Wanavijiji walia na njaa
Wakazi wa Wilaya za Butiama na Rorya mkoani Mara wanakabiliwa na njaa baada ya zao la muhogo wanalolitegemea kwa chakula kushambuliwa na magonjwa ya batobato kali na michirizi kahawia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima24 Oct
Wabunge walia njaa
WABUNGE wa Bunge la Muungano, wanakabiliwa na ukata baada ya Ofisi ya Bunge kushindwa kuwalipa posho zao tangu walipoanza vikao vya Kamati za Bunge, jijini Dar es Salaam. Ingawa wabunge...
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Wadaiwa kujeruhi, kuua wanavijiji
10 years ago
Uhuru Newspaper12 Mar
Wanavijiji wasimamisha msafara wa Kinana
MSAFARA wa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, juzi ulilazimika kusimama kwa dakika kadhaa baada ya wakazi wa baadhi ya vijiji vya Jimbo la Chemba, kuusimamisha.
Kusimama kwa msafara huo kulitokana na wakazi wa vijiji hivyo kusimama barabarani wakiwa na mabango yanayoelezea kilio cha kukosekana kwa maji.
Msafara huo wa Kinana ulikumbana na kadhia hiyo, ulipofika
katika vijiji vya Songoro, Goima, Itolwa, Mrijo na Jenjelusi, maeneo ambayo wananchi wake wamekuwa wakikabiliwa na tatizo la maji...
10 years ago
BBCSwahili17 Aug
Wanavijiji wanusuriwa na jeshi la Chad
11 years ago
Mwananchi23 Apr
Simu za mkononi sasa kuwafikia wanavijiji
10 years ago
Mwananchi29 Sep
Wanavijiji Ruangwa wadai kupimiwa ardhi
10 years ago
Dewji Blog18 Sep
Mfuga nyuki wa tuzo ya ‘Rais’ akoromea wanavijiji
Rais wa shirikisho la wafuga nyuki duniani Gilles Ratia (wa tatu kulia) akifafanua jambo kuhusu mizinga ya nyuki kwa Kaimu Mkurugenzi misitu Gladnees Mkamba.Wa kwanza kulia ni mtendaji mkuu misitu, Juma Mgoo na anayefuatia ni Meneja shirika la Future Development Initiatives Jonathan Njau.
Nathaniel Limu, Singida
MSHINDI wa tuzo ya Rais juu ya ufugaji bora wa nyuki kwa mwaka jana Jackson Sombi, wa mkoani Singida, ameibua tuhuma nzito dhidi ya wana-kijiji wenzake akidai kuwa ndio...
9 years ago
Mwananchi21 Dec
Wanavijiji lawamani kuharibu msitu wa Mkindu Mvomero
11 years ago
Tanzania Daima08 Jun
Sikika: Wanavijiji wanakosa huduma bora za afya
UKOSEFU wa mara kwa mara wa dawa muhimu na vifaatiba katika vituo vya huduma za afya vya umma, ni tatizo linalowaathiri zaidi wananchi wa vijijini. Hayo yalisemwa Dar es Salaam...