Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wazanzibari huku, Watanganyika kule

MWANZONI mwa mwezi uliopita niliulizwa swali nikiwa Kamachumu. Lilihusu mchakato wa katiba mpya na mkwamo wa sasa wa Bunge Maalumu la Katiba. Muuliza swali alitaka kujua hatima ya mnyukano huu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

CCM huku, Chadema kule

Zikiwa zimesalia siku 28 kabla ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Desemba 14, mwaka huu, vyama vikubwa vya siasa vimeendelea kuchanja mbuga kutafuta uungwaji mkono katika maeneo mbalimbali mikoani.

 

10 years ago

Vijimambo

IPTL:Huku Bunge kule Mahakama

  Majaji wataka mjadala usitishwe
  Bunge lasisitiza mjadala palepaleRipoti itakayowasilishwa bungeni hii hapa.Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) wakiilinda ripoti hiyo usiku kucha.Wajumbe wa kamati wakiipitia ripoti hiyo kabla ya kuwasilishwa leo bungeni.
Wakati mahakama ikitangaza kuzuia kashfa ya kampuni ya IPTL ya uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow, iliyoko Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kujadiliwa na Bunge, Spika wa Bunge, Anne Makinda,...

 

9 years ago

Raia Mwema

Huku Sumaye na Lowassa, kule Mengi na Rostam, tusubiri

AMA kweli Wahenga walisema; ndugu wakigombana chukua jembe ukalime,siku wakipatana chukua kapu uk

Mayage S. Mayage

 

10 years ago

Mwananchi

AJALI YA MUSOMA: ‘Nilishuhudia watu wakitupwa huku na kule’

“Kama ambaye nilikuwa nikitazama filamu ya kutisha, nilishuhudi watu wakirushwa huku na huko, vilio na kelele za kukata tamaa zikisikika kila kona, sikujua kitu gani kilikuwa kinatokea mpaka baada ya muda fulani kupita,” anasimulia Asha Juma (19), mkazi wa Nyakato, Musoma aliyekuwa abiria kwenye basi la Mwanza Coach lililogongana na J4 Express hivi karibuni.

 

11 years ago

Mwananchi

Watanganyika wako huru?

Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Francis Stolla, anasema Sheria ya Magazeti ya mwaka 1976 ni mojawapo ya sheria 40 zilizopendekezwa na Tume ya Nyalali kufutwa kwa vile ni mbaya kwa sasa. Inasikitisha hazifutwi, badala yake Serikali inaendelea kuahidi kuzifanyia kazi.

 

10 years ago

Vijimambo

KIJANA AKOTWA HUKU KANISA NYASUBI KAHAMA HUKU IKIWA HAWEZI KUONGEA VIZURI

Kijana sebastin akotwa maeneo ya kanisa la roma katoliki mjini kahama huku hakiwa awenzi kuongea jina lake vizuri huku kwenye mkono wake likiwa limeandikwa jina lake .Afisa maendeleo wa mji wa kahama Neema lujumba akiwa na kijana huyo baada ya kufikishwa ofisi ya mtendaji wa kata ya nyasubi kwa mahojiano zaidikijana sebastin akiwa na ofisa maendeleo Neema lujumba kwenye ofisi ya mkurungezi wa halmashauri ya mji wa kahama.kwa mujibu wa afisa maendeleo huyo alisema kuwa mtoto huyu aliokotwa na...

 

11 years ago

Mwananchi

Rungwe: Watanganyika nao wachague Rais wao

Tangu kuanza kwa Bunge Maalumu la Katiba Februari 18 mwaka huu, kumekuwapo na hoja tofauti kuhusu haja ya kuwa na Serikali ya Tanganyika ndani ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano.

 

10 years ago

Mwananchi

Hapa Yanga, kule Azam hapatoshi

‘Cheche cheche... Simizi kambeba Tembo,’ huo ni wimbo utakaotawala leo kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro wakati kocha wa Yanga, Marcio Maximo atakapoonyesha kazi kijana wake Mecky Mexime wa Mtibwa Sugar.

 

9 years ago

Mwananchi

Hapa Ngoma, kule Tchetche hapatoshi

Baada ya mapumziko ya kupisha michezo ya kimataifa, Yanga itawakaribisha Azam Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa ikijivunia ubora wa safu ya ushambuliaji inayoongozwa na Mzimbabwe Donald Ngoma na Mrundi Ammis Tambwe.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani