Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watanganyika wako huru?

Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Francis Stolla, anasema Sheria ya Magazeti ya mwaka 1976 ni mojawapo ya sheria 40 zilizopendekezwa na Tume ya Nyalali kufutwa kwa vile ni mbaya kwa sasa. Inasikitisha hazifutwi, badala yake Serikali inaendelea kuahidi kuzifanyia kazi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

wafungwa sita wa Guantanamo wako huru

Waziri wa ulinzi wa Uruguy amesema wafungwa sita wa gereza la Guantanamo wako huru na wamepewa hadhi ya kuishi Amerika- Kusini.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wazanzibari huku, Watanganyika kule

MWANZONI mwa mwezi uliopita niliulizwa swali nikiwa Kamachumu. Lilihusu mchakato wa katiba mpya na mkwamo wa sasa wa Bunge Maalumu la Katiba. Muuliza swali alitaka kujua hatima ya mnyukano huu...

 

11 years ago

Mwananchi

Rungwe: Watanganyika nao wachague Rais wao

Tangu kuanza kwa Bunge Maalumu la Katiba Februari 18 mwaka huu, kumekuwapo na hoja tofauti kuhusu haja ya kuwa na Serikali ya Tanganyika ndani ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano.

 

11 years ago

GPL

UMUHIMU WAKO KWA MWENZI WAKO UKO WAPI? -3

KAMA kuna mambo muhimu unayotakiwa kuyajua katika mapenzi ni pamoja na umuhimu wako kwa mwenzi wako. Ndugu zangu, huwezi kuwa kwenye uhusiano ambao hauna faida. Mambo yanakwenda hovyo, huthaminiwi wala kupewa kipaumbele. Katika mada hii tunaendelea kuangalia ni kwa namna gani utakuwa mwenye umuhimu kwenye uhusiano wako. Ngoja niwachekeshe kidogo; kuna wakati niliwahi kukutana na msichana mmoja ofisini akihitaji ushauri. Jambo...

 

11 years ago

GPL

UMUHIMU WAKO KWA MWENZI WAKO UKO WAPI?

KUNA wakati inatokea kwenye uhusiano, mmoja wao  akadhauriwa na mpenzi wake na kuonekana wa kawaida tu. Athari kubwa zaidi katika kuonekana wa kawaida au kudharauliwa ni kuachana wakati wowote – kwa ghafla. Mara nyingi tendo la kuachana kwa wenzi wa aina hii huwa hakuna sababu kubwa sana. Jambo dogo tu linaweza kukatisha uhusiano lakini kumbe ndani kuna siri nyingine kubwa zaidi; kushuka thamani – kupoteza...

 

9 years ago

BBCSwahili

Je,utakubali mshahara wako kukatwa na kupewa mzazi wako?

Sera isio ya kawaida na ambayo imeanzishwa na kampuni moja nchini Uchina kwa wafanyikazi kutoa kiwango kidogo cha mishahara yao kwa wazazi wao imezua mjadala mkubwa

 

11 years ago

Mwananchi

HURU: Washtakiwa Kesi ya Tabata Dampo huru

>Aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa Ilala, John Lubuva na wenzake wanne waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia Serikali hasara, wameibuka kidedea katika kesi hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani