Wakazi Mbopo wagoma kupimiwa maeneo
WAKAZI wa Mbopo na maeneo jirani wametangaza mgogoro na Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam wa kugoma kupimwa maeneo yao huku wakitishia kwenda mahakamani endapo manispaa hiyo italazimisha utekelezaji huo....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV15 Nov
Wakazi kata ya Kurasini Dar wagoma kuhama Kupisha mradi wa maegesho
Wakazi wa kata ya Kurasini Manispaa ya Temeke jijini Dar es Salaam wamegoma kuhama katika makazi yao kupisha mradi wa ujenzi wa maegesho ya magari makubwa.
Manispaa ya Temeke imetoa amri ya kuwataka wakazi wa maeneo hayo kuhama ndani ya muda wa saa 12 kuanzia Novemba 13, vinginevyo nyumba zao zitavunjwa.
wakazi wa Kurasini jijini Dar es Salaam, wamepaza kilio chao kupinga amri ya Manispaa ya Temeke kuwataka kuhama eneo hilo kupisha ujenzi wa maegesho ya magari makubwa.
Wakizungumza na Star...
9 years ago
Dewji Blog29 Dec
Ubadhirifu wa fedha na rasilimali wapungua vijijini kwa viongozi kuhofia kuchukuliwa hatua na wakazi wa maeneo hayo
Waraghbishi toka vijiji vya Iponya, Nyakasumula, Bukandwe na Shenda wakiwa katika picha ya pamoja na mwenyekiti na mtendaji wa kijiji cha Shenda.
Ni miaka mitatu na miezi nane toka mraghbishi Fedson Yaida na wenzake toka vijiji vya jirani kukutana na Chukua Hatua. Ni rafiki waliyekutana naye mwaka 2011 katika mazungumzo maalumu ambayo walitakiwa kuyafikisha kwa wananchi wenzao wa vijiji vya Shenda, Iponya, Nyakasumula na Bukandwe katika wilaya ya Mbogwe mkoani Geita.
Ni katika mazungumzo...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-AFbi7rHRE_w/VNnVtGRin0I/AAAAAAACW7g/m-wz5Mz9gmw/s72-c/salmakikwete.jpg)
MAMA KIKWETE AWATAKA WAKAZI WA WILAYA YA LINDI KUTOKUBALI KUUZA MAENEO YA UFUKWE WA BAHARI KWA BEI YA CHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-AFbi7rHRE_w/VNnVtGRin0I/AAAAAAACW7g/m-wz5Mz9gmw/s640/salmakikwete.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Bye6BgmhnSc/VNnD6TvsEcI/AAAAAAAHCuU/IJs0AJg-WlQ/s72-c/ki.jpg)
MAMA KIKWETE AWATAKA WAKAZI WA WILAYA YA LINDI KUTOKUBALI KUUZA MAENEO YA UFUKWE WA BAHARI KWA BEI YA CHINIYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Bye6BgmhnSc/VNnD6TvsEcI/AAAAAAAHCuU/IJs0AJg-WlQ/s1600/ki.jpg)
10/2/2015 Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia wilaya ya Lindi mjini Mama Salma Kikwete amewataka wakazi wa wilaya hiyo kutokubali kuuza maeneo ya ufukwe wa Bahari ya Hindi kwa kiasi kidogo cha fedha kwani thamani ya maeneo hayo ni kubwa.
Mama Kikwete ambaye ni Mke wa Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete alitoa rai hiyo jana wakati akiongea kwa nyakati tofauti na viongozi wa Halmashauri kuu ya tawi ya Chama hicho katika...
10 years ago
Mwananchi29 Sep
Wanavijiji Ruangwa wadai kupimiwa ardhi
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KRjKHmERqpU/VZqTKj1dMSI/AAAAAAAHnUk/pg6ndeyG-AA/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-07-06%2Bat%2B5.36.52%2BPM.png)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-KRjKHmERqpU/VZqTKj1dMSI/AAAAAAAHnUk/pg6ndeyG-AA/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-07-06%2Bat%2B5.36.52%2BPM.png)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0cPmGNgf51M/VBNloT72_bI/AAAAAAACquM/1WIpqy1LTpo/s72-c/5.jpg)
WAKAZI WA SHINYANGA WAKUNWA NA UJIO WA TAMASHA LA FIESTA,LEO KUSAMBAZA UPENDO KWA WAKAZI WA GEITA
![](http://3.bp.blogspot.com/-0cPmGNgf51M/VBNloT72_bI/AAAAAAACquM/1WIpqy1LTpo/s1600/5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qvJtI-FXRpE/VBNpzXDxTgI/AAAAAAACquk/NcynDHmhNvE/s1600/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-txkv9zEdcDM/VBNp0e6MWFI/AAAAAAACqu0/xzNCMXQVVRg/s1600/4.jpg)