Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mzazi unamwitaje mtoto wako panya, mjusi, paka?

Unashtuka? Kuna mtu anaitwa Panya Mjusi. Panya ni jina lake na Mjusi ni la baba yake. Kwa miaka zaidi ya 20 sasa ameendelea kutumia majina hayo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Je,utakubali mshahara wako kukatwa na kupewa mzazi wako?

Sera isio ya kawaida na ambayo imeanzishwa na kampuni moja nchini Uchina kwa wafanyikazi kutoa kiwango kidogo cha mishahara yao kwa wazazi wao imezua mjadala mkubwa

 

10 years ago

GPL

JIDE, GARDNER SASA PAKA NA PANYA

Stori: Richard Bukos
PAMOJA na kutumia nguvu nyingi kukanusha kwenye mitandao kwamba ndoa yao haijavunjika, mtangazaji mahiri Bongo, Gardner Gabriel Habash ‘G. Habash’ na ‘mtalaka’ wake, Judith Wambura Mbibo ‘Jide’, Jumamosi iliyopita walifanya tukio lililowashangaza watu kufuatia kila mmoja kuingia ukumbini akiwa na kampani yake na kukwepana kama paka na panya, Amani liliwanasa kwa vile...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zitto anafanya mchezo wa panya kwa paka?

PANYA na paka ni maadui ambao kamwe hawawezi kukaa pamoja. Palipo na paka, panya lazima ajifiche vinginevyo ataliwa. Lakini ukimwona panya anachezea mbele ya paka jua kwamba kuna shimo karibu...

 

11 years ago

Mwananchi

SIMULIZI: Dullah: Natamani ningezaliwa paka nikamate panya

>Kila sherehe inahitaji maandalizi japo kidogo kulingana na kiwango cha fedha walichonacho waandaaji. Kwa mfano kufanya harusi unahitaji vikao, michango na mambo mengine kama hayo.

 

10 years ago

Vijimambo

HAPO SASA PAKA RODI NA PANYA RODI

snitch anapokuektia" na huku kitambo umechil unamsikilizia"anapojigamba yeye panya road" haelewi anachorwa tu na paka road"

 

10 years ago

GPL

HIVI UJASIRI WA KUMTUPA MZAZI WAKO UNAUPATA WAPI?-2

Ni matumaini yangu kwamba umzima na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku kama kawaida. Mimi namshukuru Mungu kwa kunifanya niwe hivi nilivyo leo. Pia niwashukuru wazazi wangu ambao siku zote wamekuwa pamoja na mimi. Wamenivumila kwa mengi licha ya wakati mwingine kuwakosea, wamekuwa wepesi kunisamehe na kuendelea kunisimamia kama mtoto wao. Nami naahidi kutowatupa!Mpenzi msomaji wangu, wiki hii nitaimalizia mada...

 

10 years ago

Mwananchi

Amjeruhi mtoto kwa wizi wa paka

Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo ya Mengwe, Adinani Kingazi amemhukumu kifungo cha miaka mitatu jela, Gedfrey Kimaria (35) baada ya kukutwa na hatia ya kumjeruhi vibaya mtoto wa miaka sita kwa kumng’ata mgongoni kwa madai ya kuiba paka.

 

10 years ago

BBCSwahili

Panya wamla mtoto Afrika Kusini

Mtoto wa mwezi mmoja anasubiri kufanyiwa upasuaji baada ya kung'atwa na panya huko Alexandra, Johannesburg

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mtoto ajeruhi mzazi kwa panga

MKAZI wa kijiji cha Ndala, Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya, Andondile Mwasamlagila (50) amenusulika kufa baada ya kucharangwa na mapanga na mtoto wake, Yuda Mwasamlagila kutokana na ulevi wa kupindukia....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani