Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je,utakubali mshahara wako kukatwa na kupewa mzazi wako?

Sera isio ya kawaida na ambayo imeanzishwa na kampuni moja nchini Uchina kwa wafanyikazi kutoa kiwango kidogo cha mishahara yao kwa wazazi wao imezua mjadala mkubwa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kukatwa vidole ilikuomboleza mpendwa wako

Jamii moja inawakata viganja wapendwa wao ilikuonyesha mapenzi kwa wapendwa wao walioaga dunia

 

10 years ago

Mwananchi

Mzazi unamwitaje mtoto wako panya, mjusi, paka?

Unashtuka? Kuna mtu anaitwa Panya Mjusi. Panya ni jina lake na Mjusi ni la baba yake. Kwa miaka zaidi ya 20 sasa ameendelea kutumia majina hayo.

 

10 years ago

GPL

HIVI UJASIRI WA KUMTUPA MZAZI WAKO UNAUPATA WAPI?-2

Ni matumaini yangu kwamba umzima na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku kama kawaida. Mimi namshukuru Mungu kwa kunifanya niwe hivi nilivyo leo. Pia niwashukuru wazazi wangu ambao siku zote wamekuwa pamoja na mimi. Wamenivumila kwa mengi licha ya wakati mwingine kuwakosea, wamekuwa wepesi kunisamehe na kuendelea kunisimamia kama mtoto wao. Nami naahidi kutowatupa!Mpenzi msomaji wangu, wiki hii nitaimalizia mada...

 

11 years ago

GPL

UMUHIMU WAKO KWA MWENZI WAKO UKO WAPI? -3

KAMA kuna mambo muhimu unayotakiwa kuyajua katika mapenzi ni pamoja na umuhimu wako kwa mwenzi wako. Ndugu zangu, huwezi kuwa kwenye uhusiano ambao hauna faida. Mambo yanakwenda hovyo, huthaminiwi wala kupewa kipaumbele. Katika mada hii tunaendelea kuangalia ni kwa namna gani utakuwa mwenye umuhimu kwenye uhusiano wako. Ngoja niwachekeshe kidogo; kuna wakati niliwahi kukutana na msichana mmoja ofisini akihitaji ushauri. Jambo...

 

11 years ago

GPL

UMUHIMU WAKO KWA MWENZI WAKO UKO WAPI?

KUNA wakati inatokea kwenye uhusiano, mmoja wao  akadhauriwa na mpenzi wake na kuonekana wa kawaida tu. Athari kubwa zaidi katika kuonekana wa kawaida au kudharauliwa ni kuachana wakati wowote – kwa ghafla. Mara nyingi tendo la kuachana kwa wenzi wa aina hii huwa hakuna sababu kubwa sana. Jambo dogo tu linaweza kukatisha uhusiano lakini kumbe ndani kuna siri nyingine kubwa zaidi; kushuka thamani – kupoteza...

 

11 years ago

Mwananchi

Mjumbe ‘feki’ kukatwa mshahara

Ofisi ya Bunge la Katiba, imemwandikia barua mwajiri wa Amina Mweta, ambaye alisaini posho ya Bunge hilo ili akatwe posho aliyoichukua katika mshahara wake.

 

10 years ago

KwanzaJamii

Walimu wapinga kukatwa mshahara

Katibu Mkuu wa CWT, Ezekiah Oluoch Wakati Ikulu ikikana Rais Jakaya Kikwete kuagiza watumishi wa serikali kuchangishwa fedha, Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kimepinga walimu kukatwa mishahara kwa ajili ya kuchangia ujenzi wa maabara za shule za sekondari. Katika tamko lake, CWT imewaonya wakurugenzi wa halmashauri zote nchini kujiandaa kukabiliana na mkono wa sheria wasipositisha zoezi la kuwakata walimu mishahara yao kwa ajili hiyo na kuwataka kurejesha mara moja fedha zote...

 

11 years ago

BBCSwahili

Tahadhari usalama wako

Twitter na Facebook zimetumiwa kusambaza ujumbe wa tahadhari miongoni mwa Wakenya kuhusu uwezekano wa kutokea mashambulio nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

Watanganyika wako huru?

Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Francis Stolla, anasema Sheria ya Magazeti ya mwaka 1976 ni mojawapo ya sheria 40 zilizopendekezwa na Tume ya Nyalali kufutwa kwa vile ni mbaya kwa sasa. Inasikitisha hazifutwi, badala yake Serikali inaendelea kuahidi kuzifanyia kazi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani