IPTL:Huku Bunge kule Mahakama
Majaji wataka mjadala usitishwe
Bunge lasisitiza mjadala palepale
Ripoti itakayowasilishwa bungeni hii hapa.
Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) wakiilinda ripoti hiyo usiku kucha.
Wajumbe wa kamati wakiipitia ripoti hiyo kabla ya kuwasilishwa leo bungeni.
Wakati mahakama ikitangaza kuzuia kashfa ya kampuni ya IPTL ya uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow, iliyoko Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kujadiliwa na Bunge, Spika wa Bunge, Anne Makinda,...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 Nov
CCM huku, Chadema kule
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
Wazanzibari huku, Watanganyika kule
MWANZONI mwa mwezi uliopita niliulizwa swali nikiwa Kamachumu. Lilihusu mchakato wa katiba mpya na mkwamo wa sasa wa Bunge Maalumu la Katiba. Muuliza swali alitaka kujua hatima ya mnyukano huu...
9 years ago
Raia Mwema28 Aug
Huku Sumaye na Lowassa, kule Mengi na Rostam, tusubiri
AMA kweli Wahenga walisema; ndugu wakigombana chukua jembe ukalime,siku wakipatana chukua kapu uk
Mayage S. Mayage
10 years ago
Mwananchi16 Sep
AJALI YA MUSOMA: ‘Nilishuhudia watu wakitupwa huku na kule’
11 years ago
Mwananchi21 Mar
Mahakama yazuia ‘vijipesa vya ugoro’ IPTL
11 years ago
Mwananchi08 Mar
Msajili Mahakama Kuu ashtushwa na kesi IPTL
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
Mahakama yaiamuru SCBHK, TANESCO kutokuwabugudhi wamiliki wa IPTL
Katibu na Mwanasheria mkuu wa kampuni ya ufuaji umeme ya IPTL, Bw. Joseph Makandege akiwaonyesha waandishi wa habari (hawapo pichani) nakala ya hukumu iliyotolewa na mahakama kuu ya Tanzania ikizuia benki ya Standard Chartered ya Hong Kong na Tanesco kuendelea kuwabugudhi wamiliki wa IPTL na kuingilia uendeshaji wa mitambo yake. Kushoto ni Meneja Rasilimali watu wa IPTL Bw. Aidan Kaude.
-Yasema Bw. Sethi kuendelea kusimamia mitambo ya ufuaji umeme ya Tegeta
Na Mwandishi Wetu
Mahakama Kuu...
10 years ago
Habarileo09 Mar
Mahakama Kuu yasitisha kesi ya IPTL kuuza hisa
MAHAKAMA Kuu Kitengo cha Biashara imesimamisha usikilizwaji wa shauri la kupinga kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) kuuza hisa zake kwa kampuni ya Piper Link Investment Limited, ambayo kwa sasa ni Pan African Power Solutions (T) Limited (PAP).
11 years ago
Mwananchi21 Jul
IPTL yaomba Mahakama Kuu Dar imfunge mdomo Kafulila