Wanavijiji Ruangwa wadai kupimiwa ardhi
Wakazi wa Kijiji cha Mipingo Changombe Wilaya ya Ruangwa, mkoani Lindi wameiomba Halmshahauri ya Wilaya ya Ruangwa kupima na kutoa hati ya umiliki ardhi kwa wananchi zaidi 1,200, wanaoishi katika eneo linalodaiwa kuwa ni chanzo cha maji.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi31 Oct
Wadai Efatha imewapora ardhi
11 years ago
Mwananchi17 Jun
Wananchi wadai kudhulumiwa ardhi
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Wakazi Mbopo wagoma kupimiwa maeneo
WAKAZI wa Mbopo na maeneo jirani wametangaza mgogoro na Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam wa kugoma kupimwa maeneo yao huku wakitishia kwenda mahakamani endapo manispaa hiyo italazimisha utekelezaji huo....
9 years ago
Mwananchi09 Nov
Wanavijiji walia na njaa
10 years ago
Uhuru Newspaper12 Mar
Wanavijiji wasimamisha msafara wa Kinana
MSAFARA wa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, juzi ulilazimika kusimama kwa dakika kadhaa baada ya wakazi wa baadhi ya vijiji vya Jimbo la Chemba, kuusimamisha.
Kusimama kwa msafara huo kulitokana na wakazi wa vijiji hivyo kusimama barabarani wakiwa na mabango yanayoelezea kilio cha kukosekana kwa maji.
Msafara huo wa Kinana ulikumbana na kadhia hiyo, ulipofika
katika vijiji vya Songoro, Goima, Itolwa, Mrijo na Jenjelusi, maeneo ambayo wananchi wake wamekuwa wakikabiliwa na tatizo la maji...
10 years ago
BBCSwahili17 Aug
Wanavijiji wanusuriwa na jeshi la Chad
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Wadaiwa kujeruhi, kuua wanavijiji
11 years ago
Mwananchi23 Apr
Simu za mkononi sasa kuwafikia wanavijiji