AJALI YA MUSOMA: ‘Nilishuhudia watu wakitupwa huku na kule’
“Kama ambaye nilikuwa nikitazama filamu ya kutisha, nilishuhudi watu wakirushwa huku na huko, vilio na kelele za kukata tamaa zikisikika kila kona, sikujua kitu gani kilikuwa kinatokea mpaka baada ya muda fulani kupita,†anasimulia Asha Juma (19), mkazi wa Nyakato, Musoma aliyekuwa abiria kwenye basi la Mwanza Coach lililogongana na J4 Express hivi karibuni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Eatv05 Sep
WATU ZAIDI YA 36 WAFARIKI KWA AJALI MUSOMA
Takribani watu zaidi ya 36 wanahofiwa kupoteza maisha baada ya magari mawili ya abiria kugongana uso kwa uso katika eneo la Sabasaba Musoma, mkoani Mara
Ajali hiyo imelihusisha basi la MWANZA COACH T736 AWJ lililogongana na gari lingine la J.4 Express T677 CYC.
Miili ya marehemu na majeruhi wamepelekwa katika hospitali ya mkoa iliyopo Musoma mjini.
R.I.P All na poleni sana wote mliofikwa na msiba huo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iRGkQSu08cuF3qInhReyuht5Eors1Od90bxtd8kEuiotnZnzw3eWvrb4LY5oaAUD9SI*5ehVVuVVxKYhOyK7Ph03vrWqAM1P/IMG20140905WA0000.jpg?width=650)
WATU ZAIDI YA 36 WAFARIKI KATIKA AJALI MUSOMA
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
Wazanzibari huku, Watanganyika kule
MWANZONI mwa mwezi uliopita niliulizwa swali nikiwa Kamachumu. Lilihusu mchakato wa katiba mpya na mkwamo wa sasa wa Bunge Maalumu la Katiba. Muuliza swali alitaka kujua hatima ya mnyukano huu...
10 years ago
Mwananchi17 Nov
CCM huku, Chadema kule
10 years ago
Vijimambo26 Nov
IPTL:Huku Bunge kule Mahakama
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://api.ning.com/files/8fil5gmLgTaPsYAbw26FWfSZT*rN0lA-1JPHxa2gMr4BAY*W61v5DOS0tg7VagxhmkDaqfydziFlFHlLXx7SV-eqLsUkS7SX/11.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/8fil5gmLgTbo7rqJRwtrVZOFWQctoB9razUwvCmPJPBKFvHlwzkXOyBcj2a1fNS-5o9xhqvH1lQNG6K4NPrngDBK8B4gYg93/6.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/8fil5gmLgTY*whhgWrbWm09lsnOmtK4kXOlarHrh4*39GMmXak9aqd5sUqEfMk3YXeCwbht5WgoEyR5X3RzwmqsN1GxOILRj/2.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/8fil5gmLgTZtqGeUXNrJOEm9W*hnkmJtOyow3lUbQ*Kubk0i0q8ryAtU9cHSgjlQp98qSvqp0dc4E*Q*k3EAmLl280Efqnx-/3.jpg?width=650)
Wakati mahakama ikitangaza kuzuia kashfa ya kampuni ya IPTL ya uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow, iliyoko Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kujadiliwa na Bunge, Spika wa Bunge, Anne Makinda,...
9 years ago
Raia Mwema28 Aug
Huku Sumaye na Lowassa, kule Mengi na Rostam, tusubiri
AMA kweli Wahenga walisema; ndugu wakigombana chukua jembe ukalime,siku wakipatana chukua kapu uk
Mayage S. Mayage
10 years ago
Bongo505 Sep
Show ya Fiesta Musoma yaahirishwa kufuatia ajali ya mabasi 2 iliyosababisha vifo vya zaidi ya watu 45
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-CSvqWNnkoJg/VHCK9-cxGaI/AAAAAAAAEvU/-e1VFarx8rw/s72-c/MUSOMA%2BEXPRESS.jpg)
BASI LA MUSOMA EXPRESS LAPATA AJALI LIKITOKEA DAR KWENDA MUSOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-CSvqWNnkoJg/VHCK9-cxGaI/AAAAAAAAEvU/-e1VFarx8rw/s1600/MUSOMA%2BEXPRESS.jpg)
Basi hilo limepata ajali katika eneo la Usanda hatua chache baada ya kutoka katika mzani wa Tinde barabara ya Tinde Shinyanga.
Inaelezwa kuwa wakati dereva akiendesha basi hilo ghafla mwanamume mmoja anayedaiwa kuwa ni mzee (mtembea kwa miguu) alikatisha barabarani na kusababisha ajali hiyo.
wakizungumza na...