Wanavijiji lawamani kuharibu msitu wa Mkindu Mvomero
Wakazi wa vijiji 20 wilayani Mvomero Mkoa wa Morogoro wamedaiwa kuharibu msitu wa asili wa Mkindu kwa kufanya shughuli za kibinadamu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
TheCitizen21 Dec
Villagers destroy 90 hectares of Mkindu Forest Reserve
Human activities encroaching on Mkindu Forest Rrserve have destroyed about 90 hectares of the natureal resource, an expert has said.
9 years ago
Mwananchi09 Nov
Wanavijiji walia na njaa
Wakazi wa Wilaya za Butiama na Rorya mkoani Mara wanakabiliwa na njaa baada ya zao la muhogo wanalolitegemea kwa chakula kushambuliwa na magonjwa ya batobato kali na michirizi kahawia.
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Msitu wa posho
Hatimaye bonge la bangi limepumzishwa! Au tuseme tumepewa nafasi ya kupumzika sisi bila kulazimika kusikia matusi, ubabe, vitisho badala ya hoja na maelewano siku hadi siku.
10 years ago
BBCSwahili17 Aug
Wanavijiji wanusuriwa na jeshi la Chad
Ripoti kutoka nchini Nigeria zinasema kuwa vikosi vya serikali ya Chad vimewanusuru wanavijiji 85 ambao walitekwa nyara.
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Wadaiwa kujeruhi, kuua wanavijiji
Wakazi 11 wa vijiji viwili tofauti vya wilayani hapa, wamejeruhiwa na mmoja kufariki dunia kutokana na kundi la watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi kuwashambulia kwa silaha za jadi zikiwamo mapanga na visu.
10 years ago
Uhuru Newspaper12 Mar
Wanavijiji wasimamisha msafara wa Kinana
MSAFARA wa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, juzi ulilazimika kusimama kwa dakika kadhaa baada ya wakazi wa baadhi ya vijiji vya Jimbo la Chemba, kuusimamisha.
Kusimama kwa msafara huo kulitokana na wakazi wa vijiji hivyo kusimama barabarani wakiwa na mabango yanayoelezea kilio cha kukosekana kwa maji.
Msafara huo wa Kinana ulikumbana na kadhia hiyo, ulipofika
katika vijiji vya Songoro, Goima, Itolwa, Mrijo na Jenjelusi, maeneo ambayo wananchi wake wamekuwa wakikabiliwa na tatizo la maji...
10 years ago
Mwananchi29 Sep
Wanavijiji Ruangwa wadai kupimiwa ardhi
Wakazi wa Kijiji cha Mipingo Changombe Wilaya ya Ruangwa, mkoani Lindi wameiomba Halmshahauri ya Wilaya ya Ruangwa kupima na kutoa hati ya umiliki ardhi kwa wananchi zaidi 1,200, wanaoishi katika eneo linalodaiwa kuwa ni chanzo cha maji.
11 years ago
Mwananchi23 Apr
Simu za mkononi sasa kuwafikia wanavijiji
 Jumla ya Kata 86 zenye vijiji 511 na wakazi wapatao 600,000 nchini wanatarajiwa kupata huduma za mawasiliano ya simu za mkononi hadi kufikia mwishoni mwa mwaka huu baada ya jana Serikali kuwekeana mkataba na kampuni tano za huduma za simu za mkononi.
11 years ago
Habarileo08 Aug
Magogo kuvunwa msitu wa Saohill
WIZARA ya Maliasili na Utalii kupitia Wakala wa Misitu Tanzania (TFS) imetoa vibali vya kuvuna mita za ujazo 488,100 za magogo ya miti katika msitu wake wa Taifa wa Saohill, uliopo wilayani Mufindi mkoani Iringa katika kipindi cha mwaka 2014/2015.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania