Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIJANA AKOTWA HUKU KANISA NYASUBI KAHAMA HUKU IKIWA HAWEZI KUONGEA VIZURI

Kijana sebastin akotwa maeneo ya kanisa la roma katoliki mjini kahama huku hakiwa awenzi kuongea jina lake vizuri huku kwenye mkono wake likiwa limeandikwa jina lake .Afisa maendeleo wa mji wa kahama Neema lujumba akiwa na kijana huyo baada ya kufikishwa ofisi ya mtendaji wa kata ya nyasubi kwa mahojiano zaidikijana sebastin akiwa na ofisa maendeleo Neema lujumba kwenye ofisi ya mkurungezi wa halmashauri ya mji wa kahama.kwa mujibu wa afisa maendeleo huyo alisema kuwa mtoto huyu aliokotwa na...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mwanamziki apasuliwa huku akiimba

Katika tukio la kwanza la aina yake mwanamziki mmoja nchini Ufarasa amefanyiwa upasuaji kuondoa uvimbe kooni huku akiimba.

 

10 years ago

Mwananchi

CCM huku, Chadema kule

Zikiwa zimesalia siku 28 kabla ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Desemba 14, mwaka huu, vyama vikubwa vya siasa vimeendelea kuchanja mbuga kutafuta uungwaji mkono katika maeneo mbalimbali mikoani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Huku ni kuwaenzi Nyerere na Karume?

WAASISI wa taifa letu, hayati Mwalimu Julius Nyerere na Sheikh Abeid Amani Karume, wamelifanyia taifa hili mambo mengi yasiyo na mfano. Mwenyezi Mungu azilaze roho zao mahali pema peponi… Amina....

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Ukisikia kukufuru ndio huku

The post Ukisikia kukufuru ndio huku appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wazanzibari huku, Watanganyika kule

MWANZONI mwa mwezi uliopita niliulizwa swali nikiwa Kamachumu. Lilihusu mchakato wa katiba mpya na mkwamo wa sasa wa Bunge Maalumu la Katiba. Muuliza swali alitaka kujua hatima ya mnyukano huu...

 

10 years ago

Vijimambo

IPTL:Huku Bunge kule Mahakama

  Majaji wataka mjadala usitishwe
  Bunge lasisitiza mjadala palepaleRipoti itakayowasilishwa bungeni hii hapa.Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) wakiilinda ripoti hiyo usiku kucha.Wajumbe wa kamati wakiipitia ripoti hiyo kabla ya kuwasilishwa leo bungeni.
Wakati mahakama ikitangaza kuzuia kashfa ya kampuni ya IPTL ya uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow, iliyoko Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kujadiliwa na Bunge, Spika wa Bunge, Anne Makinda,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal yalazwa huku Mancity ikiponea

Louis Van Gaal alipata ushindi wake wa kwanza ugenini kama meneja wa Manchester United dhidi ya Arsenal

 

10 years ago

Bongo Movies

Mc Kenyatta : Ningebaki Huku Ningekufa Njaa

MUIGIZAJI mkongwe katika tasnia ya filamu Bongo Emanuel Kenyatta ‘Mc Kenyatta’ amefunguka kuwa kama angaeendelea kutegemea sanaa ya uigizaji hadi leo hii angekufa njaa, lakini baada ya kujiongeza maisha yanaendelea na kazi ambayo inamuigizia riziki ni ushereheshaji katika shughuli mbalimbali.

“Sanaa imevamiwa kwa sasa hasa hawa akina dada zetu, na ukiangalia hali ya soko ilivyo inakuwa vigumu sana kutegemea kipato katika filamu, unatakiwa kujiongeza naamini kama si kuwa Mc leo ningefeli...

 

10 years ago

BBCSwahili

ManCity yaponea huku United ikishinda

Mabingwa wa ligi ya Uingereza Manchester City wamewachwa kwa alama nane na viongozi wa Ligi hiyo kufikia sasa Chelsea

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani