Wazanzibari huku, Watanganyika kule
MWANZONI mwa mwezi uliopita niliulizwa swali nikiwa Kamachumu. Lilihusu mchakato wa katiba mpya na mkwamo wa sasa wa Bunge Maalumu la Katiba. Muuliza swali alitaka kujua hatima ya mnyukano huu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 Nov
CCM huku, Chadema kule
Zikiwa zimesalia siku 28 kabla ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Desemba 14, mwaka huu, vyama vikubwa vya siasa vimeendelea kuchanja mbuga kutafuta uungwaji mkono katika maeneo mbalimbali mikoani.
10 years ago
Vijimambo26 Nov
IPTL:Huku Bunge kule Mahakama
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://api.ning.com/files/8fil5gmLgTaPsYAbw26FWfSZT*rN0lA-1JPHxa2gMr4BAY*W61v5DOS0tg7VagxhmkDaqfydziFlFHlLXx7SV-eqLsUkS7SX/11.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/8fil5gmLgTbo7rqJRwtrVZOFWQctoB9razUwvCmPJPBKFvHlwzkXOyBcj2a1fNS-5o9xhqvH1lQNG6K4NPrngDBK8B4gYg93/6.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/8fil5gmLgTY*whhgWrbWm09lsnOmtK4kXOlarHrh4*39GMmXak9aqd5sUqEfMk3YXeCwbht5WgoEyR5X3RzwmqsN1GxOILRj/2.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/8fil5gmLgTZtqGeUXNrJOEm9W*hnkmJtOyow3lUbQ*Kubk0i0q8ryAtU9cHSgjlQp98qSvqp0dc4E*Q*k3EAmLl280Efqnx-/3.jpg?width=650)
Wakati mahakama ikitangaza kuzuia kashfa ya kampuni ya IPTL ya uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow, iliyoko Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kujadiliwa na Bunge, Spika wa Bunge, Anne Makinda,...
9 years ago
Raia Mwema28 Aug
Huku Sumaye na Lowassa, kule Mengi na Rostam, tusubiri
AMA kweli Wahenga walisema; ndugu wakigombana chukua jembe ukalime,siku wakipatana chukua kapu uk
Mayage S. Mayage
10 years ago
Mwananchi16 Sep
AJALI YA MUSOMA: ‘Nilishuhudia watu wakitupwa huku na kule’
“Kama ambaye nilikuwa nikitazama filamu ya kutisha, nilishuhudi watu wakirushwa huku na huko, vilio na kelele za kukata tamaa zikisikika kila kona, sikujua kitu gani kilikuwa kinatokea mpaka baada ya muda fulani kupita,†anasimulia Asha Juma (19), mkazi wa Nyakato, Musoma aliyekuwa abiria kwenye basi la Mwanza Coach lililogongana na J4 Express hivi karibuni.
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Watanganyika wako huru?
Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Francis Stolla, anasema Sheria ya Magazeti ya mwaka 1976 ni mojawapo ya sheria 40 zilizopendekezwa na Tume ya Nyalali kufutwa kwa vile ni mbaya kwa sasa. Inasikitisha hazifutwi, badala yake Serikali inaendelea kuahidi kuzifanyia kazi.
10 years ago
VijimamboKIJANA AKOTWA HUKU KANISA NYASUBI KAHAMA HUKU IKIWA HAWEZI KUONGEA VIZURI
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Rungwe: Watanganyika nao wachague Rais wao
Tangu kuanza kwa Bunge Maalumu la Katiba Februari 18 mwaka huu, kumekuwapo na hoja tofauti kuhusu haja ya kuwa na Serikali ya Tanganyika ndani ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano.
10 years ago
Mwananchi20 Sep
Hapa Yanga, kule Azam hapatoshi
‘Cheche cheche... Simizi kambeba Tembo,’ huo ni wimbo utakaotawala leo kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro wakati kocha wa Yanga, Marcio Maximo atakapoonyesha kazi kijana wake Mecky Mexime wa Mtibwa Sugar.
9 years ago
Mwananchi15 Oct
Hapa Ngoma, kule Tchetche hapatoshi
Baada ya mapumziko ya kupisha michezo ya kimataifa, Yanga itawakaribisha Azam Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa ikijivunia ubora wa safu ya ushambuliaji inayoongozwa na Mzimbabwe Donald Ngoma na Mrundi Ammis Tambwe.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania