Ajali ya gari Mbeya yaua watu watano wa ukoo mmoja
Watu watano wa ukoo mmoja wamefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea Songwe, jirani na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Songwe (Sia), Wilaya ya Mbeya Vijijini baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana na lori usiku.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi26 Feb
Ajali ya gari yaua watu watano Hai
9 years ago
Dewji Blog23 Oct
Watu watano wanusurika katika ajali ya gari katikati ya jiji la Dar es Salaam muda huu!
Pichani ni min bus iliyokuwa na namba T 111 AAL, ikionekana imeharibika kwa mbele baada ya kugongana na gari aina ya Noah yenye namba T446DDJ iliyogongwa ubavuni. Min Bus ilikuwa na watu wanne hata hivyo katika ajali hiyo watu hao walipatwa na mishtuko pekee na maumivu kiasi. (Picha na Andrew Chale, Modewjiblog).
Gari aina ya Noah linavyoonekana ubavuni baada ya ajari hiyo.. iliyotokea katikati ya jiji katika eneo la jirani na Bnki ya NMB House na Shirika la Bima ya Taifa la Afya..
10 years ago
MichuziNEWS ALERT: WATU KUMI WAFARIKI DUNIA NA WENGINE SABA KUJERUHIWA KATIKA AJALI YA GARI JIJINI MBEYA LEO
Ajali hiyo ilitokea jana majira ya saa nne asubuhi ikihusisha gari ndogo ya abiria maarufu daladala lenye namba za usajili T 237 BFB aina Toyota Hiace na gari kubwa aina ya Fuso lenye namba za usajili T 158 CSV.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa ajali hiyo wamesema ajali hiyo ilitokea maeneo ya Mbalizi baada ya Hiace iliyokuwa ikitokea Mbeya mjini kuelekea...
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Ajali yaua watano
9 years ago
Mwananchi19 Aug
Ajali yaua watano wa familia moja
11 years ago
Mwananchi08 Jul
Ajali yaua, yajeruhi watano Tabora
11 years ago
Habarileo19 May
Ajali yaua watano wakienda kwenye sherehe
WATU watano wamekufa papo hapo na wengine 16 kujeruhiwa baada ya kutokea ajali ya barabarani iliyolihusisha gari dogo la abiria aina ya Toyota Hiace eneo la Mlima Sekenke, wilayani Iramba kwenye Barabara Kuu ya Singida -Mwanza.
11 years ago
Habarileo15 Apr
Maji yaua watu watano Dar
WATU watano wamekufa katika matukio matano tofauti baada ya kusombwa na maji katika maeneo tofauti ya jiji la Dar es Salaam. Katika tukio la kwanza lililotokea Chanika, mtoto wa kike aliyefahamika kwa jina la Lainant Ramadhani (2) alikufa baada ya kutumbukia kwenye shimo la maji lililopo jirani na nyumba yao.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
AJALI YAUA MMOJA TARIME