AJALI YAUA 35 MUSOMA
![](http://api.ning.com:80/files/iRGkQSu08csMAtQ7T*pA58r-UGJ1jGOl2yLVk-QVVR7WQ9zIaI5hKiAEY5Y1DXDDfnPDXaIA4wDLusAYPTQNDZDO7E2aAeMV/breakingnews.gif)
WATU zaidi ya 35 wamefariki dunia katika ajali mbaya iliyoyahusisha magari matatu, mawili mabasi ya abiria na moja gari dogo aina ya Nissan Terano leo asubuhi eneo la SabaSaba, mjini Musoma.
Ajali hiyo imetokea baada ya basi la Kampuni ya J4 Express lenye namba za usajili T 677 CYC lililokuwa likitoka Musoma kuelekea Silari mkoani Mara kuligonga ubavuni gari dogo aina ya Nissan Terano lenye namba za usajili T 332 AKK na kulitupa mtoni kisha kugongana uso kwa uso na basi lingine la Kampuni...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-CSvqWNnkoJg/VHCK9-cxGaI/AAAAAAAAEvU/-e1VFarx8rw/s72-c/MUSOMA%2BEXPRESS.jpg)
BASI LA MUSOMA EXPRESS LAPATA AJALI LIKITOKEA DAR KWENDA MUSOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-CSvqWNnkoJg/VHCK9-cxGaI/AAAAAAAAEvU/-e1VFarx8rw/s1600/MUSOMA%2BEXPRESS.jpg)
Basi hilo limepata ajali katika eneo la Usanda hatua chache baada ya kutoka katika mzani wa Tinde barabara ya Tinde Shinyanga.
Inaelezwa kuwa wakati dereva akiendesha basi hilo ghafla mwanamume mmoja anayedaiwa kuwa ni mzee (mtembea kwa miguu) alikatisha barabarani na kusababisha ajali hiyo.
wakizungumza na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tlB4pKQX5miP-7z4XJ-yFVZmna7U0Gteb9wdJ7Xa5DLro3wUuQa391vsLXvJ4a2EzoBbIt-1pzgdJG4J6npRsqPRYQYY734U/ajali.jpg)
AJALI MUSOMA YADAIWA NI KAFARA!
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-vHJy8mHNzag/VAmxVZ17zhI/AAAAAAAGe3I/oSCfZkNfuCI/s640/1.jpg)
TASWIRA YA AJALI MUSOMA SIKU YA JANA
10 years ago
Eatv05 Sep
WATU ZAIDI YA 36 WAFARIKI KWA AJALI MUSOMA
Takribani watu zaidi ya 36 wanahofiwa kupoteza maisha baada ya magari mawili ya abiria kugongana uso kwa uso katika eneo la Sabasaba Musoma, mkoani Mara
Ajali hiyo imelihusisha basi la MWANZA COACH T736 AWJ lililogongana na gari lingine la J.4 Express T677 CYC.
Miili ya marehemu na majeruhi wamepelekwa katika hospitali ya mkoa iliyopo Musoma mjini.
R.I.P All na poleni sana wote mliofikwa na msiba huo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tV6jtHhMLWxDMjShiHxXc5mEnqMkgsi2012sMnUelFlhKZUOfEP1uVppnfRUMtQBu06cZGlmyzLF2ezh7aGy04-kf-8qtl0r/2musoma2.jpg?width=650)
MWILI WA MAREHEMU WA AJALI YA MUSOMA WALETA KIZAAZAA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iRGkQSu08cuF3qInhReyuht5Eors1Od90bxtd8kEuiotnZnzw3eWvrb4LY5oaAUD9SI*5ehVVuVVxKYhOyK7Ph03vrWqAM1P/IMG20140905WA0000.jpg?width=650)
WATU ZAIDI YA 36 WAFARIKI KATIKA AJALI MUSOMA
10 years ago
Mwananchi16 Sep
AJALI YA MUSOMA: ‘Nilishuhudia watu wakitupwa huku na kule’
10 years ago
Michuzi06 Sep
SALAAMA ZA RAMBIRAMBI TOKA JUMUIYA YA WATANZANIA ITALI KUFUATIA AJALI YA MUSOMA
![](https://3.bp.blogspot.com/-JQxuUcXLTEE/VAs_TGyfphI/AAAAAAAAHQ0/_CIkgWcKJQo/s1600/logo-tanzania%2Bxx.jpg)
"Jana September 5 2014 kwenye eneo la Sabasaba Mjini Musoma ilitokea ajali mbaya sana ya mabasi mawili yakiwa na abiria na kulihusisha gari jingine dogo ambapo majeruhi ni zaidi ya 70 na waliofariki ni 39 Wanawake kwa Wanaume kwa mujibu wa taarifa mpya za vifo zilizotoka."
JUMUIYA YA WATANZANIA ITALIA IMEPOKEA TAARIFA ZA AJALI KWA MASIKITIKO NA MSHITUKO MKUBWA SANA.
TUNAWAPA POLE NDUGU JAMAA NA MARAFIKI WOTE WALIOPOTEZA...