZA
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Ajali yaua watano
11 years ago
Tanzania Daima30 Mar
Ajali yaua wanawake 12
WANAWAKE 12 wamefariki dunia papo hapo na wengine saba kujeruhiwa wilayani Same, mkoani Kilimanjaro, baada ya gari walilokuwa wakisafiria kutoka msibani kugongana na magari mengine mawili. Kamanda wa Polisi wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iRGkQSu08csMAtQ7T*pA58r-UGJ1jGOl2yLVk-QVVR7WQ9zIaI5hKiAEY5Y1DXDDfnPDXaIA4wDLusAYPTQNDZDO7E2aAeMV/breakingnews.gif)
AJALI YAUA 35 MUSOMA
Ajali hiyo imetokea baada ya basi la Kampuni ya J4 Express lenye namba za usajili T 677 CYC lililokuwa likitoka Musoma kuelekea Silari mkoani Mara kuligonga ubavuni gari dogo aina ya Nissan Terano lenye namba za usajili T 332 AKK na kulitupa mtoni kisha kugongana uso kwa uso na basi lingine la Kampuni...