Magogo kuvunwa msitu wa Saohill
WIZARA ya Maliasili na Utalii kupitia Wakala wa Misitu Tanzania (TFS) imetoa vibali vya kuvuna mita za ujazo 488,100 za magogo ya miti katika msitu wake wa Taifa wa Saohill, uliopo wilayani Mufindi mkoani Iringa katika kipindi cha mwaka 2014/2015.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2mMGF9YzVPE/XnIs6v9ny4I/AAAAAAAAHuQ/jORj0j5yedEU8A-Tv5D13FhuyfS1kfvVQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200318-WA0034.jpg)
SAOHILL: UTUNZAJI WA MISITU NI FURSA KIUCHUMI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-2mMGF9YzVPE/XnIs6v9ny4I/AAAAAAAAHuQ/jORj0j5yedEU8A-Tv5D13FhuyfS1kfvVQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200318-WA0034.jpg)
Moja kati ya maeneo ya uzalishaji wa miche ya miti katika shamba la miti ya sao hill kwa ajili kuendelea kuipanda katika shamba hilo na kwa baadhi ya wananchi wanaolizunguka shamba hilo
![](https://1.bp.blogspot.com/-L3VD5k7jhKg/XnIs54TPDlI/AAAAAAAAHuM/Na-fZzk_ScQ2r_A3D_8wEWk1BR9gveIlQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200318-WA0032.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-mGkIVAgifis/XnIs6xe5YxI/AAAAAAAAHuU/0eHPTMGnCGA8yeJ7QqV4JNPD0bHIUYzSwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200318-WA0035.jpg)
NA FREDY MGUNDA,MUFINDI.
Wakala wa Misitu Tanzania TFS kupitisha Shamba la Miti Sao Hill Wilayani Mufindi mkoani Iringa Limewahimiza wananchi kuendelea kuitunza misitu iliyopo katika maeneo yao na kuitumia kuwa fursa ya kiuchumi kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AAGz-Go9N28/XlgrA_5pGZI/AAAAAAALfvE/hQbb8FKvZc8KNRB4BBbYSdC2YZdG_Tn1wCLcBGAsYHQ/s72-c/88080157_1094712217554036_1932203347205423104_n.jpg)
SAOHILL WAGAWA MICHE MILIONI MOJA KWA WANANCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-AAGz-Go9N28/XlgrA_5pGZI/AAAAAAALfvE/hQbb8FKvZc8KNRB4BBbYSdC2YZdG_Tn1wCLcBGAsYHQ/s640/88080157_1094712217554036_1932203347205423104_n.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-J6ipgBjccHI/XlfsYEHWH5I/AAAAAAAAHoY/q7Ca4NqcE3sM51hoNahiqFxEJ2HEapQawCLcBGAsYHQ/s640/87818143_1094711437554114_7159007477890023424_n.jpg)
NA FREDY MGUNDA,SAO HILL.
ZAIDI ya miche milioni moja imegawiwa kwa wananchi wa vijiji vinavyolizunguka shamba la Miti SaoHill katika musimu wa mwaka wa 2019/2020 kwa lengo la kuimalisha ujirani mwema ambao umekuwa umedumu kwa miaka mingi.
Zoezi la ugawaji miche ya miti kwa ajili ya ujirani mwema hufanyika kila mwaka kipindi cha masika kwa lengo la kuhakikisha wanapanda miti hiyo na inakuwa kwa...
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Msitu wa posho
11 years ago
Mwananchi12 Feb
Shehena ya magogo yanaswa
10 years ago
Mwananchi25 Aug
Waethiopia 47 wadakwa Msitu wa Mwidu Pwani
11 years ago
Habarileo25 Dec
DC: Mliovamia msitu wa Munguli hameni haraka
WATU waliovamia msitu wa asili unaokaliwa na jamii ya Wahadzabe katika Kijiji cha Kipamba-Munguli mkoani Singida, wametakiwa kuhama mara moja kwenye hifadhi hiyo.
11 years ago
Habarileo16 Feb
Wasimamizi Msitu wa Rau wadaiwa kuuhujumu
BAADHI ya wasimamizi wa Msitu wa Hifadhi wa Rau uliopo Kata ya Njoro, Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro, wanadaiwa kushirikiana na watu wenye nia ovu kuvuna msitu huo kiholela hususani nyakati za usiku.
9 years ago
Mwananchi07 Dec
‘Kampuni ya kusafirisha magogo ilidanganya’
11 years ago
Mwananchi13 Feb
Magogo ya magendo sasa kurudishwa