Mc Kenyatta : Ningebaki Huku Ningekufa Njaa
MUIGIZAJI mkongwe katika tasnia ya filamu Bongo Emanuel Kenyatta ‘Mc Kenyatta’ amefunguka kuwa kama angaeendelea kutegemea sanaa ya uigizaji hadi leo hii angekufa njaa, lakini baada ya kujiongeza maisha yanaendelea na kazi ambayo inamuigizia riziki ni ushereheshaji katika shughuli mbalimbali.
“Sanaa imevamiwa kwa sasa hasa hawa akina dada zetu, na ukiangalia hali ya soko ilivyo inakuwa vigumu sana kutegemea kipato katika filamu, unatakiwa kujiongeza naamini kama si kuwa Mc leo ningefeli...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi29 Aug
Baba wa familia iliyoteketea: Ningeona miili nami ningekufa
10 years ago
VijimamboKIJANA AKOTWA HUKU KANISA NYASUBI KAHAMA HUKU IKIWA HAWEZI KUONGEA VIZURI
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/ke1.jpg)
JK AKUTANA NA UHURU KENYATTA, AZURU KABURI LA MZEE JOMO KENYATTA
9 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-jB9FWRS1DJQ/VhJSPk0tQmI/AAAAAAAH9AE/wyJqhp2ZyQ8/s640/ke1.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS UHURU KENYATTA, AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA LA KENYA MZEE JOMO KENYATTA
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jB9FWRS1DJQ/VhJSPk0tQmI/AAAAAAAH9AE/wyJqhp2ZyQ8/s72-c/ke1.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS UHURU KENYATTA, AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA LA KENYA HAYATI MZEE JOMO KENYATTA
10 years ago
Mtanzania28 May
Burundi yakabiliwa na njaa
Na Mwandishi Wetu, Bujumbura
HALI ya njaa imeikumba Burundi hasa katika mji mkuu wa Bujumbura baada ya wasafirishaji wa mazao kusimamisha huduma yao kuhofia usalama wao.
Kutokana na hali hiyo Serikali imekuwa ikihaha kuwaomba wananchi hasa waliokimbia wa mikoa ya milimani ya Makamba na Ngozi kurejea nchini humo waendelee na kilimo.
Akizungumza na MTANZANIA jana, mkazi wa Bujumbura ambaye jina lake linahitafadhiwa kwa sababu za usalama, alisema kwa wiki moja sasa huduma muhimu za vyakula...
9 years ago
Mwananchi09 Nov
Wanavijiji walia na njaa
11 years ago
Tanzania Daima22 Dec
Njaa yanyemelea Manyoni
WAKAZI 1,904 wa Kata ya Saranda, Tarafa ya Kilimatinde, wilayani Manyoni wanakabiliwa na upungufu wa chakula. Diwani wa Kata ya Saranda, Juma Ramadhani aliyasema hayo alipokuwa akielezea hali ya chakula...
10 years ago
Tanzania Daima24 Oct
Wabunge walia njaa
WABUNGE wa Bunge la Muungano, wanakabiliwa na ukata baada ya Ofisi ya Bunge kushindwa kuwalipa posho zao tangu walipoanza vikao vya Kamati za Bunge, jijini Dar es Salaam. Ingawa wabunge...