Ajali yaua watano
Abiria watano wamekufa baada ya gari aina ya Landrover 110 waliyokuwa wanasafiria kusombwa na maji katika Kijiji cha Doromoni Wilaya ya Iramba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi19 Aug
Ajali yaua watano wa familia moja
11 years ago
Mwananchi08 Jul
Ajali yaua, yajeruhi watano Tabora
11 years ago
Mwananchi26 Feb
Ajali ya gari yaua watu watano Hai
11 years ago
Habarileo19 May
Ajali yaua watano wakienda kwenye sherehe
WATU watano wamekufa papo hapo na wengine 16 kujeruhiwa baada ya kutokea ajali ya barabarani iliyolihusisha gari dogo la abiria aina ya Toyota Hiace eneo la Mlima Sekenke, wilayani Iramba kwenye Barabara Kuu ya Singida -Mwanza.
10 years ago
Mwananchi30 Sep
Ajali ya gari Mbeya yaua watu watano wa ukoo mmoja
11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
Mvua yaua watano Singida
MVUA kubwa iliyonyesha usiku wa kuamkia juzi mkoani Singida, imesababisha vifo vya watu watano, baada ya gari walilokuwa wakisafiria kusombwa na maji wakati wakivuka mto Nalala wilayani Iramba. Kamanda wa...
11 years ago
BBCSwahili27 Apr
Afghanistan: helikopta yaua watano
11 years ago
Mwananchi18 May
Mvua yaua wanafunzi watano Rungwe
11 years ago
Habarileo15 Apr
Maji yaua watu watano Dar
WATU watano wamekufa katika matukio matano tofauti baada ya kusombwa na maji katika maeneo tofauti ya jiji la Dar es Salaam. Katika tukio la kwanza lililotokea Chanika, mtoto wa kike aliyefahamika kwa jina la Lainant Ramadhani (2) alikufa baada ya kutumbukia kwenye shimo la maji lililopo jirani na nyumba yao.